Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #5,001
Shocking this bum still in the cabinet. You can not create a problem then you brag you gonna fix it
Umepokeaje taarifa ya sabaya kupewa kesi ya ujambazi?Nimesikitika kwanini alijiongezea muda wa kung'ang'ania madarakaView attachment 1869237
Sabaya anavuna alichopanda na Mbowe anavuna alichopanda wote wanaunganishwa na uchu wa madaraka na maliUmepokeaje taarifa ya sabaya kupewa kesi ya ujambazi?
Mbowe ni gaidi, anachopata anastahili..Wanataka apate Korona afe waseme umeme ulikatika kama Mwendazake View attachment 1869240
Siyo gaidi ni mroho wa madaraka na mali tu kama CCM walivyo. Tofauti ya Mbowe na CCM ni wenzake wana majeshi wakati yeye ana domokaya vinginevyo ni ndege ambao walipaswa kuruka pamoja.Mbowe ni gaidi, anachopata anastahili..
Uko sahihiSiyo gaidi ni mroho wa madaraka na mali tu kama CCM walivyo. Tofauti ya Mbowe na CCM ni wenzake wana majeshi wakati yeye ana domokaya vinginevyo ni ndege ambao walipaswa kuruka pamoja.
Ugomvi wake na CCM siyo katiba bali nani ale na nani alale na njaa.
Kama Mbowe anakerwa na katiba angeonyesha njia kwa kurekebisha ya CDM na kurejesha ukomo wa madaraka alioufuta na kung'atuka hapo angeeleweka. Lakini kinyume cha hapo ni kusaka madaraka na mali
Sijui kwanini CCM inapata ukakasi kuwapa hawa matutusa katiba mpya ambayo haiwapi Tume huru ya uchaguzi.Uko sahihi
Hivi unategemea ukiwapa katiba mpya hao chadema wataishia hapo kuhusu hiyo katiba? Watakuja na mengine kuhusu hiyo hiyo katiba... dawa ni kuwaacha wapige kelele tu...Sijui kwanini CCM inapata ukakasi kuwapa hawa matutusa katiba mpya ambayo haiwapi Tume huru ya uchaguzi.
Ilikuwa rahisi tu peleka bungeni ile rasimu waipitishe chapu chapu. Khalafu uje uchaguzi waone kilimchomtoa nyoka pangoni.
Wakidai katiba mpya wanaambiwa mbona tunayo tena tuliipitisha juzijuzi tu sasa tafuteni khoja
Teh teh teh. Mimi tatizo langu katiba mpya ikoje labda watupatie rasimu yake wengi hatuijuiHivi unategemea ukiwapa katiba mpya hao chadema wataishia hapo kuhusu hiyo katiba? Watakuja na mengine kuhusu hiyo hiyo katiba... dawa ni kuwaacha wapige kelele tu...