afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Kwa maneno hayo sina hata la kusema ila nashukuru tu maana hata dunia nzima ikinichukia ukanipenda wewe tu bado nitajihisi kama vile naimiliki dunia yote.
oooohh that is so sweet...
lakini usijali atakaye kuchukia alikupenda sana akakosa la kufanya ikabidi akuchukia .
hahahhah lol