Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Ndugu zanguni hili lazima tuwaweke sawa hawa wahindi
kuna jamaa zangu wiki iliopita walikodisha ukumbi wakaomba na vinywaji ..kwenye makubaliano kulikuwa na koka kola gafla wakati wa shuguli wanaleta vinywaji vya pepsi mirinda saba juu na kuendelea
akadai alishangaa sana alipouliza kwa bosi wa newafrika akasema ndio alizokuwa navyo...alishangaa sana akasema mbona amkusema.......kuangalia mezani yaani ni vinywaji vya sbc tuuuu@@@@@@@@@
kwa kweli inasikitisha na nilipoongea na mmoja wa wadau akadai hao jamaa wameamua kumsapoti muhindi mwenzao..., kwa kweli nikasema na sie watanzania twende kwenye hoteli za watanzania wenzetu tunywe vinywaji tunavyoviitaji na si kuchaguliwa........
kuna jamaa zangu wiki iliopita walikodisha ukumbi wakaomba na vinywaji ..kwenye makubaliano kulikuwa na koka kola gafla wakati wa shuguli wanaleta vinywaji vya pepsi mirinda saba juu na kuendelea
akadai alishangaa sana alipouliza kwa bosi wa newafrika akasema ndio alizokuwa navyo...alishangaa sana akasema mbona amkusema.......kuangalia mezani yaani ni vinywaji vya sbc tuuuu@@@@@@@@@
kwa kweli inasikitisha na nilipoongea na mmoja wa wadau akadai hao jamaa wameamua kumsapoti muhindi mwenzao..., kwa kweli nikasema na sie watanzania twende kwenye hoteli za watanzania wenzetu tunywe vinywaji tunavyoviitaji na si kuchaguliwa........