Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Nimesoma kwa mshangao mkubwa makala kwenye gazeti la Mtanzania, Mtanzania hili hili ambalo mwaka mmoja uliopita lilikuwa sauti ya CCM sasa ndilo linaishambulia CCM kwa nguvu zote.
Kuna nini kimetokea? Au ndiyo mikakati ya kumvua Kikwete uenyekiti wa chama? Au Wamezisoma alama za nyakati wakaona hawawezi kuenendelea kwa kuendelea kuwa sauti ya chama kinachokufa?
Kuna nini kimetokea? Au ndiyo mikakati ya kumvua Kikwete uenyekiti wa chama? Au Wamezisoma alama za nyakati wakaona hawawezi kuenendelea kwa kuendelea kuwa sauti ya chama kinachokufa?