New JF stars...Afrodenzi...si mchezo na anatisha .......i!!!

Dark City

JF-Expert Member
Oct 18, 2008
16,253
11,597
Huyu dada anatisha sana na anameremeta...Hebu ona vitu vyake...
afrodenzi
JF Senior Expert Member
Join Date:Mon Nov 2010
Location:sweet home
Posts:2,096
Thanks:250
Thanked 232 Times in 216 Post

Yaani amechapa wastani wa mitundiko 47 kwa siku. Hii ina maana baada ya mwaka mmoja atakuwa anafukuzana na wazeee wazima wa JF kwa kuchapa posts kama 17000!!!

Namfagilia sana huyu mjukuu wangu....Bravo AD!!!
 
Na leo sijui umejificha wapi mama watoto wangu mtarajiwa, njoo basi huku unipoze roho yangu
ewe kipenzi cha roho yangu AD.
 
Na leo sijui umejificha wapi mama watoto wangu mtarajiwa, njoo basi huku unipoze roho yangu
ewe kipenzi cha roho yangu AD.

Usiwe na shaka..naamini AD atakuja muda si mrefu..Ngoja kwanza atoke kwa mchungaji kupata baraka za siku hii tukufu ya leo!
 
Usiwe na shaka..naamini AD atakuja muda si mrefu..Ngoja kwanza atoke kwa mchungaji kupata baraka za siku hii tukufu ya leo!

Nashukuru babu kwa kunitoa dukuduku langu moyoni na bila shaka atapitia kule ulikonitolea utabiri wa maisha yangu ya ndoa hapo baadaye.
 
Babu mwenzangu naona umekuwa bize kufuatilia profile za wajukuu zetu.

Huyu afrodenzi naona analala na keyboard.....
 
Huyu dada anatisha sana na anameremeta...Hebu ona vitu vyake...


Yaani amechapa wastani wa mitundiko 47 kwa siku. Hii ina maana baada ya mwaka mmoja atakuwa anafukuzana na wazeee wazima wa JF kwa kuchapa posts kama 17000!!!

Namfagilia sana huyu mjukuu wangu....Bravo AD!!!

nimechelewa kuingia humu ...
mmmhhh babu asante sana ...
 
Na leo sijui umejificha wapi mama watoto wangu mtarajiwa, njoo basi huku unipoze roho yangu
ewe kipenzi cha roho yangu AD.

hahahahah lol mi niko samahani kidogo kwa kuchelewa.....
vipi humu ndani naona Babu DC kaniandalia suprise party ,,, kwa kweli
 
hahahahah lol mi niko samahani kidogo kwa kuchelewa.....
vipi humu ndani naona Babu DC kaniandalia suprise party ,,, kwa kweli

This is special for you baby cause you deserve it,I ve never seen you getting angry even one day.
BIG UP FOR THAT.
 
asante sana bibi Chausi wangu.....
je ile mihogo umesha kaanga..
maana chchandu nimesha andaaa..lol


mihogo niandae wapi ndugu yangu,
hapa nimechanganyikiwa coz tokea shemeji yako akusindikize juzi hajarudi home hadi leo,
na ww nikikupigia simu yako inasema niache ujumbe.
vipi yuko wapi?kama unajua alipo mwambie anitumie tu pesa ya chakula hayo mengine atajijua mwenyewe!
 
Babu mwenzangu naona umekuwa bize kufuatilia profile za wajukuu zetu.

Huyu afrodenzi naona analala na keyboard.....

mmmmhhhh babu Asprin na we pia mtaalum wa kukagua..hahah hahah lol
wakati babu DC yuko bisy kufundisha lol
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom