News Alert:100bn/- allocated to crop buying:Kikwete

Bosi wako makamba amesema kuwa nyie ccm hamna chochote cha kujadili na watanzania wengine. Until nimeona cha maana kwenye maandishi yako, utaniona nimejaa tele nikijadili issues.

Kwa sasa sijaona issue ya kujadili, ninaona ngonjera tu toka Lumumba kwa Makamba. Na kama kawaida yangu, ngonjera zinajibiwa na ngonjera.

Wewe unaonaje?

Kama zako?:confused2:
 
Kama zako?:confused2:

hiyo mimacho uliyoitoa hapo ni tamaa au hisia?

Twanga.JPG
 
Hawa sijui wanahitaji bilion moja za kununua mazao au wanahitaji huduma za afya:

ambulace+ya+kijiji..jpg
katika nchi masikini kama tanzania kila lkitu ni kipaumbele..,tusipokuwa makini tunaweza kuanza na moja tukajikuta tunamalizia katika la pili bila ya kulianza..,ni mchomozo tu....!
 
Mwafrika lile folder la picha za watoto wa Haiti liko tayari.Should I send it to you?:confused2:
 
ccm union presidential candidate jakaya kikwete, has assured farmers of swift purchase of their crops.
Addressing residents of babati in manyara region on sunday, mr kikwete said the government had set aside 100bn/- to buy crops from farmers for proper storage through the national food reserve agency (nfra).

Bumper harvest realized in many parts of the country made it necessary for the government to have in place arrangements to buy more than 200,000 tonnes of food.

“subsidy on inputs to farmers has boosted harvests. The focus now is to ensure stability in the crop market,” president kikwete explained.

He said the aim was to buy from farmers, 400,000 tonnes in the next three years to help them realize profit from this year’s recorded good harvest.

“at least 10bn/- has already been released to buy maize this season being part of the government’s decision to buy crops from farmers for the country’s food security,” he explained.

However, farmers whose crops would not be bought promptly by the government had nothing to worry about as the candidate said they would be allowed to sell their crops to private buyers.

While in katavi region, last month the residents shared concern with the candidate that the region expected to harvest 700,000 tonnes but nfra was set to buy 40,000 tonnes only.

Meanwhile, president kikwete has defended the government’s performance saying it delivered on its electoral pledges to people’s expectations.

Mr kikwete appealed to residents of katesh, manyara region to ignore malicious remarks by opposition candidates alleging that the government had not done enough to support livestock keepers in the area.

“ccm delivered on its pledges and can move forward to explain how much had been achieved and give reasons for not fulfilling some of the promises,” president kikwete explained.

Adding, “voters could challenge us if we made empty promises as stipulated in the party’s 2005 – 2010 election manifesto,” he explained.

He said all sectors realized some improvement and the task ahead for the next five years would include accomplishment of pledges that were not adequately addressed.

Reacting to allegations by critics that the party had forgotten pastoralists in hanang, the candidate cited examples of services extended to the people such as supply of drugs and dips for livestock.

“this is what ccm has done to you. When these people (opposition candidates) come to you just ask them to tell you what they have done to help the community,” he advised.

He also promised to have water problem adequately addressed to the convenience of the people in the district. Introducing the party’s candidate for parliamentary seat in the area, mr jitu soni, mr kikwete asked people to vote for him to speed up development in the area.

On monday the candidate is scheduled to continue with election campaign rallies in iringa region starting with isimani constituency and then proceed to other places.




Source:daily news

hii ni aibu kubwa sana kwa taifa lenye takribani 70% ya wakazi wake waishio vijijini; na kujinadi kwa kauli mbiu ya "kilimo kwanza". Ni aibu kubwa sana kwa rais wa nchi kungoja mpaka mazao ya wakulima yaanze kunyeshewa na mvua ndipo atoe tamko la kutolewa kwa fedha za kununua mazao. Sasa hapo umakini wa rais kusimamia kilimo uko wapi?

Kwa mtu yeyote anayetambua utaratibu wa "disbursement of government funds" fedha hizo zitafika katika magahala ya sgr after at least 30 days. Kwa maana ingine mpaka fedha hizo zifike kwa wenye mazao, mahindi hayo yatakuwa yamelowa na mvua baada ya kupunguzwa uzito kwa jua mwezi mzima yakiwa nje ya magahala na fedha za kununua hakuna

hii inaashiria kuwa serikali ya ccm na jk hawakujua ni lini wakulima wanavuna, kupukuchua mahindi, na kufikisha mazao katika magahala ya sgr. Kwa taarifa yako tandale one, kutokana na wakulima wengi kutokuwa na njia zingine za kupata kipato wengi wao tayari wameshalazimika kuuza mahindi yao kwa walanguzi bei ya chini sana, hivyo serikali itanunua mahindi kutoka kwa walanguzi na kipato hicho hakitawafikia wakulima asilani.

Hivyo tandale one. Kwa tarifa yako hapa hakuna cha kujivunia hata kidogo. Yaani unashangilia kushindwa kwa serikali ya ccm na jk kufikisha fedha za kununua mahndi kwa kwa wakati?
 
Masanilo:Za Kibera umezipata?Zichukue then uzilebo Manzese.:confused2:
 

hii ni aibu kubwa sana kwa taifa lenye takribani 70% ya wakazi wake waishio vijijini; na kujinadi kwa kauli mbiu ya "kilimo kwanza". Ni aibu kubwa sana kwa rais wa nchi kungoja mpaka mazao ya wakulima yaanze kunyeshewa na mvua ndipo atoe tamko la kutolewa kwa fedha za kununua mazao. Sasa hapo umakini wa rais kusimamia kilimo uko wapi?

Kwa mtu yeyote anayetambua utaratibu wa "disbursement of government funds" fedha hizo zitafika katika magahala ya sgr after at least 30 days. Kwa maana ingine mpaka fedha hizo zifike kwa wenye mazao, mahindi hayo yatakuwa yamelowa na mvua baada ya kupunguzwa uzito kwa jua mwezi mzima yakiwa nje ya magahala na fedha za kununua hakuna

hii inaashiria kuwa serikali ya ccm na jk hawakujua ni lini wakulima wanavuna, kupukuchua mahindi, na kufikisha mazao katika magahala ya sgr. Kwa taarifa yako tandale one, kutokana na wakulima wengi kutokuwa na njia zingine za kupata kipato wengi wao tayari wameshalazimika kuuza mahindi yao kwa walanguzi bei ya chini sana, hivyo serikali itanunua mahindi kutoka kwa walanguzi na kipato hicho hakitawafikia wakulima asilani.

Hivyo tandale one. Kwa tarifa yako hapa hakuna cha kujivunia hata kidogo. Yaani unashangilia kushindwa kwa serikali ya ccm na jk kufikisha fedha za kununua mahndi kwa kwa wakati?

kaka hiyo habari uliisoma na kuielewa au lugha imekutatiza..,hakuna sehemu iliyosema kuwa fedha hiyo itaanza kutolewa baada ya JK kusema ila iko hivi fedha hiyo ilishatengwa tangu wakati wa bunge la bajeti na kupitishwa NFRA. sijui tuko pamoja au bado hauelewi NFRA ni nini...?
 
Leo nimecheka mbavu sina. Slowly we are developing independent thinkers that could change the history of this place. Mwenye macho haambiwi ona. Yes, sound tumezisikia za kutosha
 
ha ha ha ... picha zote hizi ni za Tanzania.
Oneni aibu mafisadi wakubwa nyie ... mnataka hadi kukana picha?!?!?!
sijajua kuwa hata kule kwa wafugaji wenzangu tunatumia lugha hizi kama "ambulance"
inawezekana nimetoka zamani kwani niliwaacha hata kiswahili ni shida..,ama kweli shule za kata zimesaidia....!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom