New JF stars...Afrodenzi...si mchezo na anatisha .......i!!!

Kwa maneno hayo sina hata la kusema ila nashukuru tu maana hata dunia nzima ikinichukia ukanipenda wewe tu bado nitajihisi kama vile naimiliki dunia yote.

oooohh that is so sweet...
lakini usijali atakaye kuchukia alikupenda sana akakosa la kufanya ikabidi akuchukia .
hahahhah lol
 
AD umerushwa live ndo maana home sijakuona. Hongera sana.

nakwambia babu DC kaamua kuni surprise leo ..

nilienda nyumbani kukawa hakna mtu..
mpaka we ulivyorudi ukafungua mlango ndo nikaingi...
nyumbani ni nyumbani hata niende wapi lazima ntarudi lol..
naona karibu tutagonga 5000 muda si mrefu.....
 
There are currently 13 users browsing this thread. (5 members and 8 guests)


Kuna jombi mmoja namuona hapa toka thread inaanza 10:36AM lakini mpaka usawa huu kauchuna tu sijui anawaza nini maana hata senksi hatoi au yuko PM?

mmmhhhhhh anaangalia tu picha ya AD tu hahahah lol
na PM yake bado naisubiria lol
mambo mazuri hayataki haraka....... hahhaah lol:party:
 
mmmhhhhhh anaangalia tu picha ya AD tu hahahah lol
na PM yake bado naisubiria lol
mambo mazuri hayataki haraka....... hahhaah lol:party:



Offuuuuuuuuuuuuuu,afadhali nimepumua na wasiwasi kunitoka maana nilishaanza kushikwa na wivu hapa.
 
Hongera sana AD, kutokana na ulichokifanya nimekuingiza moja kwa moja katika kundi la watu wangu wa karibu sana.
 
Hongera sana wa kwetu. Nimefurahishwa sana kwa kutambua kwamba umevunja record kwa uwingi wa posts. Keep it up mama!!
 
dah una speed ya light bibie! Hebu nifanye stratergy za kukukamata... Au vp nipe mbinu make nafanya kazi nsijepoteza mkate wangu wa kila siku. Hongera
 
dah una speed ya light bibie! Hebu nifanye stratergy za kukukamata... Au vp nipe mbinu make nafanya kazi nsijepoteza mkate wangu wa kila siku. Hongera

hahhahahah lol umenichekesha..
hamna strategy yeyote ...
navutiwaga tu na mambo mengi humu ndani kwa kweli ni Thread zenu ndo zilizo nifanye hivyo..
actually i should thank you... take care
 
that is so sweet...
mmmhh watu kama nyie ndo mnafikaga mbali kwenye haya maisha...
asante sana mkuu:hug:....

Shukurani sana! Nilishawahi kuambiwa kwamba maneno huumba. Kwa hiyo I am taking the underlined sentence with a bold note.
:A S crown-1: and nakuvisha umalikia wa posts nzuri.
Thanks for the big hug! :whoo:
 
Back
Top Bottom