likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
Hapo Jana man city chini ya kocha wa dunia Pep guardiola waliendeleza ubabe katika ligi kuu ya uingereza (EPL) kwa kuifurumusha Newcastle utd bao 1-0 na hivyo kuiacha Manchester utd kwa point 16.
Kwa ushindi wa jana, city imefikisha mechi 20 za ligi bila kupoteza huku ikishnda 19 na kudraw 1.
Manchester utd ambao walianza kwa mbwembwe mwanzoni mwa ligi kwa ushndi wa magoli 4 kila mechi, wamegeuka waviziaji wanaocheza kwa kujilinda huku wakiendelea kupumulia mashine kwa mbinu za kizamani za mourinho.
Kwa hali ilivyo sasa hakuna wa kumkamata pep maana amewafumua big 4 wote na kuwaachia maumivu makali.
Teamcity
Kwa ushindi wa jana, city imefikisha mechi 20 za ligi bila kupoteza huku ikishnda 19 na kudraw 1.
Manchester utd ambao walianza kwa mbwembwe mwanzoni mwa ligi kwa ushndi wa magoli 4 kila mechi, wamegeuka waviziaji wanaocheza kwa kujilinda huku wakiendelea kupumulia mashine kwa mbinu za kizamani za mourinho.
Kwa hali ilivyo sasa hakuna wa kumkamata pep maana amewafumua big 4 wote na kuwaachia maumivu makali.
Teamcity