Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Kama habari kuwa Kikwete kamfukuza mtu aliyejua kuwa kafa ni kweli basi hii ni "a new low"
Kama bunge la Tanzania lingekuwa sound mnakusanyia maswala ya kumvua madaraka kwa kura ya kutokuwa na imani, hata hiyo miaka mitano mbali.
Itakuja siku atatoa kubwa kuliko ya kutuingiza kwenye Guiness Book of Records (kama hizi kashfa hazitoshi bado) ndiyo watu wataelewa uozo tulio nao Ikulu.
Kama bunge la Tanzania lingekuwa sound mnakusanyia maswala ya kumvua madaraka kwa kura ya kutokuwa na imani, hata hiyo miaka mitano mbali.
Itakuja siku atatoa kubwa kuliko ya kutuingiza kwenye Guiness Book of Records (kama hizi kashfa hazitoshi bado) ndiyo watu wataelewa uozo tulio nao Ikulu.