New Habari na kutowapa promotion wafanyakazi wao

Status
Not open for further replies.
Ben Mhina anawasaidia nini, mfukuzeni kazi ili mshahara wake angalua mgawane, maana jamaa kazi yake huwa ni kukaimu tu kila kunapokuwapo na ombwe, halafu akipatikana boss kazi yake inakuwa kujipendekeza kwa kumbebea brief case, mtu gani unafanya kampuni moja miaka hamsini??????????????
 
Kwa naiaba ya wafanyakazi wote wa New Habari,nataka nitoe ushauri wa bure kwa CEO wetu kujivua gamba haraka iwezekanavyo kama alivyofanya boss wake aka bwana wake RA,kampuni imekushinda,imeshajieleza,sio rahisi kufanya promotion ya aina yoyote katika kampuni na ikafanikiwa bila kujali hali halisi ya wafanyakazi wako,miezi miwili inaisha haujatulipa mishahara yetu au New Habari mnasubiri mpaka wafanyakazi wafe ndo muwalipe pesa zao??achia ngazi kwa manufaa ya kampuni,tumekuchoka,waliosema we sio raia naungana nao mkono maana hakuna mtanzania mwenye roho mbaya kama wewe,hizo ni tabia za kisomali,,,
Pole mwana New Habari mwenzangu mm ni correspondence.

Nimefanya uchunguzi Pale New Habari si vizuri kufika hapa na Kupotosha wana Jamvi. Ni kweli hamjalipwa mshahara wa Mwezi wa Saba, Mshahara wa Mwezi wa Sita Correspondence wao wamelipwa na Baadhi ya wafanyakazi wamelipwa.

Bashe ametupokea kutoka boby tukiwa hatujalipwa mishahara ya kuanzia mwezi wa Sita mpaka Mwezi wa kumi na Moja.Huyu jamaa alipopokea kampuni amefanya mabadiliko Mengi sana kwanza ametulipa Nusu ya Madeni ya kuanzia mwezi wa sita mpaka mwezi wa kumi na moja.

Bashe amekua akitulipa mishahara bila matatizo,hali ngumu imejitokeza mwezi wa sita na wa saba lakini huyu jamaa unamtuhumu asilimia 80 ya waajiriwa hamfanyi kazi tunaoumia hapa ni sisi tunaoitwa Correspondance,bashe amejaribu kutaka kubadili tabia za watu,humu ndani mabosi wa chumba cha habari wanaingia kazini saa tano mnaingia mmelewa pombe,mnaaandika stori za mishiko kila jambo mpaka asimamie bashe ndio lifanyike.

Mimi kwa niaba ya wenzangu bashe anatulipa,bashe ni kiongozi ambae kampuni hii haijawahi kupata promotion anazofanya sasa ni kitu ambacho toka kampuni hii ianze haijawahi kuendeshwa kisasa,dogo huyu amepokea kampuni haina heshima katika mabenki toka enzi za kina jenerali ina madeni kila mahali amepokea haikopesheki leo inakopesheka.

Ili mlipwe nyie mlioajiriwa fanyeni kazi hata postmortem hakuna hakuna bosi anehuzulia hamfanyi kazi mmekalia majungu na kukaa chini ya miti.Bashe amekua akiwataka muandike kinachotakiwa na soko nyinyi wengine mnaenda kukutana na kina salva na watu wa ccm na kusema bashe hampendi kikwete anataka tuikosoe serekali sisi hatufanyi hivo kujipendekeza kwa kina salva na bado mnaandika utombo tukilete makala za kusomeka hazitoki mnataka awalipe kwa njia gani.

Bashe anafanya kazi kubwa kubadili huu mzoga wetu ambao haukua hata na heshima sokoni leo umeanza kubadili acheni majungu nyie waajiriwa hamfanyi kazi.
 
Pole mwana New Habari mwenzangu mm ni correspondence

Nimefanya uchunguzi Pale New Habari si vizuri kufika hapa na Kupotosha wana Jamvi.Ni kweli hamjalipwa mshahara wa Mwezi wa Saba, Mshahara wa Mwezi wa Sita Correspondence wao wamelipwa na Baadhi ya wafanyakazi wamelipwa.

Bashe ametupokea kutoka boby tukiwa hatujalipwa mishahara ya kuanzia mwezi wa Sita mpaka Mwezi wa kumi na Moja.Huyu jamaa alipopokea kampuni amefanya mabadiliko Mengi sana kwanza ametulipa Nusu ya Madeni ya kuanzia mwezi wa sita mpaka mwezi wa kumi na moja.

Bashe amekua akitulipa mishahara bila matatizo,hali ngumu imejitokeza mwezi wa sita na wa saba lakini huyu jamaa unamtuhumu asilimia 80 ya waajiriwa hamfanyi kazi tunaoumia hapa ni sisi tunaoitwa Correspondance,bashe amejaribu kutaka kubadili tabia za watu,humu ndani mabosi wa chumba cha habari wanaingia kazini saa tano mnaingia mmelewa pombe,mnaaandika stori za mishiko kila jambo mpaka asimamie bashe ndio lifanyike.

Mimi kwa niaba ya wenzangu bashe anatulipa,bashe ni kiongozi ambae kampuni hii haijawahi kupata promotion anazofanya sasa ni kitu ambacho toka kampuni hii ianze haijawahi kuendeshwa kisasa,dogo huyu amepokea kampuni haina heshima katika mabenki toka enzi za kina jenerali ina madeni kila mahali amepokea haikopesheki leo inakopesheka.

Ili mlipwe nyie mlioajiriwa fanyeni kazi hata postmortem hakuna hakuna bosi anehuzulia hamfanyi kazi mmekalia majungu na kukaa chini ya miti.Bashe amekua akiwataka muandike kinachotakiwa na soko nyinyi wengine mnaenda kukutana na kina salva na watu wa ccm na kusema bashe hampendi kikwete anataka tuikosoe serekali sisi hatufanyi hivo kujipendekeza kwa kina salva na bado mnaandika utombo tukilete makala za kusomeka hazitoki mnataka awalipe kwa njia gani.

Bashe anafanya kazi kubwa kubadili huu mzoga wetu ambao haukua hata na heshima sokoni leo umeanza kubadili acheni majungu nyie waajiriwa hamfanyi kazi.

Nina wasiwasi mkubwa kwamba mchangiaji huyu ni yeye Bashe mwenyewe na simwingine. Kwani haiwezekani kabisa mfanyakazi wa New habari kumtetea Bashe. anasema postmortem haifanyiki, lakini yeye mwenyewe anaogopa kuitisha mikutano ya wahariri kwa hofu ya mkutano kugeuzwa ajenda moja: Mishahara.

Na anajua namna jinsi wafanyakazi wanavyofika hapo kazini? Wengine wanatembea kwa miguu kwa kukosa nauli ya basi. Inasemekana Mahamudi Zuberi amegoma kuhariri Dimba kwa sababu kwamba hana mishahara.

Inakera sana kuona kila kukicha wanaletwa watu wa madili (tenda) sijui kufanya usafi wa maofisi (professional cleaners) au kubadilisha tube light zote. Wafanyakazi wanalalamika kuwa wako tayari kufanyakazi katika mazingira ya hovyo lakini mishahara kwanza. Ni kama vile wakati wa akina Salva na Shoo, tenda kila siku, kumbe ni za kufilisi tu kampuni. Na bashe anaenda njia hiyo hiyo.

Nimesoma thread moja hapo juu kwamba yule Cashier Thomas alifukuzwa kazi wiki iliyopita kwa sababu alisema ukweli kuhusu kutolipwa mishahara, kwamba hela zipo isipokwa zinapangiwa mambo mengine. Yeye alikuwa jikon alikuwa anajua ukweli. Kwa nini alifukuzwa -- kwa kusema ukweli?

Hivi inakuwaje yule mama Rose Mwakitwange aliweza kuendesha kampuni vyema kabisa -- mishahara tarehe 26 bila kukosa, na Bashe anashindwa?

Wanambambikizia kuwa eti alikuwa hawasilishi NSSF za wafanyakazi etc. Kwani Bashe yeye anawasilisha? Aseme ukweli wake. hata marejesho ya loans wafanyakazi walichukua Barclays Bank haipelekwi pamoja na kwamba wanakatwa kila mwezi.

Baada ya Rose kuondoka kutokana na kutokubaliana na Rostam kuhusu magazeti kutetea ufisadi, monthly salary bill ili-almost double to about sh 90m/. Hii ni kwa sababu woote aliowafukuza na wengine kuondoka wenyewe -- kama vile akina Muhingo, akina manyerere, Matinyi, Seko wa accounts aliyekuwa anaibia kampuni) etc walirudishwa na pia kuajiri wapya. Hawa walirudishwa kwa njia za kukomoa -- eti walikuwa wanamkomoa Rose Mwakitwange.


Kuhusu makorrespondence ndiyo wanaofanyakazi, huenda ni kwa sababu wao wamelipwa. Hata hivyo hawafanyikazi yoyote, wale wa Kiingereza Kiingereza hawajui, wanakingiwa na wahariri wao ambao wanapata kazi kubwa kurekebisha Kiingereza. Siku moja waandishi wa kawaida wagome wote na wawaachie hao correspondents peke yao kama wanaweza kutoa gazeti. Makorrespondents hawana tija ya maana pale.

 
Ndevu sio mzigo bashe hana sababu ya kukutana na wahariri yeye huingia kazini kati ya saa 2 na saa 3.leo muhalili wa kwanza kaingia saa 5 Muhalili mkuu hayupo kazini tangu asb nyie waajiliwa acheni gazeti tuone kama halitatoka mimi binafsi ni muandishi katika gazeti la the african. Hatuwezi kuendelea kama hamtabadilika waajiriwa mwenzetu mmoja kaleta stori ya barrick mmeua stori mara mumtishe sio mtanzania tupo tunaomuamini bashe wengine walevi humu ndani msitarajie maajabu
 
Tatizo ni kugeuza kampuni kichwa cha mwendawazimu kwa kuwapa hawa mabongo lala mahali pa kujifunzia kazi. Hizo promotion unazoziongelea hivi zinasaidia nini kama sio madili ya ulaji? hivi ni nani atakayesoma gazeti kwa kuona mwamvuli uliokuwa branded jina la kampuni?

Huyo Rose Mwakitwange alikua anapita tu huko hawamuwezi maji marefu yule, alikua anawalipa mshahara kabla ya mwezi kuisha, mishahara yenyewe ya sasa waliongezewa na huyo huyo mama huyu mhina alikuta analipwa laki nne kwa mwezi akaongezwa mpaka milioni 2 yeye na wakurugenzi wenzake, kampuni ilikua inatisha mpaka sisi tukapambana kuhamia, walikua wanajaza mafuta kwa kadi kama za ATM, walipewa simu mpya mblli mbili sasa hiyo NSSF angeshindwaje kulipa, walidhania mramba mavi mwenzao wakataka kumpiga majungu akawashughulikia, eti wakaamua kuwarudisha vilaza walioshindwa kazi kumkomoa, akili za mchwa hvi unamkomoa mtu aliyewa bulshit na kuondoka?

Wahariri walitaka kujipima nguvu nae wamechoka mama wa watu matawi angalia wao tunakula vumbi nao kwenye viti vibovu alivyotuachia yule mama, wao hawataki kufanyakazi wanataka kula tu yule mama alikua anajali watu wadogo ilimradi tu unajali kazi. habari wakampigie magoti arudi kuwaokoa maana imekula kwenu, Bashe hana muda na kazi yeye anatafuta ukubwa, na karibu atafukuzwa nchi amfuate bosi wake RA
 
Hamna mbwana mwambieni Rostam Azizi atailipa tu mishahara yenu ana pesa nyingi sana, kumbuka yeye ndiye msambazajia mkuu wa madawa ya kulevya east africa. labda kama anataka kucheza na akiri zetu ili tujue hana pesa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom