hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Wadau,
Netflix huwa wanatoa different contents according to location. Walioko USA hawawezi pata same contents kama aliyepo Tanzania. Kuna show ziko restricted according to location.
Nikitumia VPN naweza pata contents zote za USA kama niko Tanzania huku Mbagala Rangi Saba?
Wajuzi wa mambo mje mtoe msaada.
CHIEF MKWAWA pita hapa
Da vinci
Netflix huwa wanatoa different contents according to location. Walioko USA hawawezi pata same contents kama aliyepo Tanzania. Kuna show ziko restricted according to location.
Nikitumia VPN naweza pata contents zote za USA kama niko Tanzania huku Mbagala Rangi Saba?
Wajuzi wa mambo mje mtoe msaada.
CHIEF MKWAWA pita hapa
Da vinci