The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Inavyoonekana neno uzalendo linatumika kuwakilisha matakwa binafsi zaidi na si kama lilivyokusudiwa katika matumizi yake.
Mf. Mtu kaibiwa analalamika hasikilizwi, anataka aandamane kuonyesha hisia zake, anawekwa ndani, anaenda kushtaki kwenye jumuiya za kimataifa juu ya uonevu aliofanyiwa, anaitwa ni msaliti wa nchi si mzalendo.
Je, kuna uhusiano kati ya uzalendo na ujinga au kupotezea haki zako za msingi?
Je, kuna uhusiano kati ya uzalendo na kukubaliana na kila wanachofanya walioko madarakani?
Mf. Mtu kaibiwa analalamika hasikilizwi, anataka aandamane kuonyesha hisia zake, anawekwa ndani, anaenda kushtaki kwenye jumuiya za kimataifa juu ya uonevu aliofanyiwa, anaitwa ni msaliti wa nchi si mzalendo.
Je, kuna uhusiano kati ya uzalendo na ujinga au kupotezea haki zako za msingi?
Je, kuna uhusiano kati ya uzalendo na kukubaliana na kila wanachofanya walioko madarakani?