12 Marook
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 441
- 329
dizasta vina mabibi na mabwana ni the verteller
Wewe pekee ndie unaejua hip hop ni nini, maana huwezi ukazungumzia hip hop bila kumtaja DIZASTA
dizasta vina mabibi na mabwana ni the verteller
ngoma gani ya mawenge...noma mwanangu?Ngoma ya Rapcha kisanga ni copy and paste ngoma ya p mawenge. Bado hajajua kukakaza
"..sometimes i smoke this weed to release the pain inside me.." - Binno, 2020.Hadi Fat Joe kamu DM CANABINO ku appreciate mimi ni nani nipinge?View attachment 1639239
Anasema Tuna smoke na tupo smart"..sometimes i smoke this weed to release the pain inside me.." - Binno, 2020.
Namuunga mkono, huwa na smoke pia nikiwa n mengi kichwani. Inanifanya nakua poa.
hujachelewa mkuu..sema dogo anakosa management nzuriNilikua sijawahi mskia con boi, aisee..
hujachelewa mkuu..sema dogo anakosa management nzuri
dogo wanamfanyia hila coz aligoma kusaini switch music
mkuu hapo kwa conboi kaskilize above average1.Con boy.....Till I die na Twende.....jamaa kapita sana humu
2. Young Lunya....Though Kuna muda anakua anaongea ongea tu....
Kwahiyo quick rocka ndo anafanya hivyo?hujachelewa mkuu..sema dogo anakosa management nzuri
dogo wanamfanyia hila coz aligoma kusaini switch music
Sad hao hao waliompa jingo watakuwa wamefanya yao"This is conboi cannabino and you are listen to double XL,we would be right back,you feel me"..
Nilifurahi sana clouds walivyomtumia kwenye jingle zao za XXL..
Sema muziki wetu bado sana aisee...kwa kipaji cha huyu jamaa ilibidi awe tayari ameanza kutusua maisha,ila nilikutana naye sehemu amechoka tu
Kwahiyo quick rocka ndo anafanya hivyo?
Maybe anatabia mbovu hatuwezi fahamu...but jamaa mziki anaujua anastahili management nzuri...tunaweza mpoteza kama kina ngwair,chidbenz,ferooz nkKwahiyo quick rocka ndo anafanya hivyo?
"This is conboi cannabino and you are listen to double XL,we would be right back,you feel me"..
Nilifurahi sana clouds walivyomtumia kwenye jingle zao za XXL..
Sema muziki wetu bado sana aisee...kwa kipaji cha huyu jamaa ilibidi awe tayari ameanza kutusua maisha,ila nilikutana naye sehemu amechoka tu