mimi ni new member nipokeeni bandugu.
karibu!
Alafu hivi "unanijua mi ni nani hapa jf ?"
Karibu!
Alafu hivi "unanijua mi ni nani hapa Jf ?"
Mbona unamtisha mgeni jaman!!
My wife usijali ! Sometimes wageni wakikaribishwa ki Mombasa-mombasa urojo-urojo na viazi ! Baadae wananyemelea mizigo zetu .