Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,310
- 105,133
dizasta vina mabibi na mabwana ni the vertellerStereo angekua bado dabiliyusiibii watu wangemtaja sana hapa.
Kwangu mm kwa sasa namuona dizasta vina kama namba moja kwenye bongo hip hop.
dizasta vina mabibi na mabwana ni the vertellerStereo angekua bado dabiliyusiibii watu wangemtaja sana hapa.
Kwangu mm kwa sasa namuona dizasta vina kama namba moja kwenye bongo hip hop.
at least maarifa japo naye hana michano ya ki hardcore hip hop bali ana misemo fulani hivi inayompa upekeeKwa hao naona hawa ndo wakali
1. Maarifa
2.Lunya
Atha twende karantini.. ha ha ha ha! mondi mpuuzi sana kweli watu wazima niwakuwaimbisha karantini..Sawa bana ila miziki yote ya sikuhizi iko hivyo haina maana. Tunasikiliza for fun na vibes. Sioni sababu ya kumchukia mwamba eti sababu sijui anaunga vina as long as it sounds good to my ears ninainjoy kinoma kuliko hata kusikiliza takataka za Wasafi.
Eti tuko quaranatine...quarantine moves yep quarantine 😂😂😂Atha twende karantini.. ha ha ha ha! mondi mpuuzi sana kweli watu wazima niwakuwaimbisha karantini..
Eti tuko quaranatine...quarantine moves yep quarantine
Anajua sana Till i dieHuyu Con boi ni balaa,sema huwez kumwelewa Kama siyo mnyamwezi.
Noma sana anajua sana jamaaMgongo kwenye bed..
Hakuna kitu hako kajamaaLunya
Uyo sio kabisa max ni another levelMex Cortex achana nae yule mhindi anajua kimaku..hadi DMX kamuomba Wafanye ngoma,,hadi Khaligraph anamjua vizuri mchizi
Ngoma ya Rapcha kisanga ni copy and paste ngoma ya p mawenge. Bado hajajua kukakaza1.Conboi
2.Lunya
Rapture anabebwa ila hana nyota. Productions pia jau. Hana beat kalii
Uzamani unakuharibu toa kungu la ujingaHawa ni wasanii si wanamuziki.....mwanamuziki gani anatumbuiza anatumia CD/playback? Tutolee uchafuu huu, wanaua vipaji vya wanamuziki bure. Ufike wakati tuache kuiga miziki ya watu na kuifanya yetu. Imbeni taarab, singeli na muziki wa dansi....wacheni kuiga iga mnaonekana wapuuzi tu.
Kana chana chana tu bila preferencesMkuu uyo ni mzee wa ku unga unga vina tu nilikua namkubali ila saivi anapotea ebu angalia ngoma zake za sasa ivi hadi jina la nyimbo yake anakosa kwa sababu hata yeye haelewi ngoma yake inaongelea nini..
Conboi unamjua vizuri?tangu uzi umeanza na wachangiaji kutoa maoni yao ni kiri kwamba kuanzia hapa ndio wasanii wa hip hop walipoanza kutajwa
Cholo anajua sana pia sikupindi japo aliniblock instagram.hiyo namba 4 ilitakiwa iwe on top kwenye list yako
Namfahamu Nala, nmekutana nae kwenye cypher na vilinge vingi kuanzia Kinasa Wazi, Makanta na Afrika Huru Street Cypher..nauelewa uwezo wake na nnauheshimu sana, anafanya poa sana kule underground! Ila binafsi naona kusema Nala ni bora zaidi ya Young Killer ni matusi kwenye game ya Hip-Hop. Ukiacha Young Killer kuwa rapa wa mainstream (labda ni kitu ambacho kinamfanya afeli baadhi ya sehemu kwa kujaribu ku switch), kwa maoni yangu, ni mkali zaidi ya Nala na wengine wengi.hiyo namba 4 ilitakiwa iwe on top kwenye list yako
Si uzamani wewe Bin Laden, inaitwa kujitambua akili.Uzamani unakuharibu toa kungu la ujinga
Boshoo ninja
Chuma boy
Nyenza mc
Hiyo list yako, kwa hao hawagus
Kiukweli kwa sasa hakuna best rapper anayefikia hata robo ya rapper wa generations zilizopita
Yaani sijaona wakufikia viwango vya akina Ngwea, Jay Mo, Prof J, Fid, MwanaFA, Chid benz, Afande Sele nk
Nikiwasikiliza hawa wa sasa unaona kabisa hakuna good rhymes, flowing style ya kawaida kabisa, kunata na beatz kuko chini sana,,,, yaani wapo wapo tu ktk nyimbo zao