Mr DIY
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 1,107
- 2,308
Mzee saka nissan x-trail hutojuta kwa hizo barabara zakoNa kweli mkuu. IST yenye '4WD' ni adimu sana. Naisaka bila mafanikio. Na mazingira ninayoishi, 4wd ni muhimu sana.
Mzee saka nissan x-trail hutojuta kwa hizo barabara zakoNa kweli mkuu. IST yenye '4WD' ni adimu sana. Naisaka bila mafanikio. Na mazingira ninayoishi, 4wd ni muhimu sana.
Asante mkuu. Maana yake nikijipa muda wa kuzisoma na kuzielewa taratibu za utoaji mzigo bandarini na mpangilio wa document navuta mzigo bila kuhitaji agent? Au sheria inalazimisha kutumia agent na kuzia mtu binafsi?Huwezi kutoa mwenyewe kuna watu wanaitwa Clearing and Forwarding Agents wao ndo wanahusika na kutoa vitu bandarini maana wamesomea kozi hio inayohusiana na kutoa mizigo bandarini au airport au mipakani lazima agent akutolee gari huwezi toa wewe kama mtu binafsi sababu tataribu za kiforodha wewe mtu wa kawaida haizifahamu agent yeye anakua anazijua dpcument ipi iwekwe ipi isiwekwe kodi nalipwaje etc
Ni takwa la kisheria ulimwenguni kote kutumia agent na sio mtu binafsiAsante mkuu. Maana yake nikijipa muda wa kuzisoma na kuzielewa taratibu za utoaji mzigo bandarini na mpangilio wa document navuta mzigo bila kuhitaji agent? Au sheria inalazimisha kutumia agent na kuzia mtu binafsi?
Brand what? Mmmm husije ukamgeuza fursa ,hamchelewi kuitana pm sasa hivi ili mtu anyongwe vzr.Hamna I.S.T ya milion 10 net jitahidi kuongeza milion 3 utapata brand New
1.6 M kwa tahadhari.Haya mkuu. Itabidi nitafute tena hiyo M 1 ya kuongeza.
Kama yuko mikoani aendelea kwa Dar mkuu ametukataza wanaume labda kama ni ke au kama lengo ni ku.......Unataka uendeshe mwenyewe au kumhonga mtu?
Pole sana. Mengine uwe unatuachia tukusaidie. Hasa haya majukumu ya kuhesabu na kuhifadhi fedhaNipo babu majukumu yamenibana@Asprin
Hahhahaah kwa uaminifu ganiPole sana. Mengine uwe unatuachia tukusaidie. Hasa haya majukumu ya kuhesabu na kuhifadhi fedha
Uaminifu wangu, Gwajima anasubiri.Hahhahaah kwa uaminifu gani
Uaminifu wangu, Gwajima anasubiri.
Unajua maana ya 4WD?Upo sahihi Mkuu. Nimechagua IST sababu ya fuel efficiency. Ila ninahitaji IST yenye'4WD'.... sijuwi kama una utofauti wa ulaji wa mafuta kwa gari yenye '4WD'. Ahsante
Kwa matairi anaweza kuzugia zugia hata mwaka, hata betri atasuuza sura kwanzaHapo bado hujalipia malipo ya Bandari fixed 230,000 hapo ni kama umeitoa gari ndani ya grace period hujamlipa Agent 250,000 tshs anaekutolea hio gari, hujalipia $70 hela ya kupokea documents toka kwa shipper, hujalipia bima ya gari, pia hujaifanyia service hio gari i.e battery, matairi engine oil, air cleaner etc hio milioni 10 bado sana
Ujumlishe na ada ya wakala wa kulitoa bandarini,,,,Mkuu, ingia kwenye website za kuuza magari, https://www.japanesevehicles.com/?gclid=EAIaIQobChMI457I_9ze4gIV1JTVCh02hQr_EAAYAiAAEgJ_2PD_BwE, angalia price ya ist uitakayo huko, kisha uingie kwenye website ya tra, https://gateway.tra.go.tz/umvvs/ uingize hizo details za gari, kisha utapata majibu ya kodi zote unazopaswa kulipa, mpaka gari iwe barabarani..
Nimekuwekea website moja hapo ya magari.. ila zipo nyingi tuu.. Huko utapata majibu mazuri..
Nami sipendi unune... au hujui?Umeniacha nicheke asubuh yote hii
Hahahaha dah. Kuna watu wanajua pikipiki zote ni bodabodaUnajua maana ya 4WD?
Ilikuwa sijui jamaniNami sipendi unune... au hujui?
kwenye ulaji wa mafuta kati ya spacio na IST ipi nafuu kama zote zikiwa na CC sawa?Kama lengo ni 4wd tafuta gari nyingine. Zipo nyingi tu na ulaji mafuta ni mzuri. Spacio, Voltz, Nk
Hahahaaaaaaa. Nimemkumbuka Mkuu wa Mkoa bwana MakondaUnataka uendeshe mwenyewe au kumhonga mtu?