Ukiona mtu anahoji umuhimu wa katiba, tena katiba bora basi hakika fahamu tuna safari ndefu huko tuendako!Ndugu nimekupa vizuri sana, tambua tuna vijana waajabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona mtu anahoji umuhimu wa katiba, tena katiba bora basi hakika fahamu tuna safari ndefu huko tuendako!Ndugu nimekupa vizuri sana, tambua tuna vijana waajabu sana.
Na ndipo ilipo tageti ya wanasiasa wa upinzani wao wanafikiria wakipata katiba itawapeleka Ikulu ..Duuh,una elimu Gani kama unaipima katiba katka kipengele kimoja cha cha uchaguzi huru na haki tuu?VP uwepo wa serikali tatu,nguvu ya wananchi kuwajibisha viongozi,kupunguzwa kwa madaraka ya mkuu wa nchi,nk
Acha ulimbukeni wewe Katiba nzuri ya nchi ni nyenzo muhimu Sana ya kuendesha nchi Kwa utaratibu unaofaa.Na ndipo ilipo tageti ya wanasiasa wa upinzani wao wanafikiria wakipata katiba itawapeleka Ikulu ..
sawa katiba ina vitu vingi lakini hatuwezi kuficha ukweli inaangaliwa kwa umakini kwenye mgawanyo wa madaraka na uchaguzi
hatuwezi kuepuka ilo.
nani kasema anataka katiba mpya ili ituletee maji na barabara??kuna mtu kasema anahtaji katiba mpya ili iboreshe huduma za kijamii??ni wapi ulisikia mtu anadai katiba mpya ili itujengee viwanda??? constitution is the body which governs the state,tunahtaji katiba ambayo itaweka mifumo na misingi ili rais atakayepatikana awe kichaa au timamu misingi ndyo im'shapeTufike sehemu tuwe wakweli kwa serikali za kiafrika hata tuwe na katiba nzuri kiasi gani sio suluhisho la matatizo yetu hasa kuna watu wanasema .
Tukipata katiba tutaweza kuwa na uchaguzi ulio huru thubutu hakuna kitu kama hicho na hakitakaa kitoke
Matatizo ya uchaguzi ni busara za vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi na utashi wa viongozi waliopo madarakani
Kama mnabisha angalia uchaguzi wa mwaka 2017 nchini kenya Mpaka kijana mmoja mzalendo wa tume ya uchaguzi IEBC alikatwa kiganja ili tu Uhuru Kenyatta aendelee kuwa madarakani
Kenya ndio nchi yenye katiba bora kuliko nchi zote barani africa lakini kilichotokea mwaka 2017 ilikuwa ni ubakaji wa democrasia waziwazi.
angalia Marekani mwaka 2016 Trump alizidiwa popular votes million 3 lakini mpaka sasa eti yupo ikulu sijui anawakilisha wananchi wapi upuuzi mtupu.
tufike sehemu tuwe wakweli hata kama tungetengeneza katiba ya namna gani kama hakuna utashi wa watawala na watu wa usalama kama police na jeshi hawajaamua kuwa wazalendo na kuacha kutumikishwa na wao kuwa na wagombea hasa africa tutaendelea kupiga kelele mpaka kiama ..
Hivi unategemea mtu kama Magufuli akupe katiba mpya halafu akuruhusu kwenda IKULU?
Mamlaka zinatoka kwa Mungu lakini applications za mamlaka zaweza kuingiliwa na mashetani. Mfano ni Nebuchadnezzar, Hitler na IDD Amin DadaHakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu.hata hiyo iliyopo imeamriwa kutoka juu.
Hili andiko wengi huwa wanalichukulia literally. Ile mamlaka ya utawala ni Mungu ameiweka na anakuwa anaweka vipawa kwa watu fulani ili waongoze nchi kwa mafanikio.Mamlaka zinatoka kwa Mungu lakini applications za mamlaka zaweza kuingiliwa na mashetani. Mfano ni Nebuchadnezzar, Hitler na IDD Amin Dada
Hata iliyoko yaweza kuingiliwa
Hilo swali usijibuuuuMkuu,labda uongezee hapa:
-Nyie ni akina nani na mko wapi(if you dont mind)!
-Bila shaka ni inputs nyingi zinahitajika, mngeacha milango wazi kwa wengine kuleta hizo inputs.
Kwa mungu yupi? Au yule aliyebebwa na shetani na kuonyeshwa mji ?Hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu.hata hiyo iliyopo imeamriwa kutoka juu.
Sahihi kabisa..!Mamlaka zinatoka kwa Mungu lakini applications za mamlaka zaweza kuingiliwa na mashetani. Mfano ni Nebuchadnezzar, Hitler na IDD Amin Dada
Hata iliyoko yaweza kuingiliwa
Jecha! Mhuuu,Alifuata katiba lakini alivunja sheria.Maana ili ufute uchaguzi ni lazima uwe na vigezo ,kikibwa chao iwe upigaji kita uligubikwa nafujo ,mauwaji,upotevu wa visanduku na au lolote lilisababishwa mchakato wa kupiga kura na kuhesabu usifanyike.Tena ili ufute uchaguzi iwe hali hii ni kwa nchi nzima.siobaadhi ya vituo.Na swali moja tu. Alichofanya Jecha alifuata katiba au hakufuata katiba? Baada ya hapo urudi uniambie umuhimu wa kubadilisha katiba kwenye Jamii ambayo haifuati wala kuitetea hiyo katiba inapovunjwa.
, xz,,,*__**,_,*_†,,*"__†"__''. X. Z , f ccxxzxxzxxxçxxxcxxzl ccfzZcvcvvvçvçc vccl fMamlaka zinatoka kwa Mungu lakini applications za mamlaka zaweza kuingiliwa na mashetani. Mfano ni Nebuchadnezzar, Hitler na IDD Amin Dada
Hata iliyoko yaweza kuingiliwa
G gyyyyglxll,,ccfffgvgyfgpgy66fcç,zzctUkiona mtu anahoji umuhimu wa katiba, tena katiba bora basi hakika fahamu tuna safari ndefu huko tuendako!
africaHilo la mabadiliko ya katiba ndiyo jibu la matatizo yetu ya uchaguzi. Hongera kwa wazo hilo la kuanzisha vuguvugu ili kesho kama tunarudia kumchagua Dr. Slaa, tunajua tuko salama vinginevyo tutakuwa tunafanya biashara ya kubeba maji kwa gunia