Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kikubwa ni watanzania kujitambua.. Mimi sioni sababu ya majaji wetu kutokuufanyia kazi uhuru wao walionao kikatiba..Umesahau madaraka ya kimungu ya Raisi katiaba ya sasa rais ndio alfa na omega
Leo tumepata pombe anavunja iatakavyo siku tunampata mbaya zaid ndio utajua
Itakayoleta tume huru ya uchaguzi na katiba yenye kuruhusu vyama vya siasa kuungana.
"Inabidi tuanzishe kampeni yakudai katiba mpya"Itakayoleta tume huru ya uchaguzi na katiba yenye kuruhusu vyama vya siasa kuungana.
Eweee Mungu wetu tufanyie wepesi maombi yetu haya. Tumechoka ivyo!!
Ukiona pamoja na kuwa na katiba "mzuri" bado suala la uchaguzi linategemea busara za vyombo vya ulinzi na usalama basi fahamu hiyo katiba ina mapungufu makubwa! Ina mapungufu kiasi cha kushindwa kuweka mipaka kati ya mihimili kadhaa ya dola na taasisi zake!Tufike sehemu tuwe wakweli kwa serikali za kiafrika hata tuwe na katiba nzuri kiasi gani sio suluhisho la matatizo yetu hasa kuna watu wanasema .
Tukipata katiba tutaweza kuwa na uchaguzi ulio huru thubutu hakuna kitu kama hicho na hakitakaa kitoke
Matatizo ya uchaguzi ni busara za vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi na utashi wa viongozi waliopo madarakani
Ndugu nimekupa vizuri sana, tambua tuna vijana waajabu sana.Ukiona pamoja na kuwa na katiba "mzuri" na bado suala la uchaguzi linategemea busara za vyombo vya ulinzi na usalama basi fahamu hiyo katiba ina mapungufu makubwa! Ina mapungufu kiasi cha kushindwa kuweka mipaka kati ya mihimili kadhaa ya dola na taasisi zake!
Katiba mzuri haiwezi ikatoa loophole ya vyombo vya ulinzi na usalama viwe eti ndio determinant za what next after uchaguzi!!