Hii nayo ilikua ya kuifungulia Thread? Kwanini msingevaa Makaki yenu na kwenda kumjulia hali kwake.
Thread zingine ni muendelezo wa mipasho tu,watu wamesema "ugonjwa wa kawaida"
Ni suala la kutumia common sense tu,ugonjwa wa mtu ni suala private hawataki kulizungumzia full stop.!
Sawa mkuuUnapenda mipasho eee?
Ndiyo maana umeingia kwenye thread.
Na Uzee ulionao unajibu Pumba inakusaidia nini sasaUlitaka thread afunguliwe baba yako?
Na Uzee ulionao unajibu Pumba inakusaidia nini sasa
Nenda kanye huko!Usimpangie cha kufanya
Katibu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Neville Meena leo anarejea nchini kutoka Afrika Kusini alikokuwa anapata matibabu (check up).
Meena alikwenda Afrika Kusini Septemba 20, mwaka huu baada ya kuwa amelazwa Muhimbili kwa siku 12 kutokana na maumivu ya kichwa.
Madaktari wamempima na kumfahamisha kuwa alikuwa na tatizo la kawaida hivyo wamempatia dawa na kumruhusu arejee nyumbani Tanzania kuendelea na kazi.
Tunamshukuru Mungu kwa uponyaji huu na tunawashukuru nyote kwa sala zenu.
Deodatus Balile
Kaimu Mwenyekiti
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
Nenda kanye huko!
Hili ni jukwa la siasa. Kuna uhusiano gani kati ya ugonjwa wa Meena na jukwaa hili?? Hapa tunasumbua vichwa kujadili mambo ya siasa za kitaifa na mataifa.Katibu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Neville Meena leo anarejea nchini kutoka Afrika Kusini alikokuwa anapata matibabu (check up).
Meena alikwenda Afrika Kusini Septemba 20, mwaka huu baada ya kuwa amelazwa Muhimbili kwa siku 12 kutokana na maumivu ya kichwa.
Madaktari wamempima na kumfahamisha kuwa alikuwa na tatizo la kawaida hivyo wamempatia dawa na kumruhusu arejee nyumbani Tanzania kuendelea na kazi.
Tunamshukuru Mungu kwa uponyaji huu na tunawashukuru nyote kwa sala zenu.
Deodatus Balile
Kaimu Mwenyekiti
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
Watu wegine bwana!!je ni kweli kwamba kilichompata Meena ni kitu cha kawaida kama anavyodai Balile mwandishi wa Jamhuri gazeti lenye vinasaba fulani na awamu ya 5 ?
Mkuu Balile pole sana , unapokuwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu kidogo , hatuna ugomvi na wewe hata kidogo , mashaka yetu ni hicho kitu kinachoitwa "tatizo la kawaida" , huku Muhimbili ikishindwa mpaka mtu kupandishwa ndege .Wapendwa mimi taarifa nilizonazo ndiyo hizo nimezitoa. Sasa kama kuna mtu ana taarifa za ziada na tuhuma hizo zinazotolewa kwa innuendo dhidi yangu ziwekeni wazi.
Lakini nawaambia tukiigeuza Tanzania kuwa nchi ya lawama, mashaka na tuhuma zisizokuwa na uhakika dhidi ya kila awaye, nchi hii mtu atapata shida watu watampita kwa kuogopa kutuhumiwa.
Muda, sala na rasilimali tulizotumia kuokoa maisha ya Meena tangu Tanga, Muhimbili na hatimaye Milpark South Africa kujiridhisha maisha yake yasiwe hatarini leo unasoma tuhuma za aina hii? Inaumiza.
Kwa hakika inanipasa kuazima maneno ya Bwama Wetu Yesu Kristu: " Baba uwasamehe kwani hawajui watendalo."
Ni kujikweza tu na kutafuna pesa ya wafadhiliAsante kwa taarifa mkuu , ila hilo " TATIZO LA KAWAIDA " ni la kipekee maana Tanzania ilishindikana mpaka South Africa !
weee !!! unasema kweli mkuu ?Ni kujikweza tu na kutafuna pesa ya wafadhili
Waandishi wengi wana matatizo mazito kuliko la huyo kamanda
Ni stress sugu tu zinamsumbua huyo
Siku hizi mpaka figo watu wanabandikwa Muhimbili ,huyo ana stress za kupambana na Magufuli na chuki aliojijazia kifuani bila ya sababuweee !!! unasema kweli mkuu ?