Wakuu! habari za jioni. Naomba kuuliza kama kuna yeyote amewahi kufanya transactions/kununua phones ONLINE kwa hii Company called TELECOM ARENA GENERAL TRADE "Omar bin Al Falah - Sales Manager". ( wanadai wako Dubai!)
Mwenye ufahamu au experience na hawa watu, please naomba anijuze. Ahsanteni sana, nawatakieni jioni njema.
Mwenye ufahamu au experience na hawa watu, please naomba anijuze. Ahsanteni sana, nawatakieni jioni njema.