NETWORKING: Msaada Wireless router inamaliza bundle haraka

Jaman naomben ushauri, nataka kununua laptop kwa ajili ya kwenda kusoma degree na masters ya IT je ni aina gan ya laptop ambyo ni mzur?
 
Halafu nimegundua hata nikitumia computer kwa kuunganisha na waya data inalika kama kawaida ninasuspect connection ya router inafanya kazi that way mb zinakimbia kwelikweli
 
Halafu nimegundua hata nikitumia computer kwa kuunganisha na waya data inalika kama kawaida ninasuspect connection ya router inafanya kazi that way mb zinakimbia kwelikweli
Ethernet nafkiri huwezi kuifanya iwe metered connection that's why.
 
Step by step guide tafadhali
Soma comment ya Watu8 yeye ametumia data tracker, zipo nyengine kama glasswire etc.

Kazi ya firewall ni ku track kila mb inayoingia na kutoka kwenye kifaa chako. Itakupa data halisi na zipo more advanced compare na built in solution kwenye kifaa chako.

We iweke maelezo yake na user interface inakuwa rahisi kuielewa. Kama kuna tatizo tutaangalia zaidi.
 
Kingine kinachokula bundle Ni Instagram! Noma Sana

Sijui njia gani nzuri ya kupunguza ulaji wa data Instagram.
 
Kwa wale wataalamu wa masuala ya computer networking. Swala langu liko hivi, natumia wireless router inayotumia line ya simu kuunganisha na simu yangu kwa ajili ya kupata mtandao lakini kitu kinachonisikitisha bundle linaisha haraka kuliko nikitumia njia ya kawaida ya kuweka line kwenye simu.

Inaonekana data zinaenda hata kama haubrowse kitu. Imagine kuna siku nimenunua bundle ya data ya 1.2GB nimeshinda tu Jamii Forums kuangalia post mara bundle limeisha. Swali langu ni je kuna setting pengine nikifanya ninaweza kudhibiti hiki kitu?
Kwa mimi ninavofahamu.. ukiwa unatumia Wi-Fi kuna baadhi ya apps zinakua zinafanya updates ya kitu chochote pale kinapohitaji huduma.. ila kama unatumia internet ya kwenye sim uwa ni mpaka uruhusu matumiz hayo.. cha kufanya tembelea apps zote fanya setting ya kisitisha matumizi automatic.. kama telegram na WhatsApp pia huwa zina download media automatic nazo fanya kuziset off..
 
Kwa mimi ninavofahamu.. ukiwa unatumia Wi-Fi kuna baadhi ya apps zinakua zinafanya updates ya kitu chochote pale kinapohitaji huduma.. ila kama unatumia internet ya kwenye sim uwa ni mpaka uruhusu matumiz hayo.. cha kufanya tembelea apps zote fanya setting ya kisitisha matumizi automatic.. kama telegram na WhatsApp pia huwa zina download media automatic nazo fanya kuziset off..
Hamna sema device unazotumia ndio zinamaliza bando
 
Most of the time computer huwa zinatreat Routers kama unmetred network.
Chakufanya

1.Hakishasha kila pc unayo connect, network iwe umeiset ni metred connection.

2.Hakisha hakuna mtu mwengine anaye jua hiyo password, ongeza ugumu wa password ikiwezekena.

3. Hakisha umezima huduma za cloud sync kama Google drive, Onedrive HiCloud na cloud backups kwenye fivaa vyote.
Punguza matumizi ya streaming services kama, Twitter spaces, youtube, soundcloud na mingineyo
 
Soma comment ya Watu8 yeye ametumia data tracker, zipo nyengine kama glasswire etc.

Kazi ya firewall ni ku track kila mb inayoingia na kutoka kwenye kifaa chako. Itakupa data halisi na zipo more advanced compare na built in solution kwenye kifaa chako.

We iweke maelezo yake na user interface inakuwa rahisi kuielewa. Kama kuna tatizo tutaangalia zaidi.

Hii natumia ni GlassWire na ni freeware version, ipo vizuri inasaidia sana in real time tracking n.k...
 
Ukitumia wifi Simu automatic inajua ni unlimited inaji update, kama Kuna apps playstore zipo outdated miaka kadhaa zote zitaji update.

Sema ikimaliza ku update itakuwa kawaida tu.
Huu mtego unaliza sana wale wema wanaounga watu hot-spot kishkaji

Unakuta ikiunga tu,inaanza kudownload video,picha na audio kwenye watsap na telegram.
Ina update apps zote za google zilizo kwenye folen zikisubiri WIFI.

Vi bundle vyenyewe hivi GB 1lazima ununiwe.
 
Kwa wale wataalamu wa masuala ya computer networking. Swala langu liko hivi, natumia wireless router inayotumia line ya simu kuunganisha na simu yangu kwa ajili ya kupata mtandao lakini kitu kinachonisikitisha bundle linaisha haraka kuliko nikitumia njia ya kawaida ya kuweka line kwenye simu.

Inaonekana data zinaenda hata kama haubrowse kitu. Imagine kuna siku nimenunua bundle ya data ya 1.2GB nimeshinda tu Jamii Forums kuangalia post mara bundle limeisha. Swali langu ni je kuna setting pengine nikifanya ninaweza kudhibiti hiki kitu?
Disable window update
 
Back
Top Bottom