teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
kiukweli binafsi huwa naona humu na kwingineko mada zenye maudhui yanayofanana na haya uliyoandika lakini kwa mtazamo tu wa kawaida unaona ni upuuzi kwani kama m/mungu angetaka tuwe na huo uwezo nafikiri ingekuwa hivyo toka awali kwani ni mambo ya kiroho zaidi
Naungana na wewe kukemea na kuukataa huu uongo.
Naungana na wewe kukemea na kuukataa huu uongo.