wadau naombeni msaada wa wapi naweza kuinunua hii baisker kwa bei nafuu popote tanzania?? niliwai kua nayo mwanzo kuna mtu aliniletea toka zanzibar mpaka naimiliki nilitumia tsh 180000.,sasa nw hayupo tanzania so kama unajua wapi nitapata basi naomba tuwasiliane.