Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Are you sure the westerners are fed up with Israel ??


Yes they do, only they are scared to jeorpadise their lives as their (israel) intelligence is very tactical, their underground machineries eg the MOSAD work efficaciously you can not temper with them and be safe. MOSAD is every where, the world to them is on their hand.

Who now speaks about the 9/11??
The 9/11 saga was inside job perpetrated by Israel in collaboration with the US govn't under Bush.--- remember the two points ; during the blown down (demolition) of the twin towers all the Isralites who used to be in the towers (had offices in there) were absentees, point#2 the towers belonged to an Isralite., point #3 all wreckages were sold to china, debris were not allowed to be taken for scientific investigations.
 
Huna akili!
Netnyahu ni mbaguzi sijapata kuona katika historia ya siasa za Israel. Adiyo maana alishibana sana na mbaguzi mwenzie Trump. Ukipitia list ya mawaziri wakuu wa israel wote, kuanzia na Ben Gurion, hadi Shimon Perez, wote walikuwa wanataka kujenga amani na Palestina ili waishi kwa pamoja, lakini Netanyahau yeye hakutambua kabisa uwepo wa Palestina, yaania alikua na mtazamo kuwa wapalestina siyo watu.
 
Ni kweli kuwa mifumo ya wenzetu ni imara lakini, Mkuu wa nchi anapobadilika, hata uelekeo kwa kiasi kikubwa nao hubadilika, hii iko hata kwa nchi zilizoendelea kimifumo. Mfano sera za Trump ni tofauti kabisa na za Biden. Mfano Trump hakua na time kuhusu Demokrasia duniani, lakini mtangulizi wake ilikuwa ni sehemu ya uongozi wake.
Trump yule alikuwa kiongozi mzungu lakini mwenye mawazo ya KI MEKO MEKO!!na USA, wasingekuwa na strong institutions ingekula kwao!!kwanza lisingetoka madarakani ki urahisi rahisi tu.hata meko, kwenye watu wenye akili zao angekuwa ana fanya michezo ya KIFUTUHI kiasi kile?
 
Trump yule alikuwa kiongozi mzungu lakini mwenye mawazo ya KI MEKO MEKO!!na USA, wasingekuwa na strong institutions ingekula kwao!!kwanza lisingetoka madarakani ki urahisi rahisi tu.hata meko, kwenye watu wenye akili zao angekuwa ana fanya michezo ya KIFUTUHI kiasi kile?
Huu mtazamo wako naona wengi wanao na sio sahihi. Kuwa Trump alikuwa ni mzungu ila mwenye mawazo ya kiafrika as if waafrika ndio wenye sifa ya udikteta. Wapo waafrika wengi tu ni wanademokrasia. Kimsingi Trump alikuwa ni dikteta. Sio kusema eti alikuwa mzungu mwenye mawazo ya kimeko.
 
Netnyahu ni mbaguzi sijapata kuona katika historia ya siasa za Israel. Adiyo maana alishibana sana na mbaguzi mwenzie Trump. Ukipitia list ya mawaziri wakuu wa israel wote, kuanzia na Ben Gurion, hadi Shimon Perez, wote walikuwa wanataka kujenga amani na Palestina ili waishi kwa pamoja, lakini Netanyahau yeye hakutambua kabisa uwepo wa Palestina, yaania alikua na mtazamo kuwa wapalestina siyo watu.
Bibi ni Ultra-zionist. Na amepitisha sheria mbaya sana dhidi ya waarabu nchini mwake.
 
Sasa huyo Naftal si ndio inasemekena anawachukia hao waarabu kuliko hata anavyomchukia shetani!
 
Yes they do, only they are scared to jeorpadise their lives as their (israel) intelligence is very tactical, their underground machineries eg the MOSAD work efficaciously you can not temper with them and be safe. MOSAD is every where, the world to them is on their hand...
Hapana. 20 years later bado unataka tu 9/11 bado iwe topic? Kimsingi 9/11 imenufaisha Israel pakubwa mno, Marekani kuiattack M.E. Pia US hawezi ichoka Israel sababu ndiye watchdog wake kwenye ukanda huo.

Hawezi mtegemea sana mtu kama Saudi ambaye anajua anaweza mgeuka muda wowote, tena with Saudi Vision 2030, ambayo inalenga kuifanya nchi yao ijitegemee kijeshi na kuachana na utegemezi wa mafuta,. Marekani anajikuta anamuhitaji Israel zaidi sasa kuliko ilivyokuwa 1948.
 
That ---I suppose --- will be the starting point for Israel to perish.

Many Westerners are fed up with Israel cunninngs,brutality etc. It is only their governments which support the barbaric zionist regime.
Not yet!
Screenshot_20210614-061252.jpg
 
Tunaomba kumfahamu vizuri huyu Naftali ni nani hasa mpaka kumwangusha mtu mwenye akili nyingi kuliko wote dunia ya sasa
 
Tunaomba kumfahamu vizuri huyu Naftali ni nani hasa mpaka kumwangusha mtu mwenye akili nyingi kuliko wote dunia ya sasa
Kwa mtazamo wangu anayemwangusha mwenye akili nyingi, ndio anakuwa mwenye akili nyingi zaidi.
 
Naftali Bennett, Israel's new prime minister, unlikely to change stance on Iran nuclear deal | World News.

Naftali Bennett became the new prime minister of Israel on Sunday, topping his predecessor and former ally Benjamin Netanyahu's 12-year regime and ending a political crisis in the country that sparked four elections in two years. High up on Bennett's priority list as the new prime minister is coordinating with the United States on military and intelligence matters, the New York Times reported, adding that using Mossad, the country's spy agency, to sabotage the nuclear deal with Iran could still be on the table.

The Iranian nuclear deal had long been a bone of contention within Israel's political and military establishment. Benjamin Netanyahu, former prime minister, had expressed his gripe with the original 2015 agreement, the Joint Comprehensive Plan of Action, pointing out that it neither gave Israel sufficient security from the possibility of Iran developing a nuclear weapon nor did it cover significant issues like Iranian support to militias in neighbouring nations. Before being voted to the post of prime minister, Naftali Bennett had echoed similar sentiments, vowing to stop Israel from acquiring nuclear weapons. "The renewal of the nuclear agreement is a mistake," the New York Times quoted Bennett as saying at the Knesset, Israel's parliament, shortly before Sunday's vote.

A religious Jew by birth, Bennett had long positioned himself to the right of Netanyahu but played the kingmaker recently by partnering up with centrist and left-wing parties, an unlikely combination that defines the contradictions in the 73-year-old nation. Even so, Bennett's stance regarding the Iran nuclear deal is unlikely to be much different from his predecessor, the Amerian daily said, adding that the new Israeli prime minister, however, might try to influence some terms of the new deal, something that Netanyahu had refused to do.

Notably, the espionage operations of Mossad, Israel's spy agency, against the Iranian military establishment over its nuclear ambitions had continued even after Joe Biden was elected as the president of the United States of America and negotiations to rejoin the nuclear deal began. David Barnea, who was recently appointed as the director of Mossad, has said that Israel's Mossad will respond in "full force" if Iran continues with its nuclear program, hinting at the fact that the spy agency was well-aware of those officials within the Iranian military establishment associated with the nuclear program.

Israel, under its new prime minister Naftali Bennett, is looking to minimise disagreements with the United States on the Iranian nuclear deal, the report added, noting it as a marked shift from the adversarial stand it pursued with the US under the Obama administration. To this end, Bennett is even likely to replace Gilad Ardan, a longstanding Netanyahu ally and current Israeli ambassador to Washington, with a man of his own, the daily added.
 
Who is Naftali Bennett, the ultra-nationalist leader poised to replace Netanyahu as Israel PM? | World News
www.hindustantimes.com
Israel’s ultra-nationalist leader Naftali Bennett is poised to become the country's next prime minister after parliament votes for a new government on Sunday, ending Benjamin Netanyahu’s 12-year hold on power. The new coalition consists of eight parties from across Israel’s political spectrum, including a small Arab party, which makes it extremely fragile. The disparate opposition parties have come together, mainly, to keep Netanyahu out of the office and avoid another election.

Naftali Bennett, 49, has served as minister of defence as well as of education and the economy in various governments under the leadership of Netanyahu. Born in the Israeli city of Haifa to immigrants from San Francisco, California, Bennett stormed into national politics in 2013 after renouncing his US citizenship.

The far-right Yamina party leader is a religious ultranationalist who supports the expansion of Jewish settlements in the West Bank and the annexation of most of the occupied region. Bennett made the annexation of parts of the West Bank that Israel captured in a 1967 war a major feature of his political platform. He is against a two-state solution and argues that a Palestinian state would be suicide for Israel due to security reasons.

Moscow annexed Ukraines Crimea region in 2014 and backed a pro-Russian separatist uprising in eastern Ukraine which triggered a conflict that has killed more than 14,000 people.

Last year, as Netanyahu pushed the West Bank annexation plan and settlement building during the final months of the Trump administration, Bennett, then defence chief, said, "The building momentum in the country must not be stopped, even for a second." The plan was eventually scrapped as Israel moved to normalise ties with the UAE under Abraham Accords.

Following through on expansion will now be politically unfeasible since the so-called “change” coalition, which relies on the support of the United Arab List, a small party with Islamist roots, would collapse even if one party bolts.

Bennett, also a self-made tech millionaire, formed a start-up in 1999 and then moved to New York, eventually selling his anti-fraud software company, Cyota, to US security firm RSA for $145 million in 2005. He studied law at Jerusalem's Hebrew University.
 
Yes they do, only they are scared to jeorpadise their lives as their (israel) intelligence is very tactical, their underground machineries eg the MOSAD work efficaciously you can not temper with them and be safe. MOSAD is every where, the world to them is on their hand...
So what was the motive for the Jews to attacks their own building?
 
Netnyahu ni mbaguzi sijapata kuona katika historia ya siasa za Israel. Adiyo maana alishibana sana na mbaguzi mwenzie Trump. Ukipitia list ya mawaziri wakuu wa israel wote, kuanzia na Ben Gurion, hadi Shimon Perez, wote walikuwa wanataka kujenga amani na Palestina ili waishi kwa pamoja, lakini Netanyahau yeye hakutambua kabisa uwepo wa Palestina, yaania alikua na mtazamo kuwa wapalestina siyo watu.
Sasa huyu kichaa mpya ndio balaa bora ya Benjamin
 
Back
Top Bottom