Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
- Thread starter
- #101
Halafu hizi familia za kifalme za Kiarabu now kama wanashindana kumiliki hivi vilabu baada ya Saudi Arabia kumiliki Newcastle, sasa ni zamu ya Qatar royal family wanahitaji arsenal kwa nguvu sanaMkuu Saudi Arabia hakuna Njaa.
Nchi za Kiarabu zilizopo Bara Arabu (Ukitoa zilizopo Afrika) zenye Njaa ni zile zenye Vita tu Yani SYRIA, PALESTINA, LEBANON, YEMEN na IRAQ.
Lakini Nchi kama DUBAI, SAUDI ARABIA, BAHRAIN, QATAR, OMAN na JORDAN hawa Ni Matajiri wana Mihela watu wanakula Bata tu hakuna kitu kinachoitwa Njaa.