New York, Marekani: Rais Samia ashiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali Wanawake

Kila kitu kisiwe sasa wanawake wanawake jamani, watu wanataka maendeleo, regardless of gender. Very simple, watanzania tunataka maendeleo, haijalishi jinsia gani anaongoza.
maendeleo yanaanza nawewe, Sasa wewe kutwa upo bize kusimamia legasi ya dikteta asiharibiwe!!
 
Kuna watu wanalalamika why Balozi hajamwakilisha kaenda mwenyewe, wengine wanasema why hajaenda Makamu, roho za kimaskini shida sana, Hivi Balozi or Makamu wangeweza kupewa nafasi ya kuongea na hao watu wazito hivyo duniani?

Ni kama kuna kikao cha akina Baba wote mtaani kwako then wewe unamtuma mwanao or HB huku ukiwa huna sababu yeyote ya maana ya kutohudhuria, nobody atawasikiliza or mchango wao hauwezi kuwa na nguvu kama midingi mingine!!

WaTZ tumezidi ujuaji aisee!!
Ni kikundi Cha watu wachache ndio wanalipwa kumtusi mama, ni sukuma gang, na wa upande wa dini fulani
 
Afadhali mara 1000 ya huyu tutamvumilia kuliko kutawaliwa na washamba.

Mimi nipo comfortable kabisa na mama.
Exactly,Bora mama kuliko kuongozwa na washamba na wenye uchizi, Nchi Sasa imetulia, vyombo vya habari na wanaharakati hawana hofu, wapuuzi Kama Musiba hawapo Tena,
 
Ni kikundi Cha watu wachache ndio wanalipwa kumtusi mama, ni sukuma gang, na wa upande wa dini fulani
Mzee wa upako ameshawaambia ni ngumu sana kuishinda serikali inayoongozwa na mtu mwenye haki na asiye dhalimu, Serikali ya dhalimu huwa inadondoshwa kirahisi sana, binadamu wakishindwa basi Mungu huwa anaingilia kati
 
Hi
Kuna watu wanalalamika why Balozi hajamwakilisha kaenda mwenyewe, wengine wanasema why hajaenda Makamu, roho za kimaskini shida sana, Hivi Balozi or Makamu wangeweza kupewa nafasi ya kuongea na hao watu wazito hivyo duniani?

Ni kama kuna kikao cha akina Baba wote mtaani kwako then wewe unamtuma mwanao or HB huku ukiwa huna sababu yeyote ya maana ya kutohudhuria, nobody atawasikiliza or mchango wao hauwezi kuwa na nguvu kama midingi mingine!!

WaTZ tumezidi ujuaji aisee!!
Hivi jiwe allikua na akili ndogo kiasi gani?
 
Mwenzake kutoka Zambia Mh. Hakainde Hichilema kipenzi cha wana-zambia na Rais aliyechagulia kwa kufuata misingi ya demokrasia na kusimamia haki amewasili siku mbili nyuma yake, kesha hutubia mbele ya viongozi wakuu wa nchi mbalimbali.

Ila mama yetu hadi leo, bado hajaaminiwa kuzungumza? Kweli sisi kama taifa hatuthaminiwi hatuna ushawishi tena kwenye mataifa yaliyoendelea.
Nakumbuka kabla hata hajaondoka ilitolewa taarifa kuwa SSH atahutubia hadhara kuu tarehe 23 Sept, 2021.Nadhani ni suala la muda na ratiba...Mkutano ukiisha hajaongea ndio unaweza kutoa tuhuma...Lakini sio kila mtu lazima aongee kikaoni hasa kama hauna issue specific...Wengine watabaki wasikilizaji nako ni kushiriki kikao.
 
Wastage of time! Aachane na wanawake, afuate sheria, aache kunyanyasa wapinzani, period!
Hawezi acha kunyanyasa wapinzani kwa sababu wapinzani wanataka kuchukua kitumbua chake, kwa hiyo lazima yeye na ccm yake wafanye hivyo maana ndio njia inayowafanya waendelee kuwepo madarakani.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kuhakikisha kunakuwepo Usawa wa Kijinsia licha ya vikwazo vinavyojitokeza‬

‪‪Amesema hayo akishiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa‬

Aidha, amesema hivi karibuni ameunda Timu ya Wataalamu inayoangalia namna bora kwa Tanzania kupata Usawa wa Kijinsia na miongoni mwa maeneo inayopitia ni marekebisho ya Sheria Kandamizi‬

————
Rais wa WorldBank, David Malpass amesema Benki hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali kukuza Uchumi kupitia mabadiliko ya kidogitali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi

Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu ambaye ameishukuru WB kwa mchango wake kwa Tanzania kwenye huduma za jamii na mapambano dhidi ya COVID19

Pia, Rais amefanya mazungumzo kuhusu kuwezesha Biashara kwa kuimarisha upatikanaji wa Chanjo, usimamizi wa uvuvi na kilimo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), Ngozi Okonjo-Iweala

View attachment 1947961View attachment 1947962
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile. Tunakwenda kuwa na Tanzania nzuri na Tanzania Njema kuliko Tanzania ile.
Hongera sana Mama Samia

P
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kuhakikisha kunakuwepo Usawa wa Kijinsia licha ya vikwazo vinavyojitokeza‬

‪‪Amesema hayo akishiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa‬

Aidha, amesema hivi karibuni ameunda Timu ya Wataalamu inayoangalia namna bora kwa Tanzania kupata Usawa wa Kijinsia na miongoni mwa maeneo inayopitia ni marekebisho ya Sheria Kandamizi‬

————
Rais wa WorldBank, David Malpass amesema Benki hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali kukuza Uchumi kupitia mabadiliko ya kidogitali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi

Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu ambaye ameishukuru WB kwa mchango wake kwa Tanzania kwenye huduma za jamii na mapambano dhidi ya COVID19

Pia, Rais amefanya mazungumzo kuhusu kuwezesha Biashara kwa kuimarisha upatikanaji wa Chanjo, usimamizi wa uvuvi na kilimo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), Ngozi Okonjo-Iweala

View attachment 1947961View attachment 1947962
Wanawake wanakosea sana kwenye suala la usawa wa kijinsia. Usawa wa kijinsia sio kuteua Waziri mwanamke wizara ya ulinzi ambayo Ina 98% ya wanajeshi wanaume. Usawa wa kijinsia uwe kwenye kupata elimu na kazi kwenye jamii. Yaani wanawake waonekane wengi kwenye kazi zote kama udereva, uvuvi, kilimo, jeshini, ufundi, ualimu, uhandisi, nk na sio kwenye kazi za ofisini TU kama inavyofanyika Sasa.

Wanawake wanahubiri usawa wa kijinsia bila kupenda kurekebisha sheria ya ndoa ili kufuta utegemezi wa mwanamke kwa mwanaume, mahari. Mpaka Leo wanaamini kuwa wanapewa mimba na wanaume badala ya kupata mimba.
 
Back
Top Bottom