silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Mi nafikiri Hawa jamaa wanalijua hilo la katiba mpya lipo midomoni mwa Watanzania sasa, Na ndio maana wamemuweka Speaker mwenye kiburi cha kuzqliwa yule Anne Makinda,, Ili mtu yeyote akianzisha suala la Katiba aliziue na kuwaambia wabunge kuacha kabisa mjadala wa Katiba,,, Hii ndio maana yao..