I wish hawajamaa wangekuwa wanasikia haya! SIJUI UGUMU UNATOKA WAPI?
Kuwa na katiba mpya is a long process. Rejea the case of Kenya. Binafsi nisingeunga mkono vyama kususia uchaguzi eti kwa sababu katiba haijakaa vizuri. Huwezi ukaleta mabadiliko ukiwa nje ya system. Mfano mzuri ni hivi sasa, chadema wameongeza wabunge na sauti ya wanyonge imeendelea kusikika zaidi. Kwa kufanya hivyo, umuhimu wa kuwa na katiba mpya utaongezeka.
Kudai Katiba mpya ni muhimu hasa kutokana na vyama kujifunza kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi, ambazo zimetokana na ubovu wa katiba. Ikumbukwe kuwa kipindi hiki kuwa tofauti na chaguzi zilizopita, kutokana na mwamko mkubwa wa watu hasa vijana, na wasomi wengi. Elimu ya uchaguzi inaendelea kuenea kwa watu, mazingira yanaonyesha miaka 5 ijayo itakuwa na tofauti kubwa tofauti na sasa. Bila katiba mpya amani ya nchi yetu hatarini. Ni hatari kutokana na udhaifu unaoonyeshwa na tume ya uchaguzi, mahakama, nk.
Ningependa nafasi kumi za rais kuteua wabunge zinafutwa mara moja.
kaka, wananchi wetu wanaweza kuchagua wabunge mbumbumbu hawajafika hata darasa la saba itampa rais tabu kupata mawaziri.
Na kuna watu watendaji wazuri lakini sio wanasiasa rais anaweza kumteua mfano CEO fulani awe waziri wa Fedha kama anafaa na ubunge anapewa. Mimi naona hizo nafasi bado za umuhimu.
Ningependa nafasi kumi za rais kuteua wabunge zinafutwa mara moja.
kaka, wananchi wetu wanaweza kuchagua wabunge mbumbumbu hawajafika hata darasa la saba itampa rais tabu kupata mawaziri.
Na kuna watu watendaji wazuri lakini sio wanasiasa rais anaweza kumteua mfano CEO fulani awe waziri wa Fedha kama anafaa na ubunge anapewa. Mimi naona hizo nafasi bado za umuhimu.