100% umepatiaMwananchi ndiyo gazeti bora Tanzania likifuatiwa na Tnzania daima,gazeti la hovyo kabisa afrika mashariki ni UHURU,hutaki pita ivi»
100% umepatiaMwananchi ndiyo gazeti bora Tanzania likifuatiwa na Tnzania daima,gazeti la hovyo kabisa afrika mashariki ni UHURU,hutaki pita ivi»
Neville Meena
Kuhama huko kwa Neville Meena kumekuja ikiwa miezi michache kupita baada ya aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi Tido Mhando kuhamia Kampuni ya Azam media.
Taarifa za kuaminika ambazo mtandao huu umezipata zinasema Neville Meena amehamia rasmi Gazeti la Tanzania Daima na kupewa nafasi ya Mhariri Mtendaji.
Pengine atafanya tanzania daima liandike habari za maana siyo za kibavicha kama mwanzo.
Pengine atafanya tanzania daima liandike habari za maana siyo za kibavicha kama mwanzo.
TanzaniaDaima=Mbowe= Chadema= Chaga = Meena
Meena ni mchaga wa wapi?
Hivi mishahara ya waandishi wa magazeti ya kibongo Mwananchi, Tanzania Daima, na Nipashe ni kama sh. ngapi wakuu? Unaweza kushangaa nafasi kuuubwa (Mhariri Mtendaji, Mhariri wa Makala, Mhariri wa Michezo, etc.) kumbe mwisho wa mwezi take home UPE afadhali. Tasnia ya habari nchini hovyo kabisa.
Mkuu sijuhi huko lakini nijuavyo AZAM mtu wachini take home si chine ya 1M.
Meena ni mchaga wa wapi?
Meena ni mchaga wa wapi?
Pengine atafanya tanzania daima liandike habari za maana siyo za kibavicha kama mwanzo.
TanzaniaDaima=Mbowe= Chadema= Chaga = Meena