Juan San Roman
Member
- Mar 13, 2012
- 52
- 12
Jamani kwa wale wenzangu wa EPL,LAL LIGA, CHAMPIONS LEAGUE NA EUROPEAN FOOTBALL kwa ujumla, nimesikia kuna sports lounge ya kisasa imefunguliwa maeneo ya Posta Mpya..mwenye details kamili atajuze....haya mambo ya kuangalia kwenye vibanda nimechoka...