#COVID19 New Jersey Marekani: Watu 50 waliopata chanjo yote ya Covid 19 wafariki kwa Covid 19

Chanjo zimesaidia sana kupunguza maambukizi ná vifo katika nchi nyingi za Magharibi. Pamoja ná hayo bado kwa wale wenye chronicle diseases ni lazima wajikinge vinginevyo watapata maambukizi ná kufa ukilinganisha ná wale wenye afya njema ná wamepata chanjo zote. Hawa hata wakipata maambukizi basi ni ugonjwa mdogo sana kwao hauhitaji kulazwa hata uwezekano wa kifo ni mdogo sana.

Bs ni sawa na wale waliokua hawana chanjo na waliugua na hawakupta madhara yoyote waliugua kama flu tu hata hospt hawakwenda
 
Usiyekuwa na akili ni wewe unayedhani chanjo imekuja kufuta kifo!
Uko nyuma ya keyboard ukidhani vihabari uchwara vyako vitazuia wenye hiyari ya kuchanjwa wasichanjwe! Pole sana!

Wewe hujui kusoma? Nani kasema New Jersey walichanjwa ili wasife? Kuna mtu anasema chanjo inazuia kufa?

Usikimbilia kuandika pumba bila kuelewa swali.

Kwa kiwahili ni hivi.

Watu wote 50, walichanjwa chanjo zote, kwa maana awamu moja, ya pili, ya tatu, ama hata ya tano kama inavyohitajika, ili wazuie kupata maambukizi ya Corona, wamekufa kwa Corona. Baada ya kuchanjwa huko.

Wewe unasemaje? Siyo kuharisha. Kama hujui sema hujui maana hata elimu tunatofautiana, hutalaumiwa lakini ukibsha kipumbavu, unapigwa bani.
 
Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.

Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.

Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.

Soma zaidi hapa.
Kwa hiyo?
 
Wahenga walisema bahati ya mwenzio usiilalie milango wazi. CHUKUA TAHADHARI.
Bs ni sawa na wale waliokua hawana chanjo na waliugua na hawakupta madhara yoyote waliugua kama flu tu hata hospt hawakwenda
 
Anti-vaccines someni hapa:_

Donna Leusner, a spokeswoman for the state Department of Health, told the news outlet that all 49 people who died were over 50 years old.

Thirty were over 80 years old, 13 people were between 65 and 79 years old, and six were between 50 and 64 years old.

Leusner also said many of the people who died had preexisting conditions.

Seventeen people had cardiovascular disease, nine had cancer or other conditions that compromised their immune systems and seven had diabetes, the news outlet reported.

Others had chronic conditions in the lungs, kidney and liver.

Anthony Fauci, the country's leading infectious diseases expert, has mentioned that breakthrough cases among fully vaccinated people is inevitable but has stressed that more than 99 percent of those who died from COVID-19 in June were not vaccinated.

Source; thehill.com
 
Mtu anaye anzisha uzi then akaanza kutoa comment ya aina hii, nafikiri hupoteza hata credibility ya uzi wake!
Hapana Iselamagazi . Achana na mwandishi, huyu hapa ni dalali. Ameweka link ya source ya habari yake. Unaweza kuisoma na kuielewa. Tuachane na huyu, tuende na hoja.

WATU WOTE HUKO NEW JERSEY, WALIOCHANJWA KWA UAMINIFU, WAKAMALIZA DOSE KAMA SHERIA INAVYOTAKA, DOSE YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA, WAMEKUFA KWA CORONA.
KWA KUKUONGEZEA:-


Hapa ni wakati ukiendelea kupata chanjo.
Wengine wanakufa kwa damu kuganda.
ambayo kama ndani yako kuna sumaku inakusana vyuma, (maana hata kama wanatatea, hakuna jasho la mtu lilobadilika kuwa sumaku hata kama angekuwa anfanya kazi ngumu namna gani).
Damu ya mtu inamadini ya chuma, kwa nini yasijikusanye na kuzuia ufanisi hata wa mifum omingine mwilini mwako?

Wewe unasemaje kuhusu hili? Achana na huyu fala kabisa mleta uzi. Hili wewe unalionaje?
 
Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.

Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.

Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.

Soma zaidi hapa.
Asome na kuelewa mheshimiwa sana brazaj
 
Tatizo kubwa la mijitu hapa ni ujinga ambao ni janga la taifa. Mijitu inaona watu wanakufa. Mwigulu alisema hiyo ya Tanzania ni ile inayotumika Marekani ambayo sasa watu wote waliofully vaccinated imewaua, bado inasema, eti inamwangalika kigwangala. Who is kingwangala? He is a mere human being with many inadequacies like others. Mijitu ni mipumbaavu sana. Acha ianze kuchanjwa ikifa mmoja mmoja, ndipo itajifunza wakati will be too late.
Majitu ni mabishi akili ya reasoning hawana...
hao jamaa walishindwa au wameshindwa kupata chanjo ya ukimwi,kansa ndio uje upate ya covid muda mfupi!!???
 
Wewe hujui kusoma? Nani kasema New Jersey walichanjwa ili wasife? Kuna mtu anasema chanjo inazuia kufa?

Usikimbilia kuandika pumba bila kuelewa swali.

Kwa kiwahili ni hivi.

Watu wote 50, walichanjwa chanjo zote, kwa maana awamu moja, ya pili, ya tatu, ama hata ya tano kama inavyohitajika, ili wazuie kupata maambukizi ya Corona, wamekufa kwa Corona. Baada ya kuchanjwa huko.

Wewe unasemaje? Siyo kuharisha. Kama hujui sema hujui maana hata elimu tunatofautiana, hutalaumiwa lakini ukibsha kipumbavu, unapigwa bani.
Ukisikia mtu mwenye kichwa mzigo usihangaike kujiuliza ni nani! Ni WEWE!
 
Mie nimepata chanjo zote mbili toka February lakini bado navaa barakoa. Ni chaguo lako kwani huu ugonjwa umetengenezwa China na sijui kama bahati mbaya au maksudi umeletwA kutupunguza duniani.
Wewe ulichanjwa chanjo gani? Na hii iliyoletwa Tanzania inaitwa nini? Ebu wekeni wazi.
 
Namuelewa sana Magu
Yule mzee kwa hapa hakuwa na mpinzani,tuliishi as if hakukuwa na kitu kinachoendelea huku duniani na kosa watu wanafanya ni kuamini Tanzania Covid 19/20 Vol 1 iliisha ile haikuisha hata Vol II haijaisha bali ni kule kuaminishwa na viongozi (of course ni wanasiasa) kwamba imeisha tukaamini hivyo tukapasua.

Maradhi yoyote ni imani kama ukiamini ni hatari sana kwako yatakuuwa ikiwa utapata maradhi usiyachukulie maanani sana uta-survive,mwaka jana January niliugua mafua makali na homa kali mwili unachemka moto kama tanuri nikatamani hata kuingia kwenye freezer nikalala ndani siku nne na siyo kawaida yangu mafua kunilaza so nikusema huu ugonjwa ulikuwepo hata kabla hatujatangaziwa na tuliumwa kama watu wengine kilichotuokoa wengi ni hatukuwa na hofu ila sasa tunaanza kupoteza dira kuanza kutajiwa wamekufa sijui kumi wagonjwa mia tatu sijui machine za kupumulia zimefanyaje alimradi purukushani so watu hofu inawauwa!
 
Kinachokutesa ni kwamba huna maarifa!Kwani unapoambiwa kuwa efficacy ya chanjo fulani ni asilimia 75 huwa unaelewa nini?
 
Usibadili agenda. Hoja siyo kufa. na hakuna chanjo ya kifo, na hawakuchanjwa ili wasife.

POINT NI HII.

"WOTE 50, WALICHANJWA FULL DOZE YA KINGA Y A CORONA, WAMEKUFA KWA CORONA"

Wewe unasemaje hapo?
Ukisema waliopata chanjo hawawezi kufa huko ni kujidanganya! Mtu mwenye corona anaweza kuuwawa na malaria, kisukari, presha, njaa etc, ebu acheni kudanganya watu, nyie mlisha danganywa na jiwe
 
Back
Top Bottom