New ID

Lady N

JF-Expert Member
Nov 1, 2009
1,914
131
napenda kuwafahamisha wanajamii kuwa nimebadili ID yangu kutoka NPL kwenda Lady N bcoz ID ya kwanza ilikuwa more complex .
 
napenda kuwafahamisha wanajamii kuwa nimebadili ID yangu kutoka NPL kwenda Lady N bcoz ID ya kwanza ilikuwa more complex .

kwani ya kwanza ilikuwa na complexity gani????????? we sema tu unataka ku-alert watu kuwa wewe ni she kwa kutuongezea hako kaneno "lady" baada ya kuona wenzio wanachombezwa kiaina hapa jamvini........... biashara matangazo ati.......................

teteheheeeeeeeee welcome, nitakutumia PM shortly na kama ni single tutaelewana vizuri zaidi.........................
 
Safi na wale ambao wanafikiri ID zao ni tatizo basi wafuate nyayo. Congrats.
 
kwani ya kwanza ilikuwa na complexity gani????????? we sema tu unataka ku-alert watu kuwa wewe ni she kwa kutuongezea hako kaneno "lady" baada ya kuona wenzio wanachombezwa kiaina hapa jamvini........... biashara matangazo ati.......................

teteheheeeeeeeee welcome, nitakutumia PM shortly na kama ni single tutaelewana vizuri zaidi.........................

LOL!!!
Sawa Lady N, tumeinakili
 
kwani ya kwanza ilikuwa na complexity gani????????? we sema tu unataka ku-alert watu kuwa wewe ni she kwa kutuongezea hako kaneno "lady" baada ya kuona wenzio wanachombezwa kiaina hapa jamvini........... biashara matangazo ati.......................

teteheheeeeeeeee welcome, nitakutumia PM shortly na kama ni single tutaelewana vizuri zaidi.........................
Mbona kuanzia mwanzo nafahamika ni she jamani? si hata kwenye status nimeandika!
 
Mbona kuanzia mwanzo nafahamika ni she jamani? si hata kwenye status nimeandika!

ileile ya mwanzo ilikuwa bomba. haya ya kujinadi hapa lady lady ni wizi mtupu. nitafrahisana lama utarudisha ya mwanzo. hata hivo umesaidia kujua kuwa "L' kwenye NPL ni lady, sijui p na L zinasimamia nini......................... if you dont mind.

any way, naweza kukuPM? lakini mie nataka zaidi ma-singles.......kugombana na watu siwezi................ tehteheeee...........
 
Hii nimeipenda kwani ni ushahidi wa wazi kwamba PM zitaongezeka, watu walikuwa wanatatizwa na ID ya mwanzo lakini sasa tambalale.
 
ileile ya mwanzo ilikuwa bomba. haya ya kujinadi hapa lady lady ni wizi mtupu. nitafrahisana lama utarudisha ya mwanzo. hata hivo umesaidia kujua kuwa "L' kwenye NPL ni lady, sijui p na L zinasimamia nini......................... if you dont mind.

any way, naweza kukuPM? lakini mie nataka zaidi ma-singles.......kugombana na watu siwezi................ tehteheeee...........
Am married my dia
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom