New Mount Meru Hotel

ndezi

Member
Nov 25, 2010
6
0
Nadhani kwa wakaazi wa Arusha na vitongoji vyake watakuwa wameshaona kwenye mabango mbalimbali barabarani ama kupitia redio ama magazeti ya kuwa iliyokuwa inaitwa novotel mount meru hotel inafunguliwa tena upya ikijulikana kama New Mount Meru Hotel.

Kikubwa nachotaka kuwafikishia watanzania wenzangu ni kuwa nimestaajabika sana ile maana kamili ya uwekezaji kuendelea kutupwa kapuni. Huwezi amini moderator na watanzania kwa ujumla, Hotel hii hadi maua na mchanga vyote vimetoka South Africa ambapo ndipo ilipo kampuni iliyopewa jukumu la kuindesha hotel hii ijulikanayo kama Zabulan.

Nachokiona hapa ni kuwa wasauzi afrika wao wanathamini vyao hata kama wako nje ya kwao, itakumbukwa watu walishapiga kelele kuhusu bidhaa zipatikanazo shoprite ya kuwa hadi nyanya na vitunguu hata mchicha vinatoka hukohuko SA, sasa ambacho watu watajionea hapa ni kuwa mchanga, maua, mbolea, signboards, tisheti, viatu, sabuni, vitambaa, computer, curtains na vyooote vinatoka sauzi afrika, hivi ina maana hapa hatuna hivyo vitu; vingine itasemekana labda viwango na jee hata mbolea na mchanga??

Kali zaidi ni kuwa Senior staffs woote ni ndani ya sauzi afrika ama asia au kwa watani wa jadi, ina maana hapa hatuna mameneja wazuri wakuendesha hotel? hatuna mashefu wazuri hapa tz?

Ikumbukwe walisema katika ajira wataweka mbele wazawa...hii imefia wapi??

Kama uwekezaji ndo hivi jamani bora tufie na tai shingoni.

Kali nyingine ni kuwa Raisi wetu yuleyule aliyeifunguaga Snow Crest Hotel then kesho yake ikaja kuvunjwa ukuta ndio anakuja tarehe 17Dec kuifungua hii ambayo ilikuwa mali ya watanzania then mkapa na magufuli wakaiuza na sasa watanzania hawana hata percent moja hapa, hilo moja pili ni kuwa wafanyakazi woote ni wametoka kenya ama sauzi afrika ma bara asia na pia waliopewa tenda za ku-supply vyakula ni wakenya tupu na vyote vinatoka hukuhuko kenya kuanzia kuku, maharage hadi matunda, jamani rais hana washauri wakamfungua kwenye hili na jee watanzania tutakuwa wapole hadi lini watu wanakuja kupora malighafi zetu na kukimbia??

Ama ndio kichwa cha mwendawazimu??

TUAMKE WATANZANIA NA TULIANGALIE HILI SWALA LA MOUNT MERU KWA JICHO LATATU.

NGUVU YA UMAA IFANYE KAZI JAMANI............
 
Mbona wabongo wengi mnapenda kulalama sana! Fanyeni kazi mpaka mwaka 2015 tena.
 
Mkuu Ndezi (nice name though)... wewe leo ukienda Sauzi ukakuta mijitu yenyewe mivivu, majungu, kulalama, mafisadi, vibaka, wasengenyaji na aliyekupa hizo nyuzi ni msauzi mwenyewe utafanyaje?

Si utaanza kutafuta unaowaamini?? Ndivyo hospital ilivyofanya hao makaburu

Hayo ya maua na majani, sina la kusema kwasbabu ni mijitu yetu ya borders (airport bandari na mpakani) ndiyo imeruhusu

MITANZANIA NDIVYO TULIVYO
 
nathani useme ukweli hiyo Hotel iliiuzwa kwanza kwa Mtanzania chini ya Blue Jewel Co akawa hana hela ya kuifufua ndo akaingia ubia na the Southern African Enterprise Development Fund (SAEDF) ambao kwa sasa wanamiliki 40% kufanya kampuni Hotel Management Company Ltd (HODI)! Tuache majungu Wabongo kama Hotel mlipewa ila ndo mambo ya ufisadi aliyeuziwa hakuwa na uwezo wa kuikarabati kama makubaliano yalivyohitaji mfanywe nini? na wa kulaumiwa ni nani? halafu suala la mchanga kuletwa toka SA kuna vitu kama "organic humus soil" na "compost" ambavyo vyote hutumiwa kupanda maua na majani sidhani kama kuna kampuni hapa Tanzania inayoshughulika na kutengeneza bidhaa hizi! nathani hilo linahitaji maarifa zaidi ya kulalamika! uwezo wa wafanyakazi pia nathani kuna Watanzania pia wameajiriwa kutokana na uwezo wao... sasa huwezi kumlazimisha mwekezaji hata awe Mtanzania kuweka Watanzania woote kazini bado tuna upungufu wa skilled individuals with experience nathani over time hayo mambo yataisha tuwe na subira!
 
Nadhani kwa wakaazi wa Arusha na vitongoji vyake watakuwa wameshaona kwenye mabango mbalimbali barabarani ama kupitia redio ama magazeti ya kuwa iliyokuwa inaitwa novotel mount meru hotel inafunguliwa tena upya ikijulikana kama New Mount Meru Hotel.

Kikubwa nachotaka kuwafikishia watanzania wenzangu ni kuwa nimestaajabika sana ile maana kamili ya uwekezaji kuendelea kutupwa kapuni. Huwezi amini moderator na watanzania kwa ujumla, Hotel hii hadi maua na mchanga vyote vimetoka South Africa ambapo ndipo ilipo kampuni iliyopewa jukumu la kuindesha hotel hii ijulikanayo kama Zabulan.

Nachokiona hapa ni kuwa wasauzi afrika wao wanathamini vyao hata kama wako nje ya kwao, itakumbukwa watu walishapiga kelele kuhusu bidhaa zipatikanazo shoprite ya kuwa hadi nyanya na vitunguu hata mchicha vinatoka hukohuko SA, sasa ambacho watu watajionea hapa ni kuwa mchanga, maua, mbolea, signboards, tisheti, viatu, sabuni, vitambaa, computer, curtains na vyooote vinatoka sauzi afrika, hivi ina maana hapa hatuna hivyo vitu; vingine itasemekana labda viwango na jee hata mbolea na mchanga??

Kali zaidi ni kuwa Senior staffs woote ni ndani ya sauzi afrika ama asia au kwa watani wa jadi, ina maana hapa hatuna mameneja wazuri wakuendesha hotel? hatuna mashefu wazuri hapa tz?

Ikumbukwe walisema katika ajira wataweka mbele wazawa...hii imefia wapi??

Kama uwekezaji ndo hivi jamani bora tufie na tai shingoni.

Kali nyingine ni kuwa Raisi wetu yuleyule aliyeifunguaga Snow Crest Hotel then kesho yake ikaja kuvunjwa ukuta ndio anakuja tarehe 17Dec kuifungua hii ambayo ilikuwa mali ya watanzania then mkapa na magufuli wakaiuza na sasa watanzania hawana hata percent moja hapa, hilo moja pili ni kuwa wafanyakazi woote ni wametoka kenya ama sauzi afrika ma bara asia na pia waliopewa tenda za ku-supply vyakula ni wakenya tupu na vyote vinatoka hukuhuko kenya kuanzia kuku, maharage hadi matunda, jamani rais hana washauri wakamfungua kwenye hili na jee watanzania tutakuwa wapole hadi lini watu wanakuja kupora malighafi zetu na kukimbia??

Ama ndio kichwa cha mwendawazimu??

TUAMKE WATANZANIA NA TULIANGALIE HILI SWALA LA MOUNT MERU KWA JICHO LATATU.

NGUVU YA UMAA IFANYE KAZI JAMANI............


Hiyo hotel serikali ilimuuzia muwekazi mzalendo, Bwana Sunda, ambaye aliendelea kumtumia meneja yuleyule aliyekuwa akiindesha kabla ya kuuzwa, huyo ni mkenya, Fred Maina. Baadae Sunda alizidiwa na madeni katika biashara zake na kwakuwa hana elimu (hajakanyaga hata darasa moja) alishauriwa na mmoja wa aliyekuwa naibu gavana wa BOT kuwa watafute wawekezaji watakaonunua nusu ya shares za Sunda.

Sunda hakujua ule mchezo, muwekazaji alikuja kutoka South-Africa, ni taasisi yenye makao makuu yake USA. Sunda aliingia mikataba ya kijinga kabisa na kilichotokea mwishowe alilazimika kuuza shares karibu zote. Alifanyiwa ufisadi wa kimafia, siri zingine ni za ndani mno na zinawahusisha watu wengi wakubwa, lakini kikubwa alihujumiwa.

Upande wa pili wa stori, turudi kwenye uuzwaji wa ile hotel, kwa kweli serikali iliiuza kwa bei ya kutupa, ulikuwa ni ujinga kuiacha hoteli kama ile iende kiholela kama vile, mkumbo huo pia ulizipata hotel kama Embassy na Kilimanjaro ambapo wakubwa walitiuibia kwa kutunganya na sera yao ya privatization.

Kuhusu bidhaa zinazotumika kwenye hotel hiyo kutoka S.Africa na Kenya, hivi wewe ndugu yangu ungebahatika kupata diliu kwenye Taifa lenye viongozi vilaza kama TZ usingefanya kama hao wa-south, serikali imefumba macho, jamaa wanakamua tu kama kawa!
 
Nadhani kwa wakaazi wa Arusha na vitongoji vyake watakuwa wameshaona kwenye mabango mbalimbali barabarani ama kupitia redio ama magazeti ya kuwa iliyokuwa inaitwa novotel mount meru hotel inafunguliwa tena upya ikijulikana kama New Mount Meru Hotel.

Kikubwa nachotaka kuwafikishia watanzania wenzangu ni kuwa nimestaajabika sana ile maana kamili ya uwekezaji kuendelea kutupwa kapuni. Huwezi amini moderator na watanzania kwa ujumla, Hotel hii hadi maua na mchanga vyote vimetoka South Africa ambapo ndipo ilipo kampuni iliyopewa jukumu la kuindesha hotel hii ijulikanayo kama Zabulan.

Nachokiona hapa ni kuwa wasauzi afrika wao wanathamini vyao hata kama wako nje ya kwao, itakumbukwa watu walishapiga kelele kuhusu bidhaa zipatikanazo shoprite ya kuwa hadi nyanya na vitunguu hata mchicha vinatoka hukohuko SA, sasa ambacho watu watajionea hapa ni kuwa mchanga, maua, mbolea, signboards, tisheti, viatu, sabuni, vitambaa, computer, curtains na vyooote vinatoka sauzi afrika, hivi ina maana hapa hatuna hivyo vitu; vingine itasemekana labda viwango na jee hata mbolea na mchanga??

Kali zaidi ni kuwa Senior staffs woote ni ndani ya sauzi afrika ama asia au kwa watani wa jadi, ina maana hapa hatuna mameneja wazuri wakuendesha hotel? hatuna mashefu wazuri hapa tz?

Ikumbukwe walisema katika ajira wataweka mbele wazawa...hii imefia wapi??

Kama uwekezaji ndo hivi jamani bora tufie na tai shingoni.

Kali nyingine ni kuwa Raisi wetu yuleyule aliyeifunguaga Snow Crest Hotel then kesho yake ikaja kuvunjwa ukuta ndio anakuja tarehe 17Dec kuifungua hii ambayo ilikuwa mali ya watanzania then mkapa na magufuli wakaiuza na sasa watanzania hawana hata percent moja hapa, hilo moja pili ni kuwa wafanyakazi woote ni wametoka kenya ama sauzi afrika ma bara asia na pia waliopewa tenda za ku-supply vyakula ni wakenya tupu na vyote vinatoka hukuhuko kenya kuanzia kuku, maharage hadi matunda, jamani rais hana washauri wakamfungua kwenye hili na jee watanzania tutakuwa wapole hadi lini watu wanakuja kupora malighafi zetu na kukimbia??

Ama ndio kichwa cha mwendawazimu??

TUAMKE WATANZANIA NA TULIANGALIE HILI SWALA LA MOUNT MERU KWA JICHO LATATU.

NGUVU YA UMAA IFANYE KAZI JAMANI............

Mameneja wa kibongo vikao tuu vya kupeana taarifa za kazi vinavyofanyika ndani ya masaa ya kazi wanataka walipwe allowance!!!! Sekta binafsi haiendeshwi hiyvo
 
Hiyo hotel serikali ilimuuzia muwekazi mzalendo, Bwana Sunda, ambaye aliendelea kumtumia meneja yuleyule aliyekuwa akiindesha kabla ya kuuzwa, huyo ni mkenya, Fred Maina. Baadae Sunda alizidiwa na madeni katika biashara zake na kwakuwa hana elimu (hajakanyaga hata darasa moja) alishauriwa na mmoja wa aliyekuwa naibu gavana wa BOT kuwa watafute wawekezaji watakaonunua nusu ya shares za Sunda.

Sunda hakujua ule mchezo, muwekazaji alikuja kutoka South-Africa, ni taasisi yenye makao makuu yake USA. Sunda aliingia mikataba ya kijinga kabisa na kilichotokea mwishowe alilazimika kuuza shares karibu zote. Alifanyiwa ufisadi wa kimafia, siri zingine ni za ndani mno na zinawahusisha watu wengi wakubwa, lakini kikubwa alihujumiwa.

Upande wa pili wa stori, turudi kwenye uuzwaji wa ile hotel, kwa kweli serikali iliiuza kwa bei ya kutupa, ulikuwa ni ujinga kuiacha hoteli kama ile iende kiholela kama vile, mkumbo huo pia ulizipata hotel kama Embassy na Kilimanjaro ambapo wakubwa walitiuibia kwa kutunganya na sera yao ya privatization.

Kuhusu bidhaa zinazotumika kwenye hotel hiyo kutoka S.Africa na Kenya, hivi wewe ndugu yangu ungebahatika kupata diliu kwenye Taifa lenye viongozi vilaza kama TZ usingefanya kama hao wa-south, serikali imefumba macho, jamaa wanakamua tu kama kawa!

Tumeyataka wenyewe. Na huo ndio ushindi wa CCM, chama cha waTanzania wasiopenda ukombozi.
 
nathani useme ukweli hiyo hotel iliiuzwa kwanza kwa mtanzania chini ya hotel management company ltd (hodi) akawa hana hela ya kuifufua ndo akaingia ubia na the southern african enterprise development fund (saedf) ambao wanamiliki 40%! Tuache majungu wabongo kama hotel mlipewa ila ndo mambo ya ufisadi aliyeuziwa hakuwa na uwezo wa kuikarabati kama makubaliano yalivyohitaji mfanywe nini? Na wa kulaumiwa ni nani? Halafu suala la mchanga kuletwa toka sa kuna vitu kama "humus soil" na "organic compost" ambavyo vyote hutumiwa kupanda maua na majani sidhani kama kuna kampuni hapa tanzania inayoshughulika na kutengeneza bidhaa hizi! Nathani hilo linahitaji maarifa zaidi ya kulalamika! Uwezo wa wafanyakazi pia nathani kuna watanzania pia wameajiriwa kutokana na uwezo wao... Sasa huwezi kumlazimisha mwekezaji hata awe mtanzania kuweka watanzania woote kazini bado tuna upungufu wa skilled individuals with experience nathani over time hayo mambo yataisha tuwe na subira!

majungu yamezidi watanzania... Dah
 
mbunge wenu awape majibu ya kuridhisha yawezekana wanakwepa kodi
nASIKITIKA KUSEMA KWAMBA HII POINT HAINA MASHIKO... SI KILA KITU KINAANZIA KWENYE SIASA...

UWAJIBIKAJI NI KILA SEHEMU
 
Hiyo hotel serikali ilimuuzia muwekazi mzalendo, Bwana Sunda, ambaye aliendelea kumtumia meneja yuleyule aliyekuwa akiindesha kabla ya kuuzwa, huyo ni mkenya, Fred Maina. Baadae Sunda alizidiwa na madeni katika biashara zake na kwakuwa hana elimu (hajakanyaga hata darasa moja) alishauriwa na mmoja wa aliyekuwa naibu gavana wa BOT kuwa watafute wawekezaji watakaonunua nusu ya shares za Sunda.

Sunda hakujua ule mchezo, muwekazaji alikuja kutoka South-Africa, ni taasisi yenye makao makuu yake USA. Sunda aliingia mikataba ya kijinga kabisa na kilichotokea mwishowe alilazimika kuuza shares karibu zote. Alifanyiwa ufisadi wa kimafia, siri zingine ni za ndani mno na zinawahusisha watu wengi wakubwa, lakini kikubwa alihujumiwa.

Upande wa pili wa stori, turudi kwenye uuzwaji wa ile hotel, kwa kweli serikali iliiuza kwa bei ya kutupa, ulikuwa ni ujinga kuiacha hoteli kama ile iende kiholela kama vile, mkumbo huo pia ulizipata hotel kama Embassy na Kilimanjaro ambapo wakubwa walitiuibia kwa kutunganya na sera yao ya privatization.

Kuhusu bidhaa zinazotumika kwenye hotel hiyo kutoka S.Africa na Kenya, hivi wewe ndugu yangu ungebahatika kupata diliu kwenye Taifa lenye viongozi vilaza kama TZ usingefanya kama hao wa-south, serikali imefumba macho, jamaa wanakamua tu kama kawa!

Muhimu ni "Impact" kwa uchumi wetu ukilinganisha kabla ya kuuzwa na baada ya kufunguliwa upya. Kwamba Serikali ililipwa ngapi siyo "Relevant" tena hata kama ingetolewa bure ili kukuza ajira nalo ni sawa tuu
 
"Humus soil" ni kitu gani mzee ni kitu rahisi ni mboji ya kawaida tu hakuna cha ajabu.Ila kusema kweli uwajibikaji wetu ni mbovu kila tunapopewa majukumu na tukishindwa maneno yako kibao mdomoni na hili linatupa changamoto hata sisi wenyewe wana JF katika maeneo yetu ya kazi tunawajibikaje??? Toka Rais wetu mpaka serkali yake si wawajibikaji nasema hivyo kwa sababu gani vitu vyote vya kisheria vilishawekwa vitabuni lakini havitekelezwi na wasomi wapo na wana Degree mpaka PhD! We are too lazy to be accepted as hard workers hata kama sasa tuna wasomi wengi kuliko zamani. Mtu anakuja ofcni saa3/4 anaondoka saa 6 na bosi anamwona sasa hii hatuendi hivi.
 
"Humus soil" ni kitu gani mzee ni kitu rahisi ni mboji ya kawaida tu hakuna cha ajabu.Ila kusema kweli uwajibikaji wetu ni mbovu kila tunapopewa majukumu na tukishindwa maneno yako kibao mdomoni na hili linatupa changamoto hata sisi wenyewe wana JF katika maeneo yetu ya kazi tunawajibikaje??? Toka Rais wetu mpaka serkali yake si wawajibikaji nasema hivyo kwa sababu gani vitu vyote vya kisheria vilishawekwa vitabuni lakini havitekelezwi na wasomi wapo na wana Degree mpaka PhD! We are too lazy to be accepted as hard workers hata kama sasa tuna wasomi wengi kuliko zamani. Mtu anakuja ofcni saa3/4 anaondoka saa 6 na bosi anamwona sasa hii hatuendi hivi.
Hapo ndo unapopigwa bao wenzio wana makampuni ya kuuza aina hiyo ya mchanga....angalia hapa kukusaidia kuwa watu hawapigi kelele they mean business http://www.humusproducts.com/ na gardening ni profession
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom