Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Are You allergic darling??
Is this a question?
Are You allergic darling??
Is this a question?
it has a question mark... was that question meant for u? :confused2:
naona MA-LOVEE ndani ya nyumba kama kawa
mwanajamiione ulikunywa konyagi au GONGO?mbona stim zake zinakubeba muda mrefu?
Good morning my darling...........! I love you Smiles, ....everything....... your smile .........your avatar........your....:hippie::hippie::hippie:.
tunaomba umjalie mwanajamiione kwa hilo pendo amepata apate mapendo mengine matatu zaidi ili tuone itakavyokuwa...eeee bwaaanaaaa..Twakuombaaaaaaaaaaa Ebwana pokea maombi yeeeeeeeetuuuuuu!!:hippie::hippie::hippie:
sshhh..... utaamsha watoto! :hippie:
tunaomba umjalie mwanajamiione kwa hilo pendo amepata apate mapendo mengine matatu zaidi ili tuone itakavyokuwa...eeee bwaaanaaaa..
Matoto ya siku hizi (Kama Roya na The Finest) huwa yanalala basi?:nono::nono::nono:
Tunakuomba umjaalie mwanajamiione na umuongezee infidelators wengine SITA ili kuwe na uwiano,yane pale ANALIVUA PENDO KWA HUYU,ANAMVALISHA YULE PALE IMMEDIATELY,analivua kwa yule pale anamvalisha yuuleee wa kule mwisho yule braza mwenye black....Twakuombaaaa Ebwana pokea maombi yeeeeeeetuuuuuu!!
bora finest kwa sababu mama b anambana...Kidogo inasaidia! Ila huyu saint...Nafikiri kuna mtu inabidi tumuwajibishe kwa kutofanya kazi ipasavyo! Kama sikosei ni mjukuu wako....:tape2:
Tunakuomba umjaalie mwanajamiione na umuongezee infidelators wengine SITA ili kuwe na uwiano,yane pale ANALIVUA PENDO KWA HUYU,ANAMVALISHA YULE PALE IMMEDIATELY,analivua kwa yule pale anamvalisha yuuleee wa kule mwisho yule braza mwenye black....
EEE BWAAANAAAAAAAAAA..........
EE BWANA MUNGU WA MAJESHI,MUNGU BABA MUWEZA WA YOTE.......Isipokuwa Roya Peke yakeeeeeeee, kwa sababu ni beberu, bepari na kabailaaaaaaaa.....
Twakuomba Ebwana pokea Maombi yeeeeeeetuuuuuuuuuuu!
EE BWANA MUNGU WA MAJESHI,MUNGU BABA MUWEZA WA YOTE.......
tunasema asante kwa kumjaalia infidelators sita wa ziada huyu mama yetu mwanajamiione....
tunasema asante kwa kumpa uhuru wa kujidai wa kulivua pendo huku na kulivisha kule kwa uwezekano wa options sita na zaidi...........
tunasema ahsante baba kwa asubuhi hii njema kabosa baba,asubuhi nzuri yenye kajibaridi kazuri kabisa baba,kwakuwa hii ni nafasi nzuri ya mwanajamiione kuendelea ''kulivaa'' pendo huko gesti hausi kokote aliko baba.....
utujaalie asubuhi kama hii kama mwanzo sasa na siku zote EE BABAAAAAAAAAAAA
Sasa hapo umeingia wizara ya mambo ya ndani kwa tatizo la kibiashara.:A S angry::A S angry::A S angry:
Matoto ya siku hizi (Kama Roya na The Finest) huwa yanalala basi?:nono::nono::nono:
Isipokuwa Roya Peke yakeeeeeeee, kwa sababu ni beberu, bepari na kabailaaaaaaaa.....
Twakuomba Ebwana pokea Maombi yeeeeeeetuuuuuuuuuuu!
Isipokuwa Roya Peke yakeeeeeeee, kwa sababu ni beberu, bepari na kabailaaaaaaaa.....
Twakuomba Ebwana pokea Maombi yeeeeeeetuuuuuuuuuuu!