Inasemekana ndani ya kampuni hiyo mambo si shwari kutokana na kwa miezi kadhaa sasakushindwa kuwalipa wafanyakazi mishahara kwa wakati ( tarehe 46) na pia kukabiliwa na migogoro kadhaa ya ki utawala hata kupelekea baadhi ya wafanyakazi kufutwa kazi.
Suala la mshahara linaonekana kuwa sugu sasa na kufikia leo hakuna hata mmoja wa wafanyakazi aliyelipwa. Mmiliki wa kampuni hiyo RA ameamua kuwaacha wadanganyika wataabike na kubaki kuwa ombaomba na wanatusumbua mtaani kwa mizinga.
Mwenye habari zaidi atujuze!
Suala la mshahara linaonekana kuwa sugu sasa na kufikia leo hakuna hata mmoja wa wafanyakazi aliyelipwa. Mmiliki wa kampuni hiyo RA ameamua kuwaacha wadanganyika wataabike na kubaki kuwa ombaomba na wanatusumbua mtaani kwa mizinga.
Mwenye habari zaidi atujuze!