Newcastle United na safari ya kuwa Timu Tajiri zaidi Duniani

Labda hapo kwenye malori ,Ila ulaya kuna mabasi kama haya ya mwendokasi yanatumia nyanya za umeme

Hata malori yapo na technology inazidi kui improve...
Tesla Wana project malori yatembee kilometres 300 bila ya kuchaji..
Plan za kuweka malori ya umeme na auto pilot imeshaanza ..soon watu watakosa kazi..
Na malori hayatahitaji mafuta..
 
Mmiliki mpya wa klabu ya Newcastle United "Mohammed Bin Salman" anamiliki nyumba ghali zaidi duniani ambayo ina kilabu (nightclub) ndani yake, swimming pool za ndani na nje, sehemu za starehe, Gym pamoja na sehemu ya kutengenezea Divai (wine)

Mmiliki huyo mpya wa Newcastle United anamiliki nyumba hiyo ambayo ilinunuliwa kwa £ 230m mnamo 2015.

Mohammed Bin Salman amekamilisha kuichukua klabu ya Newcastle United Kwa Mkataba uliopendekezwa wa pauni milioni 305.

Pesa za umma
Akifa kesho usishangae warithi wakasema timu iuzwe
 
Exactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape
Siasa imeingia hapo....MBS anajisafisha na hatia ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini mwake na Vita vyake huko Yemen bila kusahau mauaji ya Khashoggi.
 
Pesa za umma
Akifa kesho usishangae warithi wakasema timu iuzwe
Timu itawafia hii coz hawa jamaa watasajiri wachezaji wakubwa na nina uhakika wataipandisha thamani sana hiyo klabu, na kupata mteja kwa pesa waitayo itakuwa ngumu, na hawawezi kuuza kwa hasara

Pia hii ni longtime wish ufalme wa Saudi Arabia kumiliki klabu ya Uingereza kwahyo hawatouza kizembe
 
Siasa imeingia hapo....MBS anajisafisha na hatia ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini mwake na Vita vyake huko Yemen bila kusahau mauaji ya Khashoggi.
MBS mwenyewe ndio waziri wa ulinzi
 
The collective wealth of the Saudi Public Investment Fund is 320 billion pounds, but Bin Salman's individual net worth is believed to be around 13 billion pounds.


While this is just behind the net worth of 17 billion pounds that Manchester City owner Sheikh Mansour has, Bin Salman effectively has the riches of the Saudi Arabian royal family behind him, which have a net worth of a whopping 1.3 trillion pounds.

In this instance, Manchester City's owners fall short of Newcastle's new proprietors, as the Abu Dhabi royal family have a net worth of 500 billion pounds.
 
Kwahiyo USA ambayo Inasaidia nchi nyingi na kutoa mabilioni huko duniani haina masikini wala njaa hakuna hata Ombaomba hakuna?

Yaani wewe nje ya football you are practically illiterate kabisa...

Marekani ndiyo Nchi Tajiri Duniani ila ina Population kubwa na Utajiri wake uko Limited kwa Serikali na Baadhi ya Watu hasa katika Majiji.

Endelea kukaza Fuvu lakini siku utakayojua Watu wanaishi Vipi Duniani ndiyo utajua kuwa kumbe ni Wewe ndiyo illiterate! Huenda ikawa hujawahi kusafiri nje ya Nchi ndiyo kinachokusumbua.

Narudia tena Kijana! Nchi hizi za Kiarabu zifuatazo hazina Masikini hata Mmoja.

1) DUBAI
2) Qatar
3) BAHRAIN
4) Saudi Arabia

Nchi hizo hakuna Kitu kinachoitwa Njaa wala Umasikini.

Uliza waliowahi kufika DUBAI na SAUDIA ARABIA wapo wengi tu hapa Tanzania.

Sasa endelea kukataa na kujiona una akili.
 
Marekani ndiyo Nchi Tajiri Duniani ila ina Population kubwa na Utajiri wake uko Limited kwa Serikali na Baadhi ya Watu hasa katika Majiji.

Endelea kukaza Fuvu lakini siku utakayojua Watu wanaishi Vipi Duniani ndiyo utajua kuwa kumbe ni Wewe ndiyo illiterate! Huenda ikawa hujawahi kusafiri nje ya Nchi ndiyo kinachokusumbua.

Narudia tena Kijana! Nchi hizi za Kiarabu zifuatazo hazina Masikini hata Mmoja.

1) DUBAI
2) Qatar
3) BAHRAIN
4) Saudi Arabia

Nchi hizo hakuna Kitu kinachoitwa Njaa wala Umasikini.

Uliza waliowahi kufika DUBAI na SAUDIA ARABIA wapo wengi tu hapa Tanzania.

Sasa endelea kukataa na kujiona una akili.
;


No research no right to speak...
Sana Sana una ji expose ulivyo ilitirate





Top 15 Facts about Poverty in Saudi Arabia
Saudi Arabia has the lowest reported poverty rate in the Middle East and the 10th lowest poverty rate in the world at 12.7 percent, as of 2017. However, the Saudi government does not release regular statistics regarding this information, resulting in varied estimates by outside agencies.
The country is highly urbanized with close to 85 percent of citizens living in cities and many impoverished citizens, estimated to be around four million Saudis, reside in slums on the outskirts of those cities.
Saudis who do not even live in the slums still struggle to afford the home in the cities. An estimated 60 percent of urban Saudis cannot afford to own their homes outright.
The unemployment rate has risen slightly from 12.8 percent in 2017 to 12.9 percent in the first fiscal quarter of 2018. Crown Prince Mohammed bin Salman and the Saudi government have made tackling unemployment a key component in their economic and social reform program Vision 2030.
The government has implemented an insurance program for unemployed Saudis, but it is still difficult for recipients to survive when the cost of living is constantly increasing.
A major factor in unemployment is the number of foreign workers in Saudi Arabia. There are roughly three million Saudis in the labor force compared to 11 million immigrants who work in similar fields.
Vision 2030 discusses plans to reduce Saudi Arabia’s reliance on oil as the largest economic asset. Instead, the country plans to invest in other industries that will generate more jobs for unemployed Saudis.
The government announced plans to implement nationalization quotas for small businesses and education programs to allow impoverished Saudis to prepare for the employment.
Prince Salman believes that addressing poverty and unemployment is as necessary from the economic perspective as it is from the humanitarian perspective. He believes that by diversifying the economy and improving the poverty and unemployment rates, Saudi Arabia will attract more foreign investment.
Saudi Arabia’s lifting of their long-standing movie theater ban has drawn AMC to create numerous theaters throughout the country, introducing service industry jobs for impoverished citizens who may not be qualified for more specialized positions.
The government has lifted several bans preventing women from working and participating in the economy. With these barriers eliminated, women will be able to work and help provide for their families.
Despite Prince Salman’s popularity and economic ambitions, many are still troubled by the vast wealth gap in Saudi Arabia. While many Saudi citizens live in poverty, Salman’s father, King Salman bin Abdulaziz Al Saud, has an estimated net worth of $17 billion.
With the possibility of water and farmable land becoming scarce in Saudi Arabia in the next few decades, the government will likely need to establish new ways of ensuring food production and food availability at a rate that can support the country’s population.
Saudi Arabia has a history of refusing help from the nongovernmental organization because of the fears of deterring investors, but the government has recently begun to change its policies in favor of helping its impoverished citizens.
Changes will take time. While it is clear that Saudi Arabia is in need of immediate change in some aspects, it will take time for sustainable growth to be implemented.
As Saudi Arabia finds itself in a highly transitional period in terms of social reform and economic reevaluation, its citizens face great uncertainty. However, despite what some of these top 15 facts about poverty in Saudi Arabia may suggest, the country’s leadership has made clear that their top priority is to build the economy into something that will work for, rather than against, the Saudi people.

– Rob Lee

Photo: Flickr

OCTOBER 30, 2018/BY KIM THELWELL
“The Borgen Project is an incredible nonprofit organization that is addressing poverty and hunger and working towards ending them.”
– The Huffington Post

INSIDE THE BORGEN PROJECT
Contact
 
Marekani ndiyo Nchi Tajiri Duniani ila ina Population kubwa na Utajiri wake uko Limited kwa Serikali na Baadhi ya Watu hasa katika Majiji.

Endelea kukaza Fuvu lakini siku utakayojua Watu wanaishi Vipi Duniani ndiyo utajua kuwa kumbe ni Wewe ndiyo illiterate! Huenda ikawa hujawahi kusafiri nje ya Nchi ndiyo kinachokusumbua.

Narudia tena Kijana! Nchi hizi za Kiarabu zifuatazo hazina Masikini hata Mmoja.

1) DUBAI
2) Qatar
3) BAHRAIN
4) Saudi Arabia

Nchi hizo hakuna Kitu kinachoitwa Njaa wala Umasikini.

Uliza waliowahi kufika DUBAI na SAUDIA ARABIA wapo wengi tu hapa Tanzania.

Sasa endelea kukataa na kujiona una akili.


So Illiterate my friend
Ulianza kubisha malori ya umeme
Watu wamekuelimisha

Sasa hili la poverty saudia Arabia nashindwa Tu kuweka links hapa za Hadi video na pictures..achilia mbali IMF na world Bank reports....


Kwamba eti saudia Arabia hakuna watu masikini usije tena kuongea mbele ya watu wenye exposure ...

Chief -mkwawa naomba uweke pictures za slum za Saudia Arabia au video..

Na links za world banks report
Zipo Google tele
 
Nawewe wacha kukariri hakuna Scania au lory litakalotumia Umeme ndugu! Gari za umeme ndiyo hizo IST, huwezi panda Kitonga na Tani 30 kwa umeme.

Biashara ya Mafuta kwamwe haitoweza kudorora katika Dunia hii.

Mabasi ya Mikoani yanayotembea Kilometa 800 labda uyapachike Solar lakini si umeme ambao Betri yake unadumu masaa yasiyozidi Mawili, almost unatoka Dar ukifuka Kibaha uncharge tena. Dar - SINGIDA, Mwanza, Tabora, Musoma, Kigoma, Bukoba uende kwa basi la umeme? 😂😂😂
Mkuu mafuta ya ndege huwa yanapatikana vp
 
Hivi wadau hebu nitoeni tongotongo hapa, Kwani wanaposema timu imeuzwa hivi hizo hela anakula nani,, ikiwa timu ambayo haina mmiliki kama ilivyo Chelsea,PSG', man city etc.
 
Hivi wadau hebu nitoeni tongotongo hapa, Kwani wanaposema timu imeuzwa hivi hizo hela anakula nani,, ikiwa timu ambayo haina mmiliki kama ilivyo Chelsea,PSG', man city etc.
Timu zote za Epl zina wamiliki. Kabla ya huu ununuzi mmiliki wa Newcastle alikuwa ni Mike Ashley, yeye ndio ameuza timu na amepokea hizo hela.

Tetesi anakwenda kuinunua Derby county huko championship.
 
Timu zote za Epl zina wamiliki. Kabla ya huu ununuzi mmiliki wa Newcastle alikuwa ni Mike Ashley, yeye ndio ameuza timu na amepokea hizo hela.

Tetesi anakwenda kuinunua Derby county huko championship.
Mike Ashley anataka aje tena baadae awauzie waarabu,Derby county,ipswich town,chalton athletis,blackburn rovers,Bolton wanderes....naikumbuka
Derby enzi za kina leeds ya kina mark viduka...miaka ya buku 2 hivi...tulikuwa tunaangalizia epl kwa wasomali flani walikuwa na Dstv.
 
;


No research no right to speak...
Sana Sana una ji expose ulivyo ilitirate





Top 15 Facts about Poverty in Saudi Arabia
Saudi Arabia has the lowest reported poverty rate in the Middle East and the 10th lowest poverty rate in the world at 12.7 percent, as of 2017. However, the Saudi government does not release regular statistics regarding this information, resulting in varied estimates by outside agencies.
The country is highly urbanized with close to 85 percent of citizens living in cities and many impoverished citizens, estimated to be around four million Saudis, reside in slums on the outskirts of those cities.
Saudis who do not even live in the slums still struggle to afford the home in the cities. An estimated 60 percent of urban Saudis cannot afford to own their homes outright.
The unemployment rate has risen slightly from 12.8 percent in 2017 to 12.9 percent in the first fiscal quarter of 2018. Crown Prince Mohammed bin Salman and the Saudi government have made tackling unemployment a key component in their economic and social reform program Vision 2030.
The government has implemented an insurance program for unemployed Saudis, but it is still difficult for recipients to survive when the cost of living is constantly increasing.
A major factor in unemployment is the number of foreign workers in Saudi Arabia. There are roughly three million Saudis in the labor force compared to 11 million immigrants who work in similar fields.
Vision 2030 discusses plans to reduce Saudi Arabia’s reliance on oil as the largest economic asset. Instead, the country plans to invest in other industries that will generate more jobs for unemployed Saudis.
The government announced plans to implement nationalization quotas for small businesses and education programs to allow impoverished Saudis to prepare for the employment.
Prince Salman believes that addressing poverty and unemployment is as necessary from the economic perspective as it is from the humanitarian perspective. He believes that by diversifying the economy and improving the poverty and unemployment rates, Saudi Arabia will attract more foreign investment.
Saudi Arabia’s lifting of their long-standing movie theater ban has drawn AMC to create numerous theaters throughout the country, introducing service industry jobs for impoverished citizens who may not be qualified for more specialized positions.
The government has lifted several bans preventing women from working and participating in the economy. With these barriers eliminated, women will be able to work and help provide for their families.
Despite Prince Salman’s popularity and economic ambitions, many are still troubled by the vast wealth gap in Saudi Arabia. While many Saudi citizens live in poverty, Salman’s father, King Salman bin Abdulaziz Al Saud, has an estimated net worth of $17 billion.
With the possibility of water and farmable land becoming scarce in Saudi Arabia in the next few decades, the government will likely need to establish new ways of ensuring food production and food availability at a rate that can support the country’s population.
Saudi Arabia has a history of refusing help from the nongovernmental organization because of the fears of deterring investors, but the government has recently begun to change its policies in favor of helping its impoverished citizens.
Changes will take time. While it is clear that Saudi Arabia is in need of immediate change in some aspects, it will take time for sustainable growth to be implemented.
As Saudi Arabia finds itself in a highly transitional period in terms of social reform and economic reevaluation, its citizens face great uncertainty. However, despite what some of these top 15 facts about poverty in Saudi Arabia may suggest, the country’s leadership has made clear that their top priority is to build the economy into something that will work for, rather than against, the Saudi people.

– Rob Lee

Photo: Flickr

OCTOBER 30, 2018/BY KIM THELWELL
“The Borgen Project is an incredible nonprofit organization that is addressing poverty and hunger and working towards ending them.”
– The Huffington Post

INSIDE THE BORGEN PROJECT
Contact

Kwahiyo unahisi wengine hawajui kugoogle? Mimi sizungumzii Google Uvinersity yako unayoamini imekutoa illiteracy, Nazungumzia uhalisia niliouona kwa Macho yangu! Saudia nimefika mara mbili na nimetembea Miji ya Riyadh na Jiddah na Najd, pia nimefika maeneo mengi ya Nje ya Mji.

Soma tena ulichocopy na kupatse halafu jiulize tena mara mbili 'Unazungumzia Umaskini Gani'? Ni kweli wako Watu hawana Nyumba za kwao wenyewe! Lakini unadhani wanalala kwenye Tents au barabarani kama India? Hapana! Mtu hana Nyumba lakini Akifika Apartment na anamiliki gari na maisha ya kawaida ambayo ana uhakika na kula yake ya kila siku, Mavazi, kusomesha Watoto na hela ya Matumizi mengine au kumiliki hata gari ndogo. Huyo ndiyo anayeitwa Masikini wa Saudi Arabia! Usidhani kama kuna Masikini kama wa hapa Mbagala Kibonde Maji.

Bado nasimamia kauli yangu kubwa nipo sahihi.

I rest my Case
 
Timu zote za Epl zina wamiliki. Kabla ya huu ununuzi mmiliki wa Newcastle alikuwa ni Mike Ashley, yeye ndio ameuza timu na amepokea hizo hela.

Tetesi anakwenda kuinunua Derby county huko championship.

Umemjibu Vizuri tu, ila nadhani Kiu yake hasa anataka kujua in case Timu haina mmiliki (Ingawa zote zina wamiliki). Usikute jamaa kaacha kiporo cha Mabishano kijiweni anataka atumie majibu yako akaliamshe upya kuhusu uwekejazi wa MO Dewji.
 
Kwahiyo unahisi wengine hawajui kugoogle? Mimi sizungumzii Google Uvinersity yako unayoamini imekutoa illiteracy, Nazungumzia uhalisia niliouona kwa Macho yangu! Saudia nimefika mara mbili na nimetembea Miji ya Riyadh na Jiddah na Najd, pia nimefika maeneo mengi ya Nje ya Mji.

Soma tena ulichocopy na kupatse halafu jiulize tena mara mbili 'Unazungumzia Umaskini Gani'? Ni kweli wako Watu hawana Nyumba za kwao wenyewe! Lakini unadhani wanalala kwenye Tents au barabarani kama India? Hapana! Mtu hana Nyumba lakini Akifika Apartment na anamiliki gari na maisha ya kawaida ambayo ana uhakika na kula yake ya kila siku, Mavazi, kusomesha Watoto na hela ya Matumizi mengine au kumiliki hata gari ndogo. Huyo ndiyo anayeitwa Masikini wa Saudi Arabia! Usidhani kama kuna Masikini kama wa hapa Mbagala Kibonde Maji.

Bado nasimamia kauli yangu kubwa nipo sahihi.

I rest my Case
Mkuu kwahyo umeamua kutolea mfano Mbagala kibonde maji, hujaona sehemu nyingine ya Mbagala?

Hahaha, Sijapenda kabisa kuitolea mfano Mtaa wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom