Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,475
- 30,489
Kwahiyo unataka kusemaje ?Wanasiasa wote wako kimaslai, hakuna atachokifanya aliyeingia Zambia na hakuna watakachokifanya wapinzani wakishika madaraka ya hii nchi.
Kwahiyo unataka kusemaje ?Wanasiasa wote wako kimaslai, hakuna atachokifanya aliyeingia Zambia na hakuna watakachokifanya wapinzani wakishika madaraka ya hii nchi.
Yaani mbowe form4 awe rais hebu jiongeze banaCc Freeman Mbowe
Kijakazi wa Mbowe unatabika sana.
Tukufahamishe tu kwamba Chama kilicho shinda Zambia ndiyo kilipigania uhuru wa Zambia kikiingozwA na Hayati Kaunda, kilitolewa 1995 sasa kimerudi kuiokomboa Zambia kutoka mikononi mwa Wachina waliochukua kila kitu chini ya chama kisicho na uchungu na Zambia.Kule Malawi rais Chakwera amekirudisha chama kilichopigania uhuru wa Malawi baada ya nchi kuwa mikononi mwa vyama saccos na kupeleka uchumi wa Malawi kusota.Chadema pateni SoMo kwamba NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.Ni muda sasa kwa CCM kuanza kurudisha watoto wake wa kusini mwa Afrika madarakani.Sasa SADC umerudi kwenye mikono salamaView attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
UPDATES
=========
View attachment 1893046
sidhani kama uko timamuTukufahamishe tu kwamba Chama kilicho shinda Zambia ndiyo kilipigania uhuru wa Zambia kikiingozwA na Hayati Kaunda, kilitolewa 1995 sasa kimerudi kuiokomboa Zambia kutoka mikononi mwa Wachina waliochukua kila kitu chini ya chama kisicho na uchungu na Zambia.Kule Malawi rais Chakwera amekirudisha chama kilichopigania uhuru wa Malawi baada ya nchi kuwa mikononi mwa vyama saccos na kupeleka uchumi wa Malawi kusota.Chadema pateni SoMo kwamba NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.Ni muda sasa kwa CCM kuanza kurudisha watoto wake wa kusini mwa Afrika madarakani.Sasa SADC umerudi kwenye mikono salama
Hakuna kitu wamefanyaKwani ccm wamefanya kipi ?
Unauhakika na ulichoandika kuhusu chama kilichopigania Uhuru Zambia?Tukufahamishe tu kwamba Chama kilicho shinda Zambia ndiyo kilipigania uhuru wa Zambia kikiingozwA na Hayati Kaunda, kilitolewa 1995 sasa kimerudi kuiokomboa Zambia kutoka mikononi mwa Wachina waliochukua kila kitu chini ya chama kisicho na uchungu na Zambia.Kule Malawi rais Chakwera amekirudisha chama kilichopigania uhuru wa Malawi baada ya nchi kuwa mikononi mwa vyama saccos na kupeleka uchumi wa Malawi kusota.Chadema pateni SoMo kwamba NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.Ni muda sasa kwa CCM kuanza kurudisha watoto wake wa kusini mwa Afrika madarakani.Sasa SADC umerudi kwenye mikono salama
Cc Freeman Mbowe
Kijakazi wa Mbowe unatabika sana.