Never give up, Haikainde Hichilema amegombea Urais mara 5 na kushindwa. Sasa ni mara ya 6

View attachment 1892496

Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.

Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .

Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa

USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI

UPDATES
=========

View attachment 1893046
Tukufahamishe tu kwamba Chama kilicho shinda Zambia ndiyo kilipigania uhuru wa Zambia kikiingozwA na Hayati Kaunda, kilitolewa 1995 sasa kimerudi kuiokomboa Zambia kutoka mikononi mwa Wachina waliochukua kila kitu chini ya chama kisicho na uchungu na Zambia.Kule Malawi rais Chakwera amekirudisha chama kilichopigania uhuru wa Malawi baada ya nchi kuwa mikononi mwa vyama saccos na kupeleka uchumi wa Malawi kusota.Chadema pateni SoMo kwamba NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.Ni muda sasa kwa CCM kuanza kurudisha watoto wake wa kusini mwa Afrika madarakani.Sasa SADC umerudi kwenye mikono salama
 
Tukufahamishe tu kwamba Chama kilicho shinda Zambia ndiyo kilipigania uhuru wa Zambia kikiingozwA na Hayati Kaunda, kilitolewa 1995 sasa kimerudi kuiokomboa Zambia kutoka mikononi mwa Wachina waliochukua kila kitu chini ya chama kisicho na uchungu na Zambia.Kule Malawi rais Chakwera amekirudisha chama kilichopigania uhuru wa Malawi baada ya nchi kuwa mikononi mwa vyama saccos na kupeleka uchumi wa Malawi kusota.Chadema pateni SoMo kwamba NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.Ni muda sasa kwa CCM kuanza kurudisha watoto wake wa kusini mwa Afrika madarakani.Sasa SADC umerudi kwenye mikono salama
sidhani kama uko timamu
 
Tukufahamishe tu kwamba Chama kilicho shinda Zambia ndiyo kilipigania uhuru wa Zambia kikiingozwA na Hayati Kaunda, kilitolewa 1995 sasa kimerudi kuiokomboa Zambia kutoka mikononi mwa Wachina waliochukua kila kitu chini ya chama kisicho na uchungu na Zambia.Kule Malawi rais Chakwera amekirudisha chama kilichopigania uhuru wa Malawi baada ya nchi kuwa mikononi mwa vyama saccos na kupeleka uchumi wa Malawi kusota.Chadema pateni SoMo kwamba NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.Ni muda sasa kwa CCM kuanza kurudisha watoto wake wa kusini mwa Afrika madarakani.Sasa SADC umerudi kwenye mikono salama
Unauhakika na ulichoandika kuhusu chama kilichopigania Uhuru Zambia?
 
Cc Freeman Mbowe
Kijakazi wa Mbowe unatabika sana.
KAMANDA_WOTE_MASHUJAA,_WAPENDA_HAKI,_WAFIA_CHAMA__tukutane_KIsutu_leo_mapema_kwenye_kesi_ya_mw...jpg
 
Back
Top Bottom