New Age: Dini mpya ya ulimwengu

Ha Ha Ha Ha Ha........

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati naandaa hii topic kuhusiana na dini nilitegemea kupata chalenge kubwa kwa watu wanaounga mkono maswala ya meditation bt wakisoma hii mada wanakaa kimya. Mpaka sasa sijaulizwa swali critical hata moja.
Screenshot_20190219-171820_Samsung%20Internet~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kifupi, New Age ni nini? Ni mkusanyiko wa dini zote; matendo mbalimbali ya kidini, ambayolengo lake ni kumfanya mwanadamu awe mungu. Ni mwavuli ambao chini yake dini zote zinaweza kujificha, ingawaje mafundisho yanaweza kuwa kinyume kabisa dini tulizozizoea kwa mana uislam& ukristo.


Yako mafundisho na dini ambazo asili yake ni ubudha, imani za siri za kishetani, na hata baadhi ya dini ambazo zina mafundisho ya msingi ya Kikristo, kwa mfano kanisa la Moon na Mashahidi wa Yehova hawa walipigwa marufuku Urusi, Wana wa Mungu au kile kinachoitwa ‘Sayansi ya Kikristo’ Church of Scientology pamoja na madhehebu ya kiislamu yanayoamini kwenye meditation.


Ziko falsafa: Ukonfyushasi wa Kichina (Chinese Confucianism), imani za siri (occult) na mafundisho ya unajimu, mashamani, ma-guru, Krishna, n.k. Makundi haya na mengineyo yanatengeneza namna ya kundi moja ambalo kiini chake hasa ni ushetani. Nguvu zingine zote za kichawi na imani za siri zinatokea hapa.

Pamoja na hayo, ni watu wachache sana waliomo ndani ya New Age wanaofahamu juu ya ukweli huu. Ndiyo sababu kuna Watu wengi walio kwenye kundi hili bila wao kujijua wanapotea.


Kwa kuwa, kwa nje kundi hili linaonekana ni la kiutu na ni chanya, hiki ni kishawishi kwa Watu na malengo yake yaliundwa kwa ajili hasa ya Watu wasio wanachama, ili kwamba wazimwe nguvu zao; na waweze kupelekwa mbali na Mungu . Baadhi ya mambo yanayofanyika ni yoga, kutoka katika mwili (astral projection), kuelea (levitating), namna zote za uchawi na upigani bao. Mambo haya ni vishawishi.
Mambo yote ya Meditation ni Ushetani wa kusalimu amri pamoja na akili ili kuruhusu kitu usicho kijua kichukue ufahamu wako.

Wanaanza kwa kufundisha kwamba Wakristo au waislamu wanatakiwa kuwa wavumilivu kwa makundi mengine, kwa mfano, kwa ajili ya maslahi ya wanadamu na amani ya dunia. Maneno yanayohusiana na upendo yanaweza kuwadanganya kirahisi Watu wengi.


Wako watu wengi wanaojifanya ni watumishi wa Mungu na wanaokuja kuhubiri na kutoa mawaiza kumbe ni wasanii tuu kajamaba8 washauza nafsi. Lakini pia wako watu kutoka kundi la New Age, wanaojiita guru, ambao nao wanakuja. Na kama mtasikiliza mafundisho yao na kutenda yale watakayowafundisha basi mungu atageuzia uso wake mbali na ww na jina lako litafutwa kwenye kitabu. .

Nisisitize tena kwamba, matendo na mafundisho haya ya kundi la New Age yanaweza kuharibu maisha yenu, lakini baya zaidi ni kuwa, yanaweza kuharibu roho yako pamoja na familia yako.

Binafsi nimeshashuhudia Wakristo na waislamu waliorudi nyuma na kumwacha Mungu aliye hai.kwa mfano wapo watu hapa jf wenye falsafa za ki new age ambao wana hadaa watu na meditation au astral prjection nakushauri usiingie humo madhara yake ni makubwa utaalika mapepo wachafu ndani ya nafsi yako au roho yako na kuharibu maisha yako kwa ujumla. Ndugu zangu msipende miujiza najua mnadanganywa kwenye meditation kuna miujiza hamna kitu ni majini tuu na mapepo yanachezea ufahamu wenu.

Ziko njia nyingi na matendo mengi ambayo Watu huingizwa humo. Kwa mfano, yoga, na hasa hatha-yoga, ambayo inajumuisha mazoezi ya viungo na kupumua. Wako binadamu wengi wa Marekani na nchi za magharibi ambao wanajihusisha na jambo hili.

Yoga ni nini? Ni mfumo wa vitendo vya kidini kwa ajili ya mtu kurudi tena baada ya kufa (reincarnation). Neno linasema kwamba Na kama vile watu walivyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu (Ebr. 9:27). Hakuna mtu anayeweza kurudi tena duniani kwa njia nyingine baada ya kufa hawezi kurudi kama mti au myama au mdudu. Yoga asili yake ni Uhindu, na ni mfumo wa vitendo vya dini nyingi. Vitendo hivi vinaaminika kuwa vinavunja nira kwenye maisha yako, ambazo, kwa imani zao, zitaanzisha mchakato wa “kuzaliwa tena baada ya kufa”. Kwa hiyo, kupitia yoga, tunafungulia mlango kwa mapepo ya Kihindu.

Wanaotetea falsafa ya Reicarnation ni wale wanaohusisha De Ja Vu na Maisha ya Zamani

Watu walegevu au wapuuzi wanasema kuwa hawaamini juu ya mambo haya bali kwamba hatha-yoga ni mazoezi tu mazuri kwa ajili ya mwili. Kwa kusema hivyo, tayari wameshaamini uongo wa ibilisi.

Iweje Shetani atakuruhusu ujenge mwili wako, na kujisikia vizuri? Inamana anakuoenda Sana? maana anajua kuwa Watu kama hao hawawezi kuona kilicho nyuma katika ulimwengu wa roho. Ni nini basi kitatokea? Matokeo yote ya kimwili na kiroho yanajengwa juu ya nguvu iitwayo Shiva. Hili ni pepo la Kihindu, ambalo wanalifungulia mlango.

Katika upande wa chini wa uti wa mgongo wetu, kuna nafasi wanayoiita “nguvu ya nyoka” au Kundalini kwa wanaofanya Mambo haya wanajua Unapofanya mazoezi ya yoga, unakuwa kimsingi unasujudu kwa huyu Shiva; ile nguvu ya nyoka inaamshwa kwenye mwili wako. Inapokuwa kubwa, watu wanapata na uwezo fulani usiokuwa wa kibinadamu.

Mambo haya hayatoki kwa Mungu aliye hai. Asili yake ni kwenye ulimwengu wa giza wa kipepo. Kwa hiyo, kumbuka kuwa mambo yote tunayofanya kimwili wakati wa yoga yana asili ya ulimwengu wa giza wa kipepo; haijalishi tunafikia ngazi gani. Hata hatua za kwanza kabisa zinakuwa zinaelekea kwenye vifungo hivyo – tuwe tunakubaliana au hatukubaliani.


Namna ya pili ambayo ni kishawishi kwa Watu, hata walio makanisani au Miskitini na imeenea sana nchi za magharibi pamoja na hapa jamii forum kuna mafundisho yake ni “kutoka nje ya mwili” (astral projection). Hii ni aina ya mazoezi ambayo yanaweze kufanya roho ya mtu ikatengana na mwili. Kwa uamuzi wako mwenyewe, unaweza kupeleka roho yako kwenye mahali au wakati wowote, kwa mfano ukarudi nyuma ya wakati kwenye maisha yaliyopita (time travel) ukaenda kwenye anga au kokote kwingineko.

Mara nyingi hili linawezekana, lakini ambacho watu wa namna hii hawatambui ni kuwa, roho zao zinakuwa haziingii kwenye ufalme wa Mungu bali wa mapepo.

Kwa njia hii, unafungulia mlango kwa viumbe wengine wa kiroho wasioonekana. Shetani ameweka tayari mtego wake kwa ajili yako pale. Watu wanapoanza kufanya mambo haya, kwa mara ya kwanza wanakuwa na hisia nzuri za kunyanyuliwa. Hisia hizi zinatoka kwenye asili ya dhambi.

Kuna hatari kubwa hapa. Kwa kitambo kidogo unakuwa unaweza kuitawala hali hiyo, lakini baada ya kufikia mahali fulani, unaanza kupoteza udhibiti wa mwili wako na unakuwa ni uwanja wa mapepo kufanya kila watakacho. Wengi walipoteza hata uwezo wao wa kurudi.


Res ipsa loquitur,
Badison.


View attachment 1015716

Sent using Jamii Forums mobile app



Ngoja nitakuja baadaye.
 
Yeahh yeahh ....haiwezekani uwaumbe binaadamu na wanyama uwaumbie shetani na kila aina ya mabalaa magonjwa vipunga vita na matetemeko

Halafu useme kuwa wewe huna hatia ..mbaya zaidi ubaya unampachika shetani kuwa yeye ndiye mbaya wkati unajinadi kuwa wewe ndiye uliyemuumba ...ebo sasa kwanini usingeuzuia ubaya wake kwa kuto muumba . .kwanini baada ya kumuumba usinge muangamiza " maana tayari ulikuwa unajua kwamba umekiumba kiumbe kitakacho kuja kuleta kero kwa binaadamu ... wakati huo huo unajinadi kuwa wewe ni muweza wa yote .upendo kwa wote .mjuzi wa kila kitu "

(1)Sasa mbona umeshindwa kuutumia ujuzi wako wa yote kutambua kuwa utakiumba kiumbe ambacho kitakuja kuleta shida kwa binaadamu duniani

(2) je kama ulikuwa unajua kuwa unakiumba halafu kitakuja kuleta shida
Kama tukisema kwamba huna ule upendo kwa wote kama unavyo jinadi tutakuwa na makosa ...haingii akilini uwe naujuzi wa yote ..upendo wa yote 'halafu uumbe kiumbe ambacho kinakuja kuwa umiza binaadamu ambao unajinadi kuwa unaupendo nao tena kwa wote (haha)

(3) Bado inafikirisha kuona mjuzi wa yote akiwa ameacha kutumia ujuzi wake kupambana.na shetani halafu ameamu kuwaachia binaadamu. Ndio wamsaidie kupambane nae " inastaajabisha " sana




Sent using Jamii Forums mobile app
SHETANI HAJAWAHI KUTESA MTU.
TATIZO NI KUTOKUJITAMBUA
UKIONA UNATESWA NA SHETANI,BASI WEWE NI MPUMBAVU
 
Mungu aliye hai yupi? Yeye alitokea wapi, kwani kuna wengine waliokufa?

Ni dini gani inakupeleka kwa huyu Mungu aliye hai wakati yeye mwenyewe hakuna dini aliyoshusha kutoka ili tuiabudu.

Ni hukumu gani atatupa sisi tuliokengeuka na kukataa kanisa na misikiti. Wanasema tutachomwa moto milele, kuna moto gani unaweza kuchoma roho?

Unasema hii dini mpya asili yake ni shetani inatupeleka mbali na Mungu, kwani hujui kuwa siku nyingi tuko mbali na mungu shetani ndiye mtawala wa hii dunia? Jehova na kina Alah washaiacha siku nyingi hii dunia wako huko kwenye solar system ingine na shughuli zao.

Kwanini huyu Mungu aliyetuumba atupe akili ndogo kiasi kwamba tushindwe kujua chanzo chake yeye au mwanzo wake maana kwa akili alizotupa tunajua hakuna kiti kisicho na mwanzo wala mwisho, je mwisho wake yeye ukifika sisi viumbe alivyotuumba tutakuwaje ?
Huu Ndio mwisho wa dunia wenyewe
,vibaraka wa mpinga kristo wameshatia timu
 
Namaanisha huyo huyo anayeitwa BWANA_ambaye wakati anaumba hakuwa na mshauri yeyote

Yeye bila shaka ndiye shetani mkuu huyo mwengine geresha tu_umenipata..?

ManchoG
Kama naziona imani za watu zinavyo pataTabuu Sana na kuchakaa vibayaaa
 
Hizo mambo nizijaribu sana sijui kutoka kurudi, hizo mambo naona hazina tofauti na uteja yaani nilale ushirombo alafu nitoke niende Toronto usingizini kisha nikiamka niko hapo hapo, aisee bora Ndum kwa kweli kuliko hayo mambo yanavuruga akili
kabla hujafika ushilombo kuna njia hapo ya kwenda mwabomba machimboni mkuu nimekaa mitaa hiyo sana enzi hizo
 
Kwa kifupi, New Age ni nini? Ni mkusanyiko wa dini zote; matendo mbalimbali ya kidini, ambayolengo lake ni kumfanya mwanadamu awe mungu. Ni mwavuli ambao chini yake dini zote zinaweza kujificha, ingawaje mafundisho yanaweza kuwa kinyume kabisa dini tulizozizoea kwa mana uislam& ukristo.


Yako mafundisho na dini ambazo asili yake ni ubudha, imani za siri za kishetani, na hata baadhi ya dini ambazo zina mafundisho ya msingi ya Kikristo, kwa mfano kanisa la Moon na Mashahidi wa Yehova hawa walipigwa marufuku Urusi, Wana wa Mungu au kile kinachoitwa ‘Sayansi ya Kikristo’ Church of Scientology pamoja na madhehebu ya kiislamu yanayoamini kwenye meditation.


Ziko falsafa: Ukonfyushasi wa Kichina (Chinese Confucianism), imani za siri (occult) na mafundisho ya unajimu, mashamani, ma-guru, Krishna, n.k. Makundi haya na mengineyo yanatengeneza namna ya kundi moja ambalo kiini chake hasa ni ushetani. Nguvu zingine zote za kichawi na imani za siri zinatokea hapa.

Pamoja na hayo, ni watu wachache sana waliomo ndani ya New Age wanaofahamu juu ya ukweli huu. Ndiyo sababu kuna Watu wengi walio kwenye kundi hili bila wao kujijua wanapotea.


Kwa kuwa, kwa nje kundi hili linaonekana ni la kiutu na ni chanya, hiki ni kishawishi kwa Watu na malengo yake yaliundwa kwa ajili hasa ya Watu wasio wanachama, ili kwamba wazimwe nguvu zao; na waweze kupelekwa mbali na Mungu . Baadhi ya mambo yanayofanyika ni yoga, kutoka katika mwili (astral projection), kuelea (levitating), namna zote za uchawi na upigani bao. Mambo haya ni vishawishi.
Mambo yote ya Meditation ni Ushetani wa kusalimu amri pamoja na akili ili kuruhusu kitu usicho kijua kichukue ufahamu wako.

Wanaanza kwa kufundisha kwamba Wakristo au waislamu wanatakiwa kuwa wavumilivu kwa makundi mengine, kwa mfano, kwa ajili ya maslahi ya wanadamu na amani ya dunia. Maneno yanayohusiana na upendo yanaweza kuwadanganya kirahisi Watu wengi.


Wako watu wengi wanaojifanya ni watumishi wa Mungu na wanaokuja kuhubiri na kutoa mawaiza kumbe ni wasanii tuu kajamaba8 washauza nafsi. Lakini pia wako watu kutoka kundi la New Age, wanaojiita guru, ambao nao wanakuja. Na kama mtasikiliza mafundisho yao na kutenda yale watakayowafundisha basi mungu atageuzia uso wake mbali na ww na jina lako litafutwa kwenye kitabu. .

Nisisitize tena kwamba, matendo na mafundisho haya ya kundi la New Age yanaweza kuharibu maisha yenu, lakini baya zaidi ni kuwa, yanaweza kuharibu roho yako pamoja na familia yako.

Binafsi nimeshashuhudia Wakristo na waislamu waliorudi nyuma na kumwacha Mungu aliye hai.kwa mfano wapo watu hapa jf wenye falsafa za ki new age ambao wana hadaa watu na meditation au astral prjection nakushauri usiingie humo madhara yake ni makubwa utaalika mapepo wachafu ndani ya nafsi yako au roho yako na kuharibu maisha yako kwa ujumla. Ndugu zangu msipende miujiza najua mnadanganywa kwenye meditation kuna miujiza hamna kitu ni majini tuu na mapepo yanachezea ufahamu wenu.

Ziko njia nyingi na matendo mengi ambayo Watu huingizwa humo. Kwa mfano, yoga, na hasa hatha-yoga, ambayo inajumuisha mazoezi ya viungo na kupumua. Wako binadamu wengi wa Marekani na nchi za magharibi ambao wanajihusisha na jambo hili.

Yoga ni nini? Ni mfumo wa vitendo vya kidini kwa ajili ya mtu kurudi tena baada ya kufa (reincarnation). Neno linasema kwamba Na kama vile watu walivyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu (Ebr. 9:27). Hakuna mtu anayeweza kurudi tena duniani kwa njia nyingine baada ya kufa hawezi kurudi kama mti au myama au mdudu. Yoga asili yake ni Uhindu, na ni mfumo wa vitendo vya dini nyingi. Vitendo hivi vinaaminika kuwa vinavunja nira kwenye maisha yako, ambazo, kwa imani zao, zitaanzisha mchakato wa “kuzaliwa tena baada ya kufa”. Kwa hiyo, kupitia yoga, tunafungulia mlango kwa mapepo ya Kihindu.

Wanaotetea falsafa ya Reicarnation ni wale wanaohusisha De Ja Vu na Maisha ya Zamani

Watu walegevu au wapuuzi wanasema kuwa hawaamini juu ya mambo haya bali kwamba hatha-yoga ni mazoezi tu mazuri kwa ajili ya mwili. Kwa kusema hivyo, tayari wameshaamini uongo wa ibilisi.

Iweje Shetani atakuruhusu ujenge mwili wako, na kujisikia vizuri? Inamana anakuoenda Sana? maana anajua kuwa Watu kama hao hawawezi kuona kilicho nyuma katika ulimwengu wa roho. Ni nini basi kitatokea? Matokeo yote ya kimwili na kiroho yanajengwa juu ya nguvu iitwayo Shiva. Hili ni pepo la Kihindu, ambalo wanalifungulia mlango.

Katika upande wa chini wa uti wa mgongo wetu, kuna nafasi wanayoiita “nguvu ya nyoka” au Kundalini kwa wanaofanya Mambo haya wanajua Unapofanya mazoezi ya yoga, unakuwa kimsingi unasujudu kwa huyu Shiva; ile nguvu ya nyoka inaamshwa kwenye mwili wako. Inapokuwa kubwa, watu wanapata na uwezo fulani usiokuwa wa kibinadamu.

Mambo haya hayatoki kwa Mungu aliye hai. Asili yake ni kwenye ulimwengu wa giza wa kipepo. Kwa hiyo, kumbuka kuwa mambo yote tunayofanya kimwili wakati wa yoga yana asili ya ulimwengu wa giza wa kipepo; haijalishi tunafikia ngazi gani. Hata hatua za kwanza kabisa zinakuwa zinaelekea kwenye vifungo hivyo – tuwe tunakubaliana au hatukubaliani.


Namna ya pili ambayo ni kishawishi kwa Watu, hata walio makanisani au Miskitini na imeenea sana nchi za magharibi pamoja na hapa jamii forum kuna mafundisho yake ni “kutoka nje ya mwili” (astral projection). Hii ni aina ya mazoezi ambayo yanaweze kufanya roho ya mtu ikatengana na mwili. Kwa uamuzi wako mwenyewe, unaweza kupeleka roho yako kwenye mahali au wakati wowote, kwa mfano ukarudi nyuma ya wakati kwenye maisha yaliyopita (time travel) ukaenda kwenye anga au kokote kwingineko.

Mara nyingi hili linawezekana, lakini ambacho watu wa namna hii hawatambui ni kuwa, roho zao zinakuwa haziingii kwenye ufalme wa Mungu bali wa mapepo.

Kwa njia hii, unafungulia mlango kwa viumbe wengine wa kiroho wasioonekana. Shetani ameweka tayari mtego wake kwa ajili yako pale. Watu wanapoanza kufanya mambo haya, kwa mara ya kwanza wanakuwa na hisia nzuri za kunyanyuliwa. Hisia hizi zinatoka kwenye asili ya dhambi.

Kuna hatari kubwa hapa. Kwa kitambo kidogo unakuwa unaweza kuitawala hali hiyo, lakini baada ya kufikia mahali fulani, unaanza kupoteza udhibiti wa mwili wako na unakuwa ni uwanja wa mapepo kufanya kila watakacho. Wengi walipoteza hata uwezo wao wa kurudi.


Res ipsa loquitur,
Badison.


View attachment 1015716

Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya wakristo na waislamu nani anaabudu Mungu wa kweli ? kabla atujaanza kumpa lawama shetani
 
Mh meditation inahusiana na mapepo?bl
Mbona hata hayo makanisa ya kipentekoste hufanya meditation bila kujua?
Ile kuabudu hadi mtu anapoteleamo ni nn?
Ndiyo hizo hizo meditation, na wakristo weengi kwenye hizo kanisa wanafanya kwa kujua au kwa kukosa maarifa.
 
kuna sehemu huyu jamaa aliwahi kusema meditation haifai kwa waaminio. Mshana Jr
Yupo SAHIHI,
Kwa waaminio msingi mkuu wa mafundisho yao ni Neno La MUNGU (Biblia)
Endapo katika biblia hicho kitu hakipo Basis Ngumu kuaminika
ki,Ufupi Tunapima Jambo katika msingi wa Neno La MUNGU (Biblia)

Na Kwa Inshu ambazo Ni Ngumu Basi.Roho Mt huwa anatusaidia
 
Kati ya wakristo na waislamu nani anaabudu Mungu wa kweli ? kabla atujaanza kumpa lawama shetani
Waislamu wao wana mungu wao na wakristo nao Wana MUNGU wao.

Ni upumbavu na ujinga kusema waislamu na wa Kristo Wana AMINI katika Mungu 1 jibu Ni Hapana.

Mungu wa wakristo anaitwa Yahweh/ El Shadai/Jehovah/Mungu Mkuu

lakini,Mungu wa Waislamu anaitwa
Allah!.

Fuatilia baadhi ya Nchi na vikundi huwa wanasema
"There is no God,There is Allah"

Wakimaanisha "Hakuna Mungu,Kuna Allah"
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom