Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,369
- 233
yaani natamani ningeweza kuwa na jk wakati wakitoa hilo li habari la kuvunjika vunjika kuhusiana na kumfukuza kazi balali...yaani wallahi ningemzaba kibao nikamatwe na ma bodyguard wake elfu moja wasio na kazi ya maana ya kufanya!!!
this is more than serious guy kaandika barua ya kujiuzulu toka mwaka jana....eti mwaka huu ndio waja na habari eti wamfukuza kazi kwelii hata ka jamaa alikua tapeli kiasi gani lakini haingii akilini aliiba mabilioni yooote hayo kwa ajili gani??lazma alishirikiana na watu wengine!!!
hata ka wamefanikiwa kumuua basi atokee mtu anayeujua ukweli jamani japo atutumie kwa barua JF tujue ukweli wa mambo as i was waiting kweli kupata statement za Balali responding to this saga
this is more than serious guy kaandika barua ya kujiuzulu toka mwaka jana....eti mwaka huu ndio waja na habari eti wamfukuza kazi kwelii hata ka jamaa alikua tapeli kiasi gani lakini haingii akilini aliiba mabilioni yooote hayo kwa ajili gani??lazma alishirikiana na watu wengine!!!
hata ka wamefanikiwa kumuua basi atokee mtu anayeujua ukweli jamani japo atutumie kwa barua JF tujue ukweli wa mambo as i was waiting kweli kupata statement za Balali responding to this saga