New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

E3oG7WXWEAMGKNQ.jpg
E3oG858WYAc6U4C.jpg
E3oG9FCXIAkgpQA.jpg
E3oG-SlXoAA8UE1.jpg
 
Siasa imepenya kila mahali. Imeingia hadi kwenye mimbari na madhabahu za makanisa. Vyama vya wafanyakazi ni moja ya taasisi ambazo CCM, kwa ustadhi mkubwa sana, wamefanikiwa kupenyeza mapandikizi wao kwa maslahi yao binafsi.

Kiongozi wa TUCTA aliyemaliza muda wake, ndugu Nicolaus Mgaya, ni kada wa CCM kindakindaki. Huyu bwana katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 alijitosa kugombea Ubunge katika jimbo moja la uchaguzi nchini lakini aligalagazwa vibaya na kada mwenzake katika kura za maoni. Mrithi wa Mgaya TUCTA, ndugu Tumaini Nyamhokya, ni kada maarufu wa CCM. Aidha, Katibu Mkuu wa TUCTA Dr Yahaya Msigwa ni kada maarufu wa CCM na anashikilia nafasi kubwa ya uongozi ndani ya CCM mkoani Iringa.

Uwepo wa makada hawa katika nafasi za juu za vyama vya wafanyakazi haijatokea kwa bahati mbaya. Huu ni mkakati maalumu uliosukwa na CCM kupenyeza makada wake ndani ya vyama vya wafanyakazi kwa lengo la kupoza makali ya madai ya wafanyakazi, ambao mara nyingi hudai madai yao kwa mtindo wa migomo na maandamano. Kuthibitisha hili, tangu makada hawa waanze kuongoza TUCTA, hawajawahi kuonekana hadharani kuishinikiza serikali yao ya CCM kuwalipa wafanyakazi stahiki zao mbalimbali, ikiwemo nyongeza za mishahara za kila mwaka, malimbikizo ya mishahara, kupandishwa vyeo, na madai mengine lukuki ambayo wafanyakazi wanaidai serikali.

Chama cha Walimu (CWT) kimefanikiwa kwa kiasi fulani kutetea maslahi ya walimu. Ndio maana CWT kinaonekana kuwa na nguvu kuliko vyama vingine vya wafanyakazi. Hata hivyo, bado chama hiki kinapata upinzani mkubwa kutoka TUCTA, inayoongozwa na makada wa CCM..

Akitokea kiongozi wa chama cha wafanyakazi asiyekuwa na chembechembe za CCM hupata misukosuko ya hapa na pale ili kumkwamisha na ikibidi hata “kumpoteza”. Sote tunafahamu kilichomkuta kiongozi machachari wa chama cha TRAWU, ndugu Silvester Rwegasira. Serikali siku zote inajitahidi kuwapachika makada wake ndani ya vyama vya wafanyakazi ili kutimiza azma yake ovu ya kukandamiza maslahi na haki za wafanyakazi hapa nchini.

Nini kifanyike?
• Mwanachama yeyote anayejitokeza kugombea uongozi wa TUCTA na vyama vingine vya wafanyakazi achunguzwe kama ni kada au la. Na ikiwa itafahamika kwamba mwanachama huyo ni kada, basi hicho kiwe kigezo kikubwa cha kumnyima kura au hata kumuangusha kwenye kura za maoni ili asipenye uongozini na kusaidiana na serikali yake kukandamiza haki na maslahi ya wafanyakazi.

• Wafanyakazi wasikubali kukatwa fedha za michango ya uanachama kwa kuwa fedha hizo zinaenda kuwanufaisha makada wa CCM ambao wamewekwa pale kwa maslahi mapana ya chama na serikali yao ghairi ya maslahi ya wafanyakazi.

• Wafanyakazi waangalie uwezekano wa kuunda vyama vipya vya wafanyakazi na kuachana na vyama vilivyopo kwani vimeshindwa kutetea maslahi yao kwa muda mrefu sana.

• Wafanyakazi waadilifu waliopo wafanye mapinduzi ya kuwaangusha viongozi waliopo na kisha kuwachuja kwa misingi ya ukada, ambapo wale makada dhahiri waondolewe moja kwa moja na makada nyemelezi watupiliwe mbali pia.

Malisa, G.J
 
Just Grace

It has been said that the biggest problem on earth is not too little democracy, or too much poverty, or too few anti-viral AIDS medicines, but the fact that two-thirds of the world’s population live outside the protection of the law. A lack of justice has a terrible effect on many of the world’s poor.
The themes of justice and grace flow through the Bible. We cannot fully understand grace without understanding justice. One definition of grace is ‘undeserved love’. There is a mnemonic used to explain grace: God’s Riches At Christ’s Expense. We see today how Jesus Christ makes just grace available for you and me.
 
Proverbs 17:15-24

The vital importance of justice

In numerous countries of the world, the guilty get away and often the prisons are full of innocent people, many of whom have never even been tried or convicted. ‘Acquitting the guilty and condemning the innocent – the Lord detests them both’ (v.15). Both are terrible forms of injustice. They are abhorrent to God and have a damaging impact on society.
A great deal of the problem is caused by bribery. ‘The wicked accept bribes in secret to pervert the course of justice’ (v.23). One lawyer in a developing country told me that if you want a case to get to court faster than the usual approximately ten-year delay, you have to ‘oil the wheels’; a euphemism for bribery.
The struggle for justice is a serious responsibility. It requires hard work and could easily lead to burnout. The book of Proverbs is full of balanced wisdom.
It reminds us of the need for family and friends: ‘Friends love through all kinds of weather, and families stick together in all kinds of trouble’ (v.17, MSG). Do all you can to avoid petty arguments. ‘The one who loves a quarrel loves sin’ (v.19). Unnecessary quarrelling can separate families and even close friends.
As well as family and friends, fun is important: ‘A cheerful disposition is good for your health; gloom and doom leave you bone-tired’ (v.22, MSG). Don’t take yourself too seriously. We need to laugh at ourselves. Laughter is like an internal workout. It exercises your soul and keeps it healthy.

Lord, show us what you want us to do as individuals and as a church to make justice available to all. Help us to keep balance in our lives, taking our responsibilities seriously and still finding a place for family, friends and fun.
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom