Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Watanzania tulikuwa tumepata nafasi pekee ya kumpata kiongozi ambaye anegtupatia katiba ya kisasa sambamba na matakwa ya millenium hii. Unfortunately majambazi wametuharibia bahati yetu hiyo na kuturudisha kwenye ujima. Nashindwa kuwaelewa watu wanaosema President wa watu Slaa akubaliane na ujambazi huo. Ningemshauri anyamze kwa kipindi lakini akumbuke kuwa watanzania wengi wanahitaji uongozi wake kuliko kipindi chochote katika 15 iliyopita; watu wanataka uhuru wao halisi wakilindwa na Katiba yao, siyo huu wa bandia ambapo katiba inawalinda wakubwa tu. Slaa asikubaliane na hiyo dhana potofu kuwa akubali matokeo ya uonevu eti kwa faida ya amani. "Those who sacrifice liberty for security deserve neither!!!"
Kichuguu,
Kwani CCM ilikuwa haijulikani ni majambazi kabla ya kuingia kwenye uchaguzi?? wameanza kuiba kura tangu tunapiga zile za mtu na kivuli!!!!!!
Slaa hatkiwi kwenda IKULU ndio abadili katiba, tunataka katiba ibadilishwe sasa kabla ya mtu yeyote kwenda ikulu! akifika pale atabadilika, kwani ni binadamu tu! katiba inamlinda kiongozi kutotumia hulka za binadamu kuamua! Slaa was never a saint and was not qualified for that.
Kama aliweza kuacha upadre, akaondoka CCM, na kutembea na mke wa mtu inaonyesha kabisa ni BINADAMU KAMILI MWENYE KUHITAJI SHERIA ZA KUMLINDA!!!!!
Tell him to fight for constitutional change starting from today, and see if he will dare to say that!!!