afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
duh!...haya bwana!afrodonze nitafute badae...
hahahah lol nishakupata....
mambo vipi lakini za kupotea???
duh!...haya bwana!afrodonze nitafute badae...
Mama sio mimi ni upendo wangu tu kwako ndio unanifanya niwe hivi maana chochote ninachofanya naona hakitoshi.
Hongera AD unatisha
mihogo niandae wapi ndugu yangu,
hapa nimechanganyikiwa coz tokea shemeji yako akusindikize juzi hajarudi home hadi leo,
na ww nikikupigia simu yako inasema niache ujumbe.
vipi yuko wapi?kama unajua alipo mwambie anitumie tu pesa ya chakula hayo mengine atajijua mwenyewe![/QUOTE]
Hhahahahahahaah wewe kweli ni mwanamke wa shoka kama wengine wote wangekuwa kama wewe basi nina imani hakuna nyumba ambayo ingevunjika.
mihogo niandae wapi ndugu yangu,
hapa nimechanganyikiwa coz tokea shemeji yako akusindikize juzi hajarudi home hadi leo,
na ww nikikupigia simu yako inasema niache ujumbe.
vipi yuko wapi?kama unajua alipo mwambie anitumie tu pesa ya chakula hayo mengine atajijua mwenyewe!
Afodenzi hujanigongea senksi ujue.....
uwi babu samahani sana umesoma poster yako niliyokutumia hapo nyuma???
mmmhhh paka na we asante sana kwa nyimbo hii ya tatu sasa ninadownlod
asante sana kwa dedication ....
hahahah lol nishakupata....
mambo vipi lakini za kupotea???
Makosa matatu:
1. Babu hawezi kusoma bila mawani - bia tatu
2. Babu hana nyuma - bia saba
3. Samahani bila kutubu - mimba.
Madude umeyahifadhi salama? Hii baridi ni hatari asee.
hahahahaah lol Paka we mmmmmhhh kwa kweli sijui nikufanyaje.....
za kupotea wapi na wakati wewe hujibu nanihii zangu....
Baby mskilize na Lady JD basi halafu jaribu kuweka hisia kuwa maneno hayo yanatoka kwangu.
YouTube - Distance - lady jaydee.
mihogo niandae wapi ndugu yangu,
hapa nimechanganyikiwa coz tokea shemeji yako akusindikize juzi hajarudi home hadi leo,
na ww nikikupigia simu yako inasema niache ujumbe.
vipi yuko wapi?kama unajua alipo mwambie anitumie tu pesa ya chakula hayo mengine atajijua mwenyewe![/QUOTE]
Hhahahahahahaah wewe kweli ni mwanamke wa shoka kama wengine wote wangekuwa kama wewe basi nina imani hakuna nyumba ambayo ingevunjika.
mmmmhhh Dada Cheusi ni mataalm wawa taalum
Fuatilia poster zake utaona raha duniani jinsi anavyojibu,,
keep up great work my friend...
Kwa hilo mi naomba unipende tu hata kama wengine hawawapendi Paka Weusi.
Anapatikana mitaa gani hapa JF?Huyu dada anatisha sana na anameremeta...Hebu ona vitu vyake...
Yaani amechapa wastani wa mitundiko 47 kwa siku. Hii ina maana baada ya mwaka mmoja atakuwa anafukuzana na wazeee wazima wa JF kwa kuchapa posts kama 17000!!!
mmmhhh paka we unajua hilo si tatizo..
usijali nihakika watu wengi wanampenda paka ...
Anapatikana mitaa gani hapa JF?
Anapatikana mitaa gani hapa JF?