NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Kwa muda mrefu nimekuwa mtumiaji wa blog mbalimbali na sikuwahi kuwaza kuwa mwanachama popote. Rafiki yangu mmoja aliponiambia kama nataka mawazo mbadala na yenye tija (kwa kuwa ni anafahamu kuwa ni mpenda mawazo mbadala na mwenye shauku ya mabadiliko) akanishauri kutembelea JF. Kwa muda nimeisoma na sasa nimeona ni vema kujiunga na kuwa mwanachama kamili na mwadilifu. HODI JAMVINI KWA GREAT THINKERS :happy: