Niemona alikuwa ameuchapa usingizi,
...acheni kina kilitime wamtetee na point yao anaitangaza Tanzania,sijawahi kuona lame excuse kama hii wazee na sijui anatutangaza vipi...jamani mwee huyu JK ni matatizo tuu na sijui anafikiria saa ngapi matatizo mazito kama rushwa na umaskini kama anasafiri kiasi hicho
Kuamini JK ndio wakufikiria tu! ni mtindio wa akili pia!!! JK sio katibu mkuu wa wizara ya miundo mbinu, sio mkugurugenzi wa ICT pale wizarani, sio kiongozi wa Costech, sio Principal wa CoET, DIT, UCC, sio mtaalamu wa ICT... so contribution yake ni ndogo,,, hao waheshimiwa niliowataja hapo juu watuambie wao wamefanya nini ndio tuje kwa JK!!
Kilitime, sina mashaka na uwezo wako wa uelewa lakini nashawishika kukuuliza kama unafahamu katiba yetu inampa madaraka makubwa kiasi gani Raisi wetu? Hao wote uliowataja ni nani anawapa kibarua, especially wakurugenzi na makatibu wakuu? Hujasikia baadhi yao wakijitapa kuwa 'by the way sijachaguliwa na wananchi nimeteuliwa na Raisi na ni yeye mwenye uwezo wa kuiondoa' au wengine wakisema 'raisi ameniamini hadi akanipa madaraka'
Sasa hapo unadhani wa kumshika shati ni nani kama sio Raisi ambaye sisi ndo waajiri wake moja kwa moja?
Rafiki yangu, tuko nyuma kwa kuwa sisi wananchi wenyewe tunampa raisi wajibu ambao sio wake!!! tukidhani yeye ndiye anatakiwa kufanya feasibility study, design, implementation and commissioning ya miradi ya Miundo Mbinu na mingine mingi!!! hilo ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania...
Kupenda kujumlisha, jumlisha mambo kirahisi tu sijui ni uvivu sio nini??!!! ingekuwa wananchi kwa kupitia vyombo vya habari panapotekea tatizo wanataja bayana kwamba hapa aliyelala ni Kilitime, ni Mkurugenzi X,
Semeni, hapa idara x, imeboronga, sema hapa head of x ministry/institution ameboronga then people will be accountable!!! hata ukiteuliwa na rais lakini majukumu yalishaandikwa kwamba unafanya nini na uko accountable for what?
nchi watu wangefanya kazi,,, lakini vyombo vyetu vya habari pamoja na wasomi wengi kila kitu serikali,,, and what is serikali,,,ni jitu kubwa ambalo rais tu ndiye anawajibika... it is wrong,,, wengi wenu mko majuuu,,, blanders zikitokea wanahiti- to the responsible department au leader... sio kila kitu serikali, rais etc... hii inasababisha viongozi wa vitengo kulala.
Nchi imefika mahali hata jambo la serikali za mitaa halitatuliwi na serikali za mitaa, linasubiri serikali kuu, na hiyo serikali kuu yenyewe, mpaka president, prime minister aje...
Nawaasa wasomi, mkidhani tatizo la Tanzania ni la president aliyepo madarakani kwa miaka miwili ni upuuzi mtupu,,, tuna matatizo ya msingi yakuangaliwa kwa makini, bila jaziba,ukereketwa,ungunguri,ungangari,u-mpaka-kieleweke,u-saa-ya-ukombozi-ni-sasa etc..
wengi wenu mko majuuu,,,
Kumbe ukiwa majuu Utanzania wako unakuwa hafifu au.............sasa wale wanaofanya kwenye balozi zetu nao wakati wao ni kama huu. Waambie kwa lugha nyepesi basi.
Kuna taarifa za Jk kuahirisha hiyo safari ya China na kuamua kupata mapumziko mafupi ya faragha "mafichoni" ili aweze kutafakari mkutano wa CCM. Kwa walio karibu hebu tupeni nyeti za uamuzi huo, maana ilikua akitoka kuzika tu atimue.
Kumbe ukiwa majuu Utanzania wako unakuwa hafifu au.............sasa wale wanaofanya kwenye balozi zetu nao wakati wao ni kama huu. Waambie kwa lugha nyepesi basi.
. WFP BOOST FOR SMALL FARMERS
. ROME
Tanzania is among African countries lined up for World Food Program(WFP) pilot project to improve production of small farmers, President Kikwete was told here today. The WFP Executive director, MS Sheeran, told the President during bilateral talks last evening, that the project due to roll out next year was designed to create guaranteed market and provide micro credit for farmers.
The project, to be supported by US billionaire Bill Gates and UN former SG Koffi Annan, also seek to evolve an insurance scheme that would reduce risk to samll holder farmers.
President Kikwete, reassured MS Sheenan that he would provide personal leadership to ensure that the project succeded. He offered to sell 20,000 tonnes of cereals from the Strategic Grain Reserve(SGR) to the WFP which supports refugees in the country.
REUTERS.
Sidhani Kama amesinzia anawaza Pipa Jumatatu na Mengi yanayomkabili kwa hivi Sasa.Nafikiri Sasa hivi unauelewa msemo wa mwasisi kwamba huko si kwa kukimbilia.View attachment 752Hizi ni dalili gani kwa rais wetu kusinzia msibani?Ndio kushindwa uongozi au mawazo?Au ndio atimiza ile kauli yake ya kuwa wapinzani hawamfanyi akose usingizi.Angalia hiyo attachment,halafu fikiria ingelikua wewe ungefanyaje?Picha kwa hisani ya bwana Michuzi Blog.