Waaungwana Kama heading inavyoonesha hapo juu.
TARURA amekuja na namna nyingine ya kukusanya ushuru wa Maegesho ya Magari, Mfumo huu Mpya ni wa kielektroniki na uko based on Control Number.
Nimefanya Research ndogo na kugundua kuwa Huu utaratibu mpya mbao ni Mzuri umegeuka kuwa ainia ya Wizi na Uonevu Mkubwa.
Watu wengi sana wanalalamika kuwa wala hwakumbuki hata walipo park, lakini wakiingia kwenye Portal ya TARURA inaonesha wanadaiwa, wala haineshi uli park gari wapi.
Huu utaratibu ni wa hovyo sana, maana uko based only on plate numbers za gari, yaani Agent wao akiamua tu anaweza ku register Number za Magari hata akiwa chumbani kwake na Mkewe.
Naziomba Mamlaka husika ziingilie kati na kuwakemea TARURA na huu mfumo wao ambao unatoa room ya wizi, uonevu na Bughuza isiyo ya lazima.
Binafsi nina Magari matano, matatu yana mwezi wa tatu hayatembei, ila yote yanadaiwa na inaonekana ni deni la juzi tu.
Nitoe rai kwa wenye Mgari pitieni hii Portal ya TARURA, maana unaweza kuwa unadaiwa bila kujua mwisho wa siku ukaishia kugombana na Polisi.
Single News | Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA
A page template to display single newswww.tarura.go.tz
Sasa huyo shetani si ndio alikuwa anapora watu pesa kabisa?"mtanikumbuka " tena ni kwa mema wala si mabaya. JPM
Ni hivi, hayo malalamiko sijayakataa, ila kwa uzoefu wangu na kazi hii, hayo madai ya ukubwa wa deni nina mashaka nalo kwa sababu madereva wengi, kwa uzoefu wangu, wakipark gari, hata kama imekaa nusu saa, wanadai ndiyo wamefika, mwingine atasema hajakaa hata dk tano, au anakuambia bado hajashuka yaani kiufupi wanatoa madai ya excuse kwamba wamekaa muda mchache.mkuu we kichwa kigumu sn aisee hakuna mtu anayepinga hio fee watu wanaongelea madeni wanaongelea madeni wanayoyaona kwe system wakati magari yao yako home, deni kubwa kuliko uhalisia, control number kugoma hivyo kushndwa kulipa kwa mda sahihi mpk deni kuongezeka na lingine mbn concerns zao zipo clear tu mzee?mtu kukataa kulipa ushuru wa maegesho ni issue nyingne kabisa haihusiani na hii mada acha kuvuruga watu
Hata na mimi nadaiwa 6000 sijui nilipaki wapiNimekuta nadaiwa 5000 sijui imetoka wapi
Holy CrapHata hiyo ya risiti bado mlikuwa/ ni wasumbufu.
Mfano sasa hivi 12:20pm nimetoka kumdai dereva hela, anaanza kumwambia abiria alipe. Abiria anamwambia ni jukumu la dereva. Dereva anadai hana hela. NB: Mimi nipo Mamlaka nyingine siyo TARURA.
itakuwa ulipaki kwako mkuu 😀😀😀Hata na mimi nadaiwa 6000 sijui nilipaki wapi
Wanataka kutuumizaNani ana thibitisha au kuhakikisha hiyo bill unayopewa ni halali? Bora zile receipt ilikua mtu unaona umewekewa kuanzia muda flani hadi unapoondoka unaweza kuthibitisha. Lakini hii ya sasa kubambikiwa rahisi sana.
Mimi wiki iliyopita nilipack kisutu mida ya Saa mbili, kwa nusu Saa, baada ya hapo nikaenda Kkoo, mtu wa parking Kkoo ananiuliza umepaki wapi asubuhi hii? Mbona umechajiwa 4,500 kwa siku hii ya Leo ? Na hapo ni Saa Tatu asubuhi
Mbinu za kishamba, mwendazake, aliwaambia watz tushavuka hatua ya ujinga, tunajua kupambanua mambo na kutafakari.Hizo ni MBINU za waziri wa fedha za kuongeza mapato ya Serikali.a
Una uhakika gani kama alipata Elimu Mkuu unaposema akadai Ada..Nenda shule ukadai pesa yako ya Ada,inaelekea shuleni hujafundishwa chochote wamekuibia,watu Wana complain wizi unaofanyika na si KULIPA,sisi dawasco tu walishawahi kutuletea bili ambayo si yetu,na tulishinda,kupitia watu wajinga Kama wewe wasiopenda kuishughurisha akili vilivyo ndo mnatuletea shida katika nchi hii,na mbaya zaidi utakuta umeshatuzalia watoto wa aina yako tayari,kwa hiyo tuna kazi kubwa
Mkuu unakwaza sana watu kwa comment zako ujue!Halafu ni elimu gani mnataka pale mdaiwapo parking fees? Hili nimelikuta mara nyingi sana. Dereva anadaiwa parking fee anajibu embu nieleweshe/nipe elimu. Haya, akishapewa elimu anaanza kutoa excuse ili tu asilipe. Sasa hapa TARURA wanawaagiza mkalipe kwa control number. Sasa elimu gani tena hapa? Kwamba hujui benki? Yaani kama uambiwe 'hii dawa pima kijiko kimoja' halafu unaanza kutaka elimu ya namna ya kukishika kijiko.
Kwenye madai ya ukubwa wa madeni, hata kwenye mfumo wa cash yapo.Mkuu unakwaza sana watu kwa comment zako ujue!
Mada inayoongelewa hapa siyo unacho comment wewe.
Watu wanalalamika kuandikiwa parking fee za ghushi, yaani watu wengine hawajaondoa magari ndani lakini magari hayo inasomeka yanadaiwa tozo ya maegesho!
Sasa wewe umekazania ukwepaji wa malipo, nani kasema hilo?
Embu nenda na mada husika.
Waaungwana Kama heading inavyoonesha hapo juu.
TARURA amekuja na namna nyingine ya kukusanya ushuru wa Maegesho ya Magari, Mfumo huu Mpya ni wa kielektroniki na uko based on Control Number.
Nimefanya Research ndogo na kugundua kuwa Huu utaratibu mpya mbao ni Mzuri umegeuka kuwa ainia ya Wizi na Uonevu Mkubwa.
Watu wengi sana wanalalamika kuwa wala hwakumbuki hata walipo park, lakini wakiingia kwenye Portal ya TARURA inaonesha wanadaiwa, wala haineshi uli park gari wapi.
Huu utaratibu ni wa hovyo sana, maana uko based only on plate numbers za gari, yaani Agent wao akiamua tu anaweza ku register Number za Magari hata akiwa chumbani kwake na Mkewe.
Naziomba Mamlaka husika ziingilie kati na kuwakemea TARURA na huu mfumo wao ambao unatoa room ya wizi, uonevu na Bughuza isiyo ya lazima.
Binafsi nina Magari matano, matatu yana mwezi wa tatu hayatembei, ila yote yanadaiwa na inaonekana ni deni la juzi tu.
Nitoe rai kwa wenye Mgari pitieni hii Portal ya TARURA, maana unaweza kuwa unadaiwa bila kujua mwisho wa siku ukaishia kugombana na Polisi.
Single News | Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA
A page template to display single newswww.tarura.go.tz
=====
UPDATES;
=====
TARURA Watolea ufafanuzi kuhusu malalamiko haya. Zaidi soma;
Thread 'TARURA WAfafanua kuhusu ada ya Maegesho ya Magari kidijitali' TARURA WAfafanua kuhusu ada ya Maegesho ya Magari kidijitali
=====
UPDATES
=====
Waziri Ummy Mwalimu asitisha utaratibu huu kwa muda.
Thread 'Waziri Ummy asitisha kwa muda mfumo wa kieletroniki wa kukusanya ada ya maegesho ya magari unaosimamiwa na TARURA' Waziri Ummy asitisha kwa muda mfumo wa kieletroniki wa kukusanya ada ya maegesho ya magari unaosimamiwa na TARURA