Mliojenga Maeneo yasiopimwa, na Maeneo yaliokatazwa, better read this 👇👇
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
Naona sasa kuwa watanzania ni vilaza inaonekana Dhahiri-dar ina watu milioni 4.5 unataka kubomoa makazi ya watu milioni 3.9 -GOoDLUCK WITH THAT
Mkuu usemacho ni ukweli mtupu. Nafurahi kupata comment kutoka wataalam wa ardhi kama weweHiyo ni simply impractical na haiwezekani, angalia Tabata almost wanasema itakuwa ya wafanyakazi tena taasisi chache na lundo la wafanyakazi wengine waishi wapi??
Pili plan hii inanikumbusha walioenda kuplan Kigamboni master plan ilikuwa nzuri kweli ila tuna hela za kulipa fidia Dar nzima ili tuipange upya au tunataka kuanzisha mgogoro mwingine kama wa Kigamboni??
Plan ni nzuri ila haitekelezeki labda ingekuwa inatekelezwa in peace meal
Pamoja na dhamira njema ya kufanya yote haya,gharama hii ataibeba Magufuli na CCM yake mwaka 2020 huku mijini.
Mkuu, Halmashauri zinatoa building permits kwa maeneo yaliyopimwa tu, ila tatizo property tax inachajiwa hadi kwenye squaters kwa hiyo malalamiko bado yako pale pale.Kuna tatizo la kimfumo hapo lazima liangaliwe. Serikali ya Jamhuri ya Muungano mipaka yake kwenye kupanga miji ikoje. Mamlaka za serikali za mitaa hazimiliki ardhi, lakini madiwani ndiyo wenye kumiliki miji, jee vikao vyao havina mamlaka ya kisheria ya kuhalalisha ujenzi unaoitwa "Uvamizi" na Serikali ya JMT? Serikali za mitaa zenyewe haziwezi kushitakiwa na hao wanaoitwa wavamizi leo, wakati zenyewe ndizo zilitoa "vibali vya ujenzi" kwenye maeneo hayo?
mbezi ilikuwa ni kwa ajili ya watumishi wa Halmashauri hasa MANESI WOTE!Mbezi for industrial purposes....Magufuli taratibu baba.
Hiyo ni simply impractical na haiwezekani, angalia Tabata almost wanasema itakuwa ya wafanyakazi tena taasisi chache na lundo la wafanyakazi wengine waishi wapi??
Pili plan hii inanikumbusha walioenda kuplan Kigamboni master plan ilikuwa nzuri kweli ila tuna hela za kulipa fidia Dar nzima ili tuipange upya au tunataka kuanzisha mgogoro mwingine kama wa Kigamboni??
Plan ni nzuri ila haitekelezeki labda ingekuwa inatekelezwa in peace meal