Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
- Thread starter
- #61
Io picha inaongea kama ile i dont careKwnn my
Io picha inaongea kama ile i dont careKwnn my
NambieNikwambie kitu
Unayachukia kwann,kwan ulishawah kuumizwa??MH, hapa naona uzito wa nafsi yangu juu ya kitu mapenzi, I hate it
Acha tuu mamy, nikielezea waweza uliza ninafanya nini bado dunianiUnayachukia kwann,kwan ulishawah kuumizwa??
Acha tuu mamy, nikielezea waweza uliza ninafanya nini bado duniani
Hhmm!! poleAcha tuu mamy, nikielezea waweza uliza ninafanya nini bado duniani
Umeonaee,yanauma zaid ya kuuma,mhhh sjawah ona kitu chauma kama mapenz,waliokua hawajawah kuumizwa waendelee kushukuru ivoivo.Ila aya mapenzi nani aliyeyaumba daaahhh,,...yanauma jameniii,..asikuambie mutu,..
Umeonaee,yanauma zaid ya kuuma,mhhh sjawah ona kitu chauma kama mapenz,waliokua hawajawah kuumizwa waendelee kushukuru ivoivo.
Hahaha roho za bati ndo zipoje mkuuOwiiii Kwa maisha ya sa ivi wataumizwa tu,MDA wao bado labda kama wana roho za Bati,
Hahaha roho za bati ndo zipoje mkuu
Ha ha ha duhJua mvua mawingu radi,zenyewe zipo tu,..
Kweli tupuMapenzi hayana formula wanaoplay fair ndiyo wanaoumizwa.
Ha ha ha duh
Kweli tupu