NETO wanaweza kuwa Chama cha Upinzani kizuri na kushika dola kuliko vilicyopo!!

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
1,465
1,407
Habarini,
Ni wazi kabisa kwa wenye akili kujua vyama vya upinzani vilivyopo ni matawi ya ccm na viongozi wake ni mamluki wa ccm wanaojinufaisha na familia zao kwa kujificha kwenye upinzani kama ajira zao

Kama kweli tunataka mabadiliko ya kweli ndani ya Tz basi NETO wabadili style yao ya kwenda tu kwa lengo la kupigania ajira bali kuondosha chama tawala na mfumo uliopo ambapo njia rahisi ni kujisajili kama chama cha siasa cha upinzani na kujipatia wanachama wake wote wasio na ajira pasipo kujali taaluma gani.

Ni ndoto yangu kuwa chama cha upinzani wakweli kinawezakikatoka ndani ta NETO iwapo watajumyisha wasio na ajira wote bila kujali ni kada gani na si vinginevyo!!!
 
Habarini,
Ni wazi kabisa kwa wenye akili kujua vyama vya upinzani vilivyopo ni matawi ya ccm na viongozi wake ni mamluki wa ccm wanaojinufaisha na familia zao kwa kujificha kwenye upinzani kama ajira zao

Kama kweli tunataka mabadiliko ya kweli ndani ya Tz basi NETO wabadili style yao ya kwenda tu kwa lengo la kupigania ajira bali kuondosha chama tawala na mfumo uliopo ambapo njia rahisi ni kujisajili kama chama cha siasa cha upinzani na kujipatia wanachama wake wote wasio na ajira pasipo kujali taaluma gani.

Ni ndoto yangu kuwa chama cha upinzani wakweli kinawezakikatoka ndani ta NETO iwapo watajumyisha wasio na ajira wote bila kujali ni kada gani na si vinginevyo!!!
Kashakamatwa tayari kiongozi wao.
 
Habarini,
Ni wazi kabisa kwa wenye akili kujua vyama vya upinzani vilivyopo ni matawi ya ccm na viongozi wake ni mamluki wa ccm wanaojinufaisha na familia zao kwa kujificha kwenye upinzani kama ajira zao

Kama kweli tunataka mabadiliko ya kweli ndani ya Tz basi NETO wabadili style yao ya kwenda tu kwa lengo la kupigania ajira bali kuondosha chama tawala na mfumo uliopo ambapo njia rahisi ni kujisajili kama chama cha siasa cha upinzani na kujipatia wanachama wake wote wasio na ajira pasipo kujali taaluma gani.

Ni ndoto yangu kuwa chama cha upinzani wakweli kinawezakikatoka ndani ta NETO iwapo watajumyisha wasio na ajira wote bila kujali ni kada gani na si vinginevyo!!!
Nikweli inawezekana kabisa hata chama cha Labour uko uingereza kilianza kama trade union ya wafanya kazi, ila kwa watanzania sio rahisi kabisa hao waalimu sio watu wakuamini kabisa kwanza ni masikini sanaa, watu wakuridhika sanaa waoga hawana iseology wasaliti, nk......hawawezi kusimamisha vuguvugu yao hata kwa mwaka moja.
 
Habarini,
Ni wazi kabisa kwa wenye akili kujua vyama vya upinzani vilivyopo ni matawi ya ccm na viongozi wake ni mamluki wa ccm wanaojinufaisha na familia zao kwa kujificha kwenye upinzani kama ajira zao

Kama kweli tunataka mabadiliko ya kweli ndani ya Tz basi NETO wabadili style yao ya kwenda tu kwa lengo la kupigania ajira bali kuondosha chama tawala na mfumo uliopo ambapo njia rahisi ni kujisajili kama chama cha siasa cha upinzani na kujipatia wanachama wake wote wasio na ajira pasipo kujali taaluma gani.

Ni ndoto yangu kuwa chama cha upinzani wakweli kinawezakikatoka ndani ta NETO iwapo watajumyisha wasio na ajira wote bila kujali ni kada gani na si vinginevyo!!!
Acheni kuwaponza na kuwajaza kiburi watapoteana sasa hivi, hivi mnafikiri kua chama cha siasa ni jambo jepesi
 
Back
Top Bottom