Yaani blue mkali kuliko marehemu langa?1.Ngwair
2.chid Benz
3.Fid q
4.Professor Jay
5.Mr blue
Inawezekana kabisa, hata ukisema ulinganishe ngoma after ngoma.Yaani blue mkali kuliko marehemu langa?
Langa Kileo alifanya Muziki tofauti sana na Mr blue...Mr blue ni Entertainer hakai sana kwenye misingi kitu kinachompa uwanda mpana wa kufanya Muziki hivyo kufanya hits nyingi wakati Langa aliangalia zaidi misngi ambayo inakufunga kwenye box dogo sana la kufanya muziki.Yaani blue mkali kuliko marehemu langa?
hahaha adi uyo alopelekewa posa yupo kwene list!!!?1.Ngwair
2.chid Benz
3.Fid q
4.Professor Jay
5.Mr blue
Acha kumfananisha con na hao watoto mzee#NewGeneration : Je, ni nani Mfalme wa Kizazi kipya cha Rap/HipHop Bongo ?
KINGS : (@younglunya x @iamconboi x @rapcha_tz x @maarifabigthinker x @kontawaa)
#WasafiDigital #BongoFleva #NewGenerationView attachment 1587394
unangoja nini? Umesanda ama nini? mbona wenzio akina salmin na lunya tunawaona afu we kama umeuchuna tunakuona ka uko nyuma samahani kama itakuuma ila mashabiki si tunataka vyuma hebu tuachie uqumerConboi canabinho ni mnyamwezi mnoo.
Kama hujaiskia til I die yake basi wewe upo namtumbo
Kama ngwair na chid kwenye 160 sasa mimi ni 360 .conboi1.Con boy.....Till I die na Twende.....jamaa kapita sana humu
2. Young Lunya....Though Kuna muda anakua anaongea ongea tu....
Kama ngwair na chid kwenye 160 sasa mimi ni 360 .conboi1.Con boy.....Till I die na Twende.....jamaa kapita sana humu
2. Young Lunya....Though Kuna muda anakua anaongea ongea tu....
...Nawaza mbali, nataka nyumba en a fucn rari ndio maana hauwezi nikuta kwenye kila party!usiku wa ma8 kaa natafakari... Ubongo kwenye bed macho kwenye Dari bwana daah... Kaua xaan mnyamwez
Kama beat ipi sio kali? Rapcha ni boombap hapigi traps kama hao wengine.1.Conboi
2.Lunya
Rapture anabebwa ila hana nyota. Productions pia jau. Hana beat kalii
Naona lunya ndio anabebwa hapo.. maana kawa famous kuliko wote hao japo anaimba takataka.1.Conboi
2.Lunya
Rapture anabebwa ila hana nyota. Productions pia jau. Hana beat kalii
Hawa ni wasanii si wanamuziki.....mwanamuziki gani anatumbuiza anatumia CD/playback? Tutolee uchafuu huu, wanaua vipaji vya wanamuziki bure. Ufike wakati tuache kuiga miziki ya watu na kuifanya yetu. Imbeni taarab, singeli na muziki wa dansi....wacheni kuiga iga mnaonekana wapuuzi tu.#NewGeneration : Je, ni nani Mfalme wa Kizazi kipya cha Rap/HipHop Bongo ?
KINGS : (@younglunya x @iamconboi x @rapcha_tz x @maarifabigthinker x @kontawaa)
#WasafiDigital #BongoFleva #NewGenerationView attachment 1587394
Ana flow za kibabe wala habebwi...Utakuwa umemjua juzi we huyo Lunya.Naona lunya ndio anabebwa hapo.. maana kawa famous kuliko wote hao japo anaimba takataka.
Mkuu uyo ni mzee wa ku unga unga vina tu nilikua namkubali ila saivi anapotea ebu angalia ngoma zake za sasa ivi hadi jina la nyimbo yake anakosa kwa sababu hata yeye haelewi ngoma yake inaongelea nini..Ana flow za kibabe wala habebwi...Utakuwa umemjua juzi we huyo Lunya.
tangu uzi umeanza na wachangiaji kutoa maoni yao ni kiri kwamba kuanzia hapa ndio wasanii wa hip hop walipoanza kutajwaBoshoo ninja
Chuma boy
Nyenza mc
Hiyo list yako, kwa hao hawagus
Sawa bana ila miziki yote ya sikuhizi iko hivyo haina maana. Tunasikiliza for fun na vibes. Sioni sababu ya kumchukia mwamba eti sababu sijui anaunga vina as long as it sounds good to my ears ninainjoy kinoma kuliko hata kusikiliza takataka za Wasafi.Mkuu uyo ni mzee wa ku unga unga vina tu nilikua namkubali ila saivi anapotea ebu angalia ngoma zake za sasa ivi hadi jina la nyimbo yake anakosa kwa sababu hata yeye haelewi ngoma yake inaongelea nini..
hiyo namba 4 ilitakiwa iwe on top kwenye list yako1. Conboi
2. Msodoki
3. Mex Cortez
4. Nala Mzalendo
5. Cholo