kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,086
- 913
Hello wanaJF wote.
Title inajieleza. Nimedunduliza ili kununua kausafiri. Nina TSH 10 Million net. Je, naweza imiliki Toyota IST kwa kuagiza kutoka nje? Kujumuisha gharama zote na ushuru wa TRA.
Kama inawezekana, nitumie kampuni gani ya kuagiza magari?
Nataka IST yenye specs zifuatazo:
✓ Production year 2005 (minimum);
✓ Km 90,000 (maximum);
✓ White or Pearl (rangi);
✓ 4WD (CBA ncp65);
✓ Fog lights;
× Isiwe na Rear Spoiler ×(no rear spoiler).
Xxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Ni hivyo wakuu. Sijawahi kumiliki gari, na pia ni layman kwenye uelewa wa ubora wa magari. Hivyo, napokea ushauri wowote wenye tija kuhusiana na mada hii.
Naombeni mawazo yenu na ushauri. Ahsanteni.
Title inajieleza. Nimedunduliza ili kununua kausafiri. Nina TSH 10 Million net. Je, naweza imiliki Toyota IST kwa kuagiza kutoka nje? Kujumuisha gharama zote na ushuru wa TRA.
Kama inawezekana, nitumie kampuni gani ya kuagiza magari?
Nataka IST yenye specs zifuatazo:
✓ Production year 2005 (minimum);
✓ Km 90,000 (maximum);
✓ White or Pearl (rangi);
✓ 4WD (CBA ncp65);
✓ Fog lights;
× Isiwe na Rear Spoiler ×(no rear spoiler).
Xxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Ni hivyo wakuu. Sijawahi kumiliki gari, na pia ni layman kwenye uelewa wa ubora wa magari. Hivyo, napokea ushauri wowote wenye tija kuhusiana na mada hii.
Naombeni mawazo yenu na ushauri. Ahsanteni.