Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante.Haya
Karibu
Ahsante mdada..Karibu sana
Hahaha mgeni huyu balaaHaya
Karibu
Hahaha mgeni huyu balaa
Kasie,Mgeni naona huna interest na Mahaba, yangekuwepo ningekukaribisha MMU, wacha waje wenyeji wengine wakukaribishe kwenye maeneo ambayo una interest nayo.
Kasie Matata Mahaba.
Habarii,
Mimi ni member mpya humu jf kwa muda kidogo nimekua mfuatiliaji wa hili jukwaa sasa nimeona nami nijiunge ili niweze kushea na wenzangu yale niliyonayo.
Details
Sex: Male
Location: Milk way Galaxy
Interested in: Linguistic,Programming,Science & gadget, Movies & Music, History, Religious issues,reading and writting.
Natoa nafasi kuulizwa swali lolote.. utajibiwa kiufasaha kama ulivyouliza..
De nada, Gracias!
View attachment 946087
https://www.google.com/url?sa=t&rct...e/tt3045616/&usg=AOvVaw08PFDzc2DIgYujGScjgz-M
Mortdecai
hahaaaaaa come mapafu, nilikosea mkuuYes... Come Figo...!!
Kasie,
mgeni ni mwanaume mkamirifu na rijali hivyo nakuruhusu unikaribishe mmu
Sawa kiongozi... ila kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka... nimebaini kwamba wewe ni mwenyeji wa muda mrefu sana hapa Jf...hahaaaaaa come mapafu, nilikosea mkuu
Ndio, mm ni mwenyeji kwa kuwa nilikua just a guest kama miaka 5 hiviiSawa kiongozi... ila kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka... nimebaini kwamba wewe ni mwenyeji wa muda mrefu sana hapa Jf...
Aisee hivo hivo enzi hizo marehemu captain komba na sauti yake ileHhahahahahhaaa umenikumbusha ule wimbo wa Mgeni huyu ameingia wa Marehemu Komba......
Mgeni ameingia hadi chumbani wanakolala baba na mama.....
na Kesie naruhusiwa kumbeba. Beba na chukua kitachokufaa, i.
na Kesie naruhusiwa kumbeba